ujoka
JF-Expert Member
- Nov 27, 2014
- 3,996
- 9,065
inategemea mkuu mteja wa kampuni, mjasiliamali mdogo mnyonge bei zao tofauti
inategemea mkuu mteja wa kampuni, mjasiliamali mdogo mnyonge bei zao tofauti
just imagine maumivu ya alie design logo ya tweetter alilipwa dollar sita 😀 😀 😀Wabongo bado hatujajua thamani ya vitu kama hivi, na graphic designer wanazaliwa kila siku na hawajui ethics za hii kazi.
Kutengeneza identity ya firm ama company siyo mchezo.
Try to imagine 15,000 ni pesa ndogo sana, hata jeans moja hainunui.
Hahaha... Mkuu hata yule Dada aliyedesign logo ya Swoosh ya Nike alilipwa pesa ndogo $35, na alitengeneza kipindi yupo chuo...just imagine maumivu ya alie design logo ya tweetter alilipwa dollar sita 😀 😀 😀
Baadae saana alikuja kupewa hisa kidooogo ambazo kwa sasa zina thamani kubwa. Jamaa alikuwa muungwana akamkumbuka baada ya miaka kuwaa logo yake imeleta mafanikio japo mwanzo hawakuwa wameikubali kivileHahaha... Mkuu hata yule Dada aliyedesign logo ya Swoosh ya Nike alilipwa pesa ndogo $35, na alitengeneza kipindi yupo chuo...
Nahisi walikuwa wanatafuta attention ya watu kwa ajili ya kuuza bidhaa waliyoizindua
Sio rahisi kama unavyoona!Kazi kwelikweli, hivi kuchora tu kapicha kadogo kama hako ndo pesa nyingi kiasi hicho? Kwani huto tupicha huwezi kuchora kwenye Microsoft office?? Nauliza tu wataalamu
Na haitakiwi kuwa mpya kabisa,ndiyo maana ya rebrandingIngekuwa ameianza mwanzo labda kwa kiasi hicho sio mbaya ila ye kairudia ile ya mwanzo kwa kuweka round-corner kwenye shape
Hio half story,baadae alilipwa pesa ya kutosha....na ana sehemu yake NikeHahaha... Mkuu hata yule Dada aliyedesign logo ya Swoosh ya Nike alilipwa pesa ndogo $35, na alitengeneza kipindi yupo chuo...
Hivi nikikuuliza kwanini designer amefikia hitimisho la kufanya hizo corner kuwa rounded unaweza kunijibu?Matumizi mabovu ya
Akili, Pesa na Muda.
Sawasawa mkuuHio half story,baadae alilipwa pesa ya kutosha....na ana sehemu yake Nike
Wakikaguliwa na CAG watakutwa hayo malipo yamefanyika bila risiti ya kielektronikiMpaka Sasa sijapata jibu kuhusu wajamaa kuwa ni kiki wanatafuta, Wamepigwa ama Kuna ubunifu gani umetumika hapa.
Kwa taarifa walizotoa ni kuwa imechukua Miaka mitatu kukamilisha hii design Mpya na Wamelipa kiasi cha dola za kimarekani $305,000 Kwa designer mjapani aitwaye Kenya Hara
View attachment 1746621
Hata hio Microsoft office ukiandika unatumia fonts za watu, software za watu, pengine hata hio design ukawa umetumia ya mtu ambayo amesha patent.Kazi kwelikweli, hivi kuchora tu kapicha kadogo kama hako ndo pesa nyingi kiasi hicho? Kwani huto tupicha huwezi kuchora kwenye Microsoft office?? Nauliza tu wataalamu
Bongo utakula kumi na tano elfu mpaka unyooke 😂😂Nauza vitu vyangu nianze hii kazi.
Sent from my cupboard using mug