Hivi hawa Polisi sisiem walivyo maharage ya mbeya kutii amri za CCM ndio wangekuwa Mahakimu. Hivi si magereza yangejaa wapinzani. Sio siri lazima kitu kifanyike ili wasilazimishe sheria kuadhibu wasio na hatia. Nawalaani hawa Polisi, na hawa makamanda wanaoonea watu nao waonewe wakistaafu huko mtaani ili waheshimu uhai wa wenzao