I'm obese....nisaidiwe tafadhali

genltesoul

Member
Dec 27, 2012
30
8
Hope hamujambo sana

mimi wananiita bonge nina uzito wa kg 97 lakini my ideal wt kitaalamu ni kg 65 nilianza shida hizi baada ya uzazi miaka mitano nyuma nimeshindwa kabisa kurudi kwa uzito wangu wa mwanzo.....nimefanya mazoezi..nimechemsha sababu spidi ya njaa inakuwa kubwa nimejinyima sana naambulia ulcers ss jitihada naona zinaelekea ukingoni huku nikiumwa sana na miguu na kiuno.....kwa aina ya professional yangu(mi ni banker)naomba nisaidiwe namna ya kuwa na uzito wenye afya......
 
Pole sana dada yangu! Kuna dietary program unaweza kuitumia, ina cho kifanya ni kupunguza matumiz ya carbs mwilin na kusababisha mafuta uliyo nayo kupungua kwa kutumika kama chakula mwilin. If u are real in need nitafute 0752720276 nitakueleza inavyofanya kaz. Ina mafanikio mazuri na hakuna madhara yanayofahamika mpaka sasa.
 
Pole sana @gentlesoul . Kosa namba moja kwenye weight loss ni kujinyima chakula. Ulitakiwa kula mwili wako ukihitaji chakula lakini usile vyakula vibaya. Unapunguza carbs, limit it to once a day, sana sana asubuhi sababu mwili wako unahitaji carbs, ni kama kuweka mafuta kwenye gari.

Pamoja na kupunguza carbs (na vyakula vyenye sukari na mafuta) unatakiwa kufanya mazoezi. Anza taratibu, si lazima ukimbie mbio from day 1. Unaanza kwa kutembea, unaongeza muda wako wa kutembea ukiona unaanza kuzoea route yako. Baada ya hapo unaweza kuanza kukimbia kidogo kidogo (sema dakika 1 moja unakimbia, dakika 2 unatembea, rudia).

Kumbuka weight loss inachukua muda mrefu. Ulisema ni miaka mitano sasa toka hili tatizo lianze, kwahiyo jipe at least mwaka mmoja kupunguza hizo kilo. Usifanye kama diet, chukulia ni kama lifestyle change, yaani utaanza kula vizuri na kufanya mazoezi kama moja ya hobbies zako. Kama watoto wako ni wakubwa kidogo unaweza ukachukua muda kucheza nao, na kukimbizana kama zoezi. Si lazima kutumia machines. Exercise can be fun.
 
Hope hamujambo sana

mimi wananiita bonge nina uzito wa kg 97 lakini my ideal wt kitaalamu ni kg 65 nilianza shida hizi baada ya uzazi miaka mitano nyuma nimeshindwa kabisa kurudi kwa uzito wangu wa mwanzo.....nimefanya mazoezi..nimechemsha sababu spidi ya njaa inakuwa kubwa nimejinyima sana naambulia ulcers ss jitihada naona zinaelekea ukingoni huku nikiumwa sana na miguu na kiuno.....kwa aina ya professional yangu(mi ni banker)naomba nisaidiwe namna ya kuwa na uzito wenye afya......
Mkuu genltesoul Dawa mbona imepatikana ya kukuondowa wewe huo uzito na kitambi hebu tembelea hapa https://www.jamiiforums.com/jf-doct...zito-wa-mwili-na-unene-na-mafuta-mwilini.html
 
Hope hamujambo sana

mimi wananiita bonge nina uzito wa kg 97 lakini my ideal wt kitaalamu ni kg 65 nilianza shida hizi baada ya uzazi miaka mitano nyuma nimeshindwa kabisa kurudi kwa uzito wangu wa mwanzo.....nimefanya mazoezi..nimechemsha sababu spidi ya njaa inakuwa kubwa nimejinyima sana naambulia ulcers ss jitihada naona zinaelekea ukingoni huku nikiumwa sana na miguu na kiuno.....kwa aina ya professional yangu(mi ni banker)naomba nisaidiwe namna ya kuwa na uzito wenye afya......

Very simple: tumia limao, asali na pilipili manga. Pitia hapa: Mafanikio Na Afya Njema: Jinsi Ya Kupunguza Unene - Home Remedies for Obesity
 
Hope hamujambo sana

mimi wananiita bonge nina uzito wa kg 97 lakini my ideal wt kitaalamu ni kg 65 nilianza shida hizi baada ya uzazi miaka mitano nyuma nimeshindwa kabisa kurudi kwa uzito wangu wa mwanzo.....nimefanya mazoezi..nimechemsha sababu spidi ya njaa inakuwa kubwa nimejinyima sana naambulia ulcers ss jitihada naona zinaelekea ukingoni huku nikiumwa sana na miguu na kiuno.....kwa aina ya professional yangu(mi ni banker)naomba nisaidiwe namna ya kuwa na uzito wenye afya......
View attachment 99045
Hi! If you are in DSM. On Tuesday 25/6 next week at Grandvilla hotel 5pm, Fat to Fit club has organised a very fantastic session about health eating habit and how to lose some weight you desire and maintaining your weight. If you real need to lose weight please call for booking. 0713 348165
 
Back
Top Bottom