Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,710
- 93,455
Afie huko hukoGaidi limezeeka vibaya sana linanyea ndoo uzeeni
Afie huko hukoGaidi limezeeka vibaya sana linanyea ndoo uzeeni
May be! Hata hiyo ya Mbowe ikawa karma, tutajuaje.Karma itakiwa imeanza kumtafuna,usishangae akishindwa kutokea mahakamani,akafie mbali.
#Mbowe si gaidi#
lazima augue kwa kuona video yake akichota maburungutu bankKesi ya uhujumu uchumi inayomkabili aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake sita leo Jumatano Novemba 3, 2021 imeahirishwa hadi kesho kwa kuwa Sabaya ni mgonjwa.
Katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha jana shauri la Sabaya lilipanga kuendelea kusikilizwa leo ambapo shahidi wa upande wa Jamhuri ambaye ni Ofisa wa Tehama wa Benki ya CRDB Kanda ya Kaskazini, Jofrey Nnko, alikuwa aendelee kutoa ushahidi.
Wakili wa utetezi Mosses Mahuna aliiomba mahakama kuahirisha kesi hiyo hadi kesho Alhamisi Novemba 4, 2021 kuwa Sabaya ni mgonjwa na wamepokea taarifa hizo leo asubuhi.
Hakimu Mkazi wa mahakama hiyo, Patricia Kisinda amekubali maombi hayo na kuahirisha kesi hiyo hadi kesho Novemba 4.
MWANANCHI
Jangili huyu anaumwa nini?
Ugali umewekwa kama mfano wa Tuzi😉 ajiandae ataumia mwanzo tu halafu atazoea🤣😆Itakua alikula huu ugaliView attachment 1997039
Kweli tupuHaumwi ameona aibu ushahidi wa video kutolewa na mtu wa tehama wa crdb ,hapo ndo pasua kichwa lazima apate presha
Tulia dada angu dawa iingiejangili kama mbowe
Anaweweseka.Tulia dada angu dawa iingie
SanaAnaweweseka.
Tofautisha kukonda na kupungua.Halafu amekonda sana
Kujiliwaza kwa nyimbo za Bob safarini.😂😂😂😂Tofautisha kukonda na kupungua.
Safarini Lucky Dube ndio hubamba zaidi ya Bob…hata hivyo usisubiri kufarijiwa kama mfiwa, jifariji mwenyewe.Kujiliwaza kwa nyimbo za Bob safarini.😂😂😂😂
Hasa ule wimbo wa Dracula.Safarini Lucky Dube ndio hubamba zaidi ya Bob…hata hivyo usisubiri kufarijiwa kama mfiwa, jifariji mwenyewe.
Na bado iwe fundisho kwa viongozi wa Aina yake.Bado mnataka kuendelea kumsagia Kunguni tu wakuu!!!? Binafsi ile 30 naona inamtosha
Yawezekana ana majipu.Jana tarehe 02 October 2021 DC wa zamani aletwa mahakamani huku mwendo wake unaashiria akichechemea kwa mbaali
Ilipoanza alikuwa anachukulia pouwa. Unaingia kwa mbwembwe na visuti . Full tabasam ngoja anyolewe kwa wembe na maji sasa.Halafu amekonda sana