Imefika wakati Rais Magufuli aanze kusafiri nje ili kuimarisha uwekezaji na ushirikiano wa kimataifa

Mpendakukimbiakimbia

Senior Member
May 18, 2018
151
274
Angalia mwenzako wa kenya uhuru anavyochanja mbuga na kuimarisha uwekazaji kutoka marekani na uingereza na kwingineko. Alikuwa juzijuzi kwa trump halafu teresa mei kamfata nyumbani wote wanaimairisha uwekezaji na mashirikiano kuimarika.

Plz safili kwa watu walioendelea ili usaidiwe mana huwezi kuwa kila siku wewe safari zako ni kwenda mwanza na kagera na mikoa mingine ukatarajia unaimarisha uchumi. Kumbuka ukienda huko wanakulilia tu uwasaidie na wewe huna hela hivyo mnaishia kugawana umasikini ambapo nyerere usosharist ulumshinda kwa sababu ya kugawana umaskini na watu na kuwaona wenye hela kama ni maadui. Mwenzio kikwete alikuwa anashinda nje siyo mwehu ndo mana madaraja na ajira zilikuwa za kumwaga kwa sababu alikuwa anajua kula na kipofu ndo mana alikuja na msemo kwamba 'ukitaka kula lazima na wewe ukubali kuliwa kidogo" japo wengi hawakumuelew lakini it was too philosophical.

Unaposhinda unazulula mikoa ya pembeni huongezi chochote wala FDIs haziongezeki sanasana unaongeza chuki na kuwaumiza wafanyakazi wa chini. Wape nafasi wapumue ili vipaji vyao vijidhihirishe.

Kazi ya urais ni kutafuta pesa poppte zilipo pasipo kurely kuwakamua tu wananchi kodi pekee ambayo kwanza hawana pesa lakini ungang'ang'ana hizohizo, sasa huo sibkugawana umaskini. Toka nje mshikaji wangu.Shauri yako nchi inakushinda hivihivi!!
 
Kama unakosa vya kusema au kuandika acha kulalama utaheahimika zaidi . Toka lini nchi za mabeberu zikasaidia nchi zilizo masikini. Safari za nje hazisaidii , kama hamtaki kubadilika unafikiri kuna mtu atatoka nje kuwabadili . Acha hizo
 
Nilipata lift siku moja kwenye gari ya kigogo mmoja ndipo nilipoambiwa kwanini Rais wetu mpendwa hasafiri nje/mbali.
Ni afadhali ungeandika kwa kiingereza sijui, maana duuuuuuhhh.
Usimfundishe kazi.
 
Nilipata lift siku moja kwenye gari ya kigogo mmoja ndipo nilipoambiwa kwanini Rais wetu mpendwa hasafiri nje/mbali.
Ni afadhali ungeandika kwa kiingereza sijui, maana duuuuuuhhh.
Usimfundishe kazi.
ungeendelea kidogo tu hapo na sisi tupate kujua
 
Angalia mwenzako wa kenya uhuru anavyochanja mbuga na kuimarisha uwekazaji kutoka marekani na uingereza na kwingineko. Alikuwa juzijuzi kwa trump halafu teresa mei kamfata nyumbani wote wanaimairisha uwekezaji na mashirikiano kuimarika.

Plz safili kwa watu walioendelea ili usaidiwe mana huwezi kuwa kila siku wewe safari zako ni kwenda mwanza na kagera na mikoa mingine ukatarajia unaimarisha uchumi. Kumbuka ukienda huko wanakulilia tu uwasaidie na wewe huna hela hivyo mnaishia kugawana umasikini ambapo nyerere usosharist ulumshinda kwa sababu ya kugawana umaskini na watu na kuwaona wenye hela kama ni maadui. Mwenzio kikwete alikuwa anashinda nje siyo mwehu ndo mana madaraja na ajira zilikuwa za kumwaga kwa sababu alikuwa anajua kula na kipofu ndo mana alikuja na msemo kwamba 'ukitaka kula lazima na wewe ukubali kuliwa kidogo" japo wengi hawakumuelew lakini it was too philosophical.

Unaposhinda unazulula mikoa ya pembeni huongezi chochote wala FDIs haziongezeki sanasana unaongeza chuki na kuwaumiza wafanyakazi wa chini. Wape nafasi wapumue ili vipaji vyao vijidhihirishe.

