Hijja Madava
JF-Expert Member
- May 14, 2014
- 3,302
- 1,936
Tembo wamevamia makazi ya watu wilayani Mwanga. Wakati sisi wataalam wa wanyamapori tukishirikiana na askari wa wanyamapori kuwaondosha kitaalamu, Mbunge Maghembe ameunda kikosi cha waganga wa kienyeji ili kuwafukuza Tembo hao kwa njia ya kitamaduni.
My Take:
Kama hao ndio wasomi wetu tuna kazi kubwa!
My Take:
Kama hao ndio wasomi wetu tuna kazi kubwa!