storyteller
JF-Expert Member
- Nov 5, 2014
- 1,511
- 1,831
Dahhh but Pongezi kwa designer maana wabongo wangeanza kuchola mazao ramani makazi biashara na watu humo
Dahhh but Pongezi kwa designer maana wabongo wangeanza kuchola mazao ramani makazi biashara na watu humo
Ndy maana nimeachana na kazi za graphics designing..Kwa bongo hailipi..mtu anataka umfanyie poster design anakwambia ana elfu 5,na wewe Kwa kuwa Una njaa unaamua kukubali tuWabongo bado hatujajua thamani ya vitu kama hivi, na graphic designer wanazaliwa kila siku na hawajui ethics za hii kazi.
Kutengeneza identity ya firm ama company siyo mchezo.
Try to imagine 15,000 ni pesa ndogo sana, hata jeans moja hainunui.
Mkuu kibongobongo kuwa graphics designer ni ngumu sn kutoboaTatizo wabongo tuna tabia za kuchukulia poa profession za watu.
Yani mtu anatoa kazi kwa dharau, anakupangia malipo, anakupa deadline, anataka 10% na bado siku ya malipo anataka akulipie bar na anataka ofa ya vinywaji na chakula.
Hiyo logo mnaichukulia poa ila utakuta mhusika alichora michoro zaidi hata ya 1000, jaribu kumtafuta aliyeshinda hiyo logo na kama atakuwa kafanya interview ndio utaelewa alifanya kazi nzito.
Kama unataka kuona kituko zaidi tafuta redesign ya bendera ya japan, linganisha bei yake na kilichofanyika ndio utaona maajabu
Tena hiyo kazi ya logo kuna muda unaimaliza kuifanya alafu unajipa break km siku moja ,ukirudi kuiangalia tena unakutana na makosa kibaoKutengeneza logo mpaka uchemshe akili na wakati mwingine jina la kampuni lisomeke kwa kuiangalia hiyo logo, yaani ili ulione hilo jina mpaka wewe naye ujitume kuichanganua hiyo logo.
Sent from my cupboard using mug
Sio rahisi kama unavyoona!
Kuna Psychology na Marketing strategies nyuma take
Unashangaa hio,Pepsi walitumia 1M dollars Ku rebrand logo yao tu,na final product ikawa haina tofauti na former logo zaidi ya kubinuliwa kidogo tu
We unaona kazi rahisi,ila kuna akili nyingi imetumika
Angalia logo ya Amazon ujue Nina maana gani
Unaweza kuamini imebeba msingi wa amazon wa "customer's happiness"?
Sio lazima waniaminishe Lakini siamini kama ni kweli.
So idadi kubwa ya watu kwenye kampuni iliunga mkono hiyo logo?Hapana hiyo ndio itakuwa lifetime logo..logo za biashara kubwa huchukua muda sana kukubaliana ndani ya kampuni
Waza nje ya boxHuku Bongo watu wangetumia dakika tatu tu kuibuni hiyo.
Bado kuna Mengi hujayagundua hapo, Hiyo tabasamu unayoona pia ni mshale ukionyesha A to Z angalia ilipoanzia na ilipoishia. 😄View attachment 1751044
leo ndio nimejua kuwa hii logo inatabasamu
Ndio ukweli Huo ata hawatafuti attention, unajua thamani ya design ya logo ya BBC? Japokuwa ilikuwa ni miaka mingi imepita Ila ilikuwa $1,800,000. Shangaa mtu kapewa Huo Mpunga kudizaini Tu BBC inafurahisha Sana, au logo ya Pepsi ukiona simpo Tu ila expensiveNahisi walikuwa wanatafuta attention ya watu kwa ajili ya kuuza bidhaa waliyoizindua
Hahahaha, mkuu Nimecheka sanaUkipresent logo professionally hausemi HII HAPA LOGO YENU.
Natambua ni ndogo kwani company revenue ni USD 37billion hivyo unaposema usd 300,000 ni ndogo ina make sense.Pesa ile kwa ajili ya Logo kwa Company kama Xiaomi ni ya kawaida
Logo inabeba kampuni watu wanatoa mpunga kwa ajili yake.Natambua ni ndogo kwani company revenue ni USD 37billion hivyo unaposema usd 300,000 ni ndogo ina make sense.
Sasa mimi siongelei kwamba hiyo pesa ni kubwa au ndogo bali naongelea gharama za kutengeneza hiyo logo haiwezi fika kiasi hicho cha pesa.
Ulaya pia kuna Logo za dola 1 kibao,Ndio ukweli Huo ata hawatafuti attention, unajua thamani ya design ya logo ya BBC? Japokuwa ilikuwa ni miaka mingi imepita Ila ilikuwa $1,800,000. Shangaa mtu kapewa Huo Mpunga kudizaini Tu BBC inafurahisha Sana, au logo ya Pepsi ukiona simpo Tu ila expensive
Wenzetu wanachukulia serious sana na wanaheshimu Sana kazi ya mtu, huku kwetu mtu akikwambia umtengenezee logo ukisema laki 5 Tu unaskia poa nitakuchek, ndo harudi huyo na ajabu atapata atakaetengeneza ata Kwa elf 90,
Sent from my M2004J19C using JamiiForums mobile app
Ni kweli!Kutengeneza logo sio kitu chepesi aisee. Nilikua najaribu kutengeneza yani inachukua mda na akili nyingi kutumika,