Kazi ya urais ni kutafuta pesa poppte zilipo pasipo kurely kuwakamua tu wananchi kodi pekee ambayo kwanza hawana pesa lakini ungang'ang'ana hizohizo, sasa huo sibkugawana umaskini. Toka nje mshikaji wangu.Shauri yako nchi inakushinda hivihivi!!
Hayo alishafanya Mh Dr Jakaya Kikwete, na tulimpigia kelele mbona hatulii ndani, so usijifanye umesahau, Magufuli atulie Africa afanye yeye vile anavyotaka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Not Necessary. Si Lazima awafuate labda aende kuzungusha kopo. Ila kwa Trade its better waje wenyewe.

Hizi Multinational companies zina watumishi maalum kwa ajili ya kufuatilia maswala yanayoendelea Africa.

Kingine mtu akikufuata unakuwa kwenye position nzuri kwenye negotiations kuliko ukiwafuata.

Hata tukiawafuata nchi bado haijawa tayari kwa multibillion ya Investments. Hakuna Umeme wa Uhakika hakuna Maji ya Uhakika, barabara bado ni ishu angalia mvua zikianza. Pia kwenye masuala ya kisheria, mikataba etc bado hatuko vizuri.

Kwa hiyo hata ukimfuata mwekezaji bado huna cha kumpa zaidi ya li ardhi.

First we need to build and they will come.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama unakosa vya kusema au kuandika acha kulalama utaheahimika zaidi . Toka lini nchi za mabeberu zikasaidia nchi zilizo masikini. Safari za nje hazisaidii , kama hamtaki kubadilika unafikiri kuna mtu atatoka nje kuwabadili . Acha hizo
Maendeleo ya uchumi ni Sayansi, na Sayansi ni Elimu. Huwezi kuelimika kwa kujifungia labda kama umejifungia maabara ukifanya majaribio mbalimbali.

'Tunagawana umaskini'. Maneno haya yalisemwa na Mazrui kwenye moja ya maandishi yake akisema, 'Julius Nyerere nationalized nothing and socialized poverty'.

Uchumi wa leo ni uwekezaji. Yaani uwekezaji wa mitaji na teknolojia. Ukitaka kujua umuhimuna faida ya uwekezaji itazame South Korea VS North Korea.

North Korea mpaka leo baadhi ya wananchi wake wanakufa kwa njaa, wanafunzi wanabeba viti toka nyumbani kwenda kukalia shuleni, wakati Korea Kusini ikiwa moja ya vituo vikubwa vya maendeleo ya kielektronic.

Korea Kaskazini ni ya kujifungia, ni ya kujitenga na Dunia. Korea Kusini ni ya kuchangamanisha uchumi wake na wa Dunia huku faida ya uwekezaji mkubwa wa USA katika miaka ya 90, ikifurahiwa na wananchi wote kwa viwango tofauti.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Angalia mwenzako wa kenya uhuru anavyochanja mbuga na kuimarisha uwekazaji kutoka marekani na uingereza na kwingineko. Alikuwa juzijuzi kwa trump halafu teresa mei kamfata nyumbani wote wanaimairisha uwekezaji na mashirikiano kuimarika.

Plz safili kwa watu walioendelea ili usaidiwe mana huwezi kuwa kila siku wewe safari zako ni kwenda mwanza na kagera na mikoa mingine ukatarajia unaimarisha uchumi. Kumbuka ukienda huko wanakulilia tu uwasaidie na wewe huna hela hivyo mnaishia kugawana umasikini ambapo nyerere usosharist ulumshinda kwa sababu ya kugawana umaskini na watu na kuwaona wenye hela kama ni maadui. Mwenzio kikwete alikuwa anashinda nje siyo mwehu ndo mana madaraja na ajira zilikuwa za kumwaga kwa sababu alikuwa anajua kula na kipofu ndo mana alikuja na msemo kwamba 'ukitaka kula lazima na wewe ukubali kuliwa kidogo" japo wengi hawakumuelew lakini it was too philosophical.

Unaposhinda unazulula mikoa ya pembeni huongezi chochote wala FDIs haziongezeki sanasana unaongeza chuki na kuwaumiza wafanyakazi wa chini. Wape nafasi wapumue ili vipaji vyao vijidhihirishe.

Kazi ya urais ni kutafuta pesa poppte zilipo pasipo kurely kuwakamua tu wananchi kodi pekee ambayo kwanza hawana pesa lakini ungang'ang'ana hizohizo, sasa huo sibkugawana umaskini. Toka nje mshikaji wangu.Shauri yako nchi inakushinda hivihivi!!

Kesho kutwa anakwenda China kukutana na Jinping kwenye FOCAC, sisi tunawakilishwa na Waziri Mkuu Majaliwa.
Sio mbaya kwa rais kutopenda kusafiri na kukutana na viongozi wengine wakuu duniani na kuhudhuria mikutano inayohitaji uwakilishi wa juu wa nchi, lakini inapokuwa hivyo kunatakiwa kuwa na jitihada za zaidi kutoonekana kuwa nchi imejitenga na kujifungia ndani. Kenyatta wa kwanza nae hakusafiri kabisa, lakini Kenya ilibakia kuwa mshiriki mkubwa katika kutafuta maslahi ya nchi hiyo.

