Imagine:

Atoti

Senior Member
Nov 30, 2010
118
6
I just imagined this, nimecheka sana nikaamua kupost humu! Hivi kama sehemu ya siri ya men ingekuwa kama kifutio ukitumia inaisha ingekuwaje?
 
Simple, tungeitumia kwa umakini kwa wanaoistahili tu...

Isitoshe, hilo suala haliwezekani. Ndo maana haikuwa hivyo!
 
kifutio cha aina gani??? Pencil or B'board???? koz kama ni kifutio cha B'board hakiishi kiivo....beside ili kifutio kitumike we need to make mistakes in writing or running out of writing space...so watu tungekuwa careful sana such that tusingemake mistakes........................So hakuna matumizi ya Kifutio.......
 
kifutio cha aina gani??? Pencil or B'board???? koz kama ni kifutio cha B'board hakiishi kiivo....beside ili kifutio kitumike we need to make mistakes in writing or running out of writing space...so watu tungekuwa careful sana such that tusingemake mistakes........................So hakuna matumizi ya Kifutio.......
.

Rubber, kifutio cha pencil! Ingekuwa raha kweli!! Perfect dawa ya ukware..
 
Simple, tungeitumia kwa umakini kwa wanaoistahili tu...

Isitoshe, hilo suala haliwezekani. Ndo maana haikuwa hivyo!

Tanmo, acha hasira lol! It wud v bn so nice dont u think so ingekuwa kwa kipimo..
 
Mmmh, vingine vingekua vimeisha hata kabla ya ndoa, so ingekua ni kupumzika tu usubiri kufa!!! kweli umefikiria huna tofauti na Abunuasi!!!
 
Kama ingekuwa hivyo kuisha kama raba, je wachina, wajapani, wakorea wangekuwana nini? may be nodes!
 
Mmmh, vingine vingekua vimeisha hata kabla ya ndoa, so ingekua ni kupumzika tu usubiri kufa!!! kweli umefikiria huna tofauti na Abunuasi!!!
Watu wangekuwa flaaaat!
 
Hahahaaa uuwiii Preta kama nakuona ukisema hayo maneno.. Wangekuwa na nidhamu hao acha kabisa
Jamani mbona mnatu-nyanyapaa wababa lakini, mimi nadhani rate ya hiki kifutio kufuta ingelikuwa labda ni twice a year ili kukifanya ki-last long.
 
Back
Top Bottom