Illuminatha Dominick asiposhinda Miss Tanzania Hashim L utatumbuliwa tu

Kumwoa bure ni bure. Kumtuza baada ya kumwoa ni bure pia?
Nani kakwambia siwezi kumtunza mtu alieshindwa kuwa miss Tanzania?mtoto chini ya miaka ishirini asie na kazi ya ajabu ana maajabu gani mpaka nishindwe kumtunza?Waliogombea toka 1995 ni wengi na asilimia 95 walishaolewa na wanatunzwa bila makeke mkuu.
 
Back
Top Bottom