vivian
JF-Expert Member
- Nov 2, 2009
- 1,749
- 1,000
Hivi kwanini Binadamu hatupendi kutumia akili zetu? Acheni kimchonganisha Pascal Mayalla na waandishi wa habari. Nilikua nasoma sana hoja za Pascal Mayalla kuhusu the economist na nilimuelewa sana.
Na kamwe usitegeeme Pasco atakuja hapa aseme kwenye uchambuzi wangu nilikua namaanisha hivi,
Acheni tabia zenu za speculations, nani kasema Erick amekamatwa kwasababu ya kazi yake ya kiuandishi? kwanini watanzania tunapenda sana speculations? kama unahisi kitu na huna uhakika nacho kwanini ukiandike mtandaoni?
Wengi tunamlilia Erick lakini kesi yake ndio ipo mahakamani ukweli utajulikana tu. Mimi sishangilii kuwekwa kizuizini kwa Erick nina machungu kama binadamu wenzangu ila ni kuomba Mungu haki itendeke.
Kama kuna ushahidi amehujumu uchumi basi awajibishwe, kama hakuna ushahidi basi ataachiwa huru.
Na kamwe usitegeeme Pasco atakuja hapa aseme kwenye uchambuzi wangu nilikua namaanisha hivi,
Acheni tabia zenu za speculations, nani kasema Erick amekamatwa kwasababu ya kazi yake ya kiuandishi? kwanini watanzania tunapenda sana speculations? kama unahisi kitu na huna uhakika nacho kwanini ukiandike mtandaoni?
Wengi tunamlilia Erick lakini kesi yake ndio ipo mahakamani ukweli utajulikana tu. Mimi sishangilii kuwekwa kizuizini kwa Erick nina machungu kama binadamu wenzangu ila ni kuomba Mungu haki itendeke.
Kama kuna ushahidi amehujumu uchumi basi awajibishwe, kama hakuna ushahidi basi ataachiwa huru.