johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,901
- 141,837
Imegundulika kuwa wale wabunge wa CHADEMA waliomwandikia barua za maombi ya kujiunga na CCM, Mwenezi wa chama hicho ndugu Polepole wanakimbia makato ya kila mwezi.
Imeelezwa kuwa CHADEMA wana utaratibu wa kuwakata Wabunge wa viti maalumu Shilingi laki 5 na wale wa kuchaguliwa Shilingi milioni 1 kila mwezi.
Endapo CCM itakubali maombi ya wabunge na madiwani hao kuhamia kwao, CHADEMA itabakia na Wabunge wasiozidi 20 Bungeni.
Imeelezwa kuwa CHADEMA wana utaratibu wa kuwakata Wabunge wa viti maalumu Shilingi laki 5 na wale wa kuchaguliwa Shilingi milioni 1 kila mwezi.
Endapo CCM itakubali maombi ya wabunge na madiwani hao kuhamia kwao, CHADEMA itabakia na Wabunge wasiozidi 20 Bungeni.