Hapa kwetu, pamoja na mkuu wa nchi kutotaka kwenda kuhemea, hali ya ndani ya nchi nayo inaweka mazingira yasiyo rafiki kwa wenye nia ya kuja hapa kuwekeza kuondokewa na wasiwasi.

Kitakachotokea ni kwamba wawekezaji watakuja kwa majirani zetu ili wavune toka kwetu kirahisi kwa vile nasi ni washiriki katika Jumuia ya Afrika Mashariki. Hatuwezi kuwazuia kuchukua mali gafi zetu na kuzitengeneza na kutuuzia vitu vya thamani kutokana na mali ghafi hizo.
Tutajifungia sana ndani na kuwanyoosha sana wabishi wa humu ndani, lakini na sote tutanyooshwa tu na walio nje na tusiokuwa na uwezo wa kuwanyoosha huko waliko.
 
Theresa May kaenda Kenya tena? Huyu Kenyatta anataka sifa sasa
Meanwhile sisi kwetu obama hata akija mbugani kwa matembezi yake binafsi na familia yake mishipa ya shingo inatusimama na kubwabwaja kutaka misifa as if tumeahidiwa kupewa pesa a budget ya miaka kumi sisi tubaki kujipangia matumizi tu....
Hopeless kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Angalia mwenzako wa kenya uhuru anavyochanja mbuga na kuimarisha uwekazaji kutoka marekani na uingereza na kwingineko. Alikuwa juzijuzi kwa trump halafu teresa mei kamfata nyumbani wote wanaimairisha uwekezaji na mashirikiano kuimarika.

Plz safili kwa watu walioendelea ili usaidiwe mana huwezi kuwa kila siku wewe safari zako ni kwenda mwanza na kagera na mikoa mingine ukatarajia unaimarisha uchumi. Kumbuka ukienda huko wanakulilia tu uwasaidie na wewe huna hela hivyo mnaishia kugawana umasikini ambapo nyerere usosharist ulumshinda kwa sababu ya kugawana umaskini na watu na kuwaona wenye hela kama ni maadui. Mwenzio kikwete alikuwa anashinda nje siyo mwehu ndo mana madaraja na ajira zilikuwa za kumwaga kwa sababu alikuwa anajua kula na kipofu ndo mana alikuja na msemo kwamba 'ukitaka kula lazima na wewe ukubali kuliwa kidogo" japo wengi hawakumuelew lakini it was too philosophical.

Unaposhinda unazulula mikoa ya pembeni huongezi chochote wala FDIs haziongezeki sanasana unaongeza chuki na kuwaumiza wafanyakazi wa chini. Wape nafasi wapumue ili vipaji vyao vijidhihirishe.

Kazi ya urais ni kutafuta pesa poppte zilipo pasipo kurely kuwakamua tu wananchi kodi pekee ambayo kwanza hawana pesa lakini ungang'ang'ana hizohizo, sasa huo sibkugawana umaskini. Toka nje mshikaji wangu.Shauri yako nchi inakushinda hivihivi!!
Wakati wa utawala wa Mao Zedong huko China sikusikia amasafiri nchi za nje na ni wakati huo China ilipiga hatua kubwa ya maendeleo. Sasa na sisi kidogo kidogo raisi wetu anatuletea maendeleo hivyo hivyo. Kwanza tujitambue sisi wenyewe, tujisimamie wenyewe. Lakini tukizoea vya kupewa na kuendekeza omba omba tutarudi tulipo toka. Viongozi wetu wabaki hapa hapa mpaka waelewe shida zetu na wazitafutie uvumbuzi kwa kutuelekeza sisi wenyewe kufanya kazi - hatuna mjomba!
 
Kama unakosa vya kusema au kuandika acha kulalama utaheahimika zaidi . Toka lini nchi za mabeberu zikasaidia nchi zilizo masikini. Safari za nje hazisaidii , kama hamtaki kubadilika unafikiri kuna mtu atatoka nje kuwabadili . Acha hizo
Well said walahi
Alafu aende akajidhalalishwe kama uhuru!
FCC6898C-5508-4684-AE34-11BD212E0215.jpeg
 
HII NI SAWA NA KUVULIWA NGUO KWENYE KADAMNASI WALAHI!
Hii ni mentally abused walahi
2316932B-975E-4BB1-AD06-2526893AF979.jpeg
 
Back
Top Bottom