Imebidi tu nicheke! Sio kwa ubunifu huu

ni kweli mnajikuta mnalala na watoto kisa tu baba wadogo wapo !nadhan nyingine kuwalaza sebulen itasaidia sana ila nadhan itakuwa applicable kwa baadhi ya makabila !ila sio 'wasukuma! wenyee hata kwenye zizi wako radhi walale
 
Kila jambo lina wakati wake... Japo bashite kamwambia dad is coming
Kifo kimeshatokea najua kinauma lakin tusimlaumu uyu mtoto, life goes on sema kila mtu ajifunze kwa wakati wake,... Wapo wakumsaidia wamsaidie

Jela sio sehemu nzuri, na tatizo watanzania hatujui kusamehe, tujifunze kwa hili tukio
 

Similar Discussions

24 Reactions
Reply
Back
Top Bottom