Imani za Jamii kuhusu uaminifu wa mwanaume wakati wa ujauzito: Ukweli au Dhana Potofu?

Zekoddo

JF-Expert Member
Jul 28, 2022
1,862
4,543
Kwenye jamii zetu au huku mitaanj kuna story zinasema,, Mume au Mwenza wa kiume akienda kucheat(kuchepuka) hali ya kuwa Mkewe au Mpenziwe ni mjamzito anaweza kusababisha matatizo kwa mtoto au mama kabla/wakati wa kujifungua au kupeleka mtoto/mama kupoteza maisha kabisa.

Hii imekaaje kwenye ulimwengu wa kiroho au ulimwengu huu wa nje..?
 
Kwenye jamii zetu au huku mitaanj kuna story zinasema,, Mume au Mwenza wa kiume akienda kucheat(kuchepuka) hali ya kuwa Mkewe au Mpenziwe ni mjamzito anaweza kusababisha matatizo kwa mtoto au mama kabla/wakati wa kujifungua au kupeleka mtoto/mama kupoteza maisha kabisa.

Hii imekaaje kwenye ulimwengu wa kiroho au ulimwengu huu wa nje..?
Zamani walikua wakiamini kupitia miungu /Mizimu kupitia Koo husika lkn teknologia imekuja kuharibu lengo kabisa nakutufanya mapunguani kila unachoambiwa unaona sawa Mimi katika Imani yangu ya Mizimu ya Koo naamini hilo
 
Kweli kabisa ujauzito unaweza kutoka ama mama na mtoto tumboni wakafa kama mke akikagua simu ya mumewe na kuona meseji za kimahaba na matukio ya kukutana kupiga sho kati ya mume na mchepuko, akimaliza kusoma hizo meseji lazima litafutwe gari la wagonjwa.. ila mume aki cheat kimya kimya bila ushahidi wa meseji za simu haitaleta shida yoyote kwe mama mjamzito mpaka kuzaa kwake.
 
Kweli kabisa ujauzito unaweza kutoka ama mama na mtoto tumboni wakafa kama mke akikagua simu ya mumewe na kuona meseji za kimahaba na matukio ya kukutana kupiga sho kati ya mume na mchepuko, akimaliza kusoma hizo meseji lazima litafutwe gari la wagonjwa.. ila mume aki cheat kimya kimya bila ushahidi wa meseji za simu haitaleta shida yoyote kwe mama mjamzito mpaka kuzaa kwake.
😂😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom