.kifutio cha aina gani??? Pencil or B'board???? koz kama ni kifutio cha B'board hakiishi kiivo....beside ili kifutio kitumike we need to make mistakes in writing or running out of writing space...so watu tungekuwa careful sana such that tusingemake mistakes........................So hakuna matumizi ya Kifutio.......
Duh! wengi tungekua na mifutio mifupi sana, haijalishi tumefuta karatasi ngapi bali mara ngapi.
Mh kashehe, ingesaidia sana hata watu wasingeishi kwa matumaini siku za leo.:target:
Umeona eh!
Jamani mbona mnatu-nyanyapaa wababa lakini, mimi nadhani rate ya hiki kifutio kufuta ingelikuwa labda ni twice a year ili kukifanya ki-last long.Hahahaaa uuwiii Preta kama nakuona ukisema hayo maneno.. Wangekuwa na nidhamu hao acha kabisa