Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,173
Ujana kweli una utamu wake...............alipokuwa kinda akaolewa kwa ndoa ya mkeka alishangilia na kuweka dole gumba lake kwenye "huenda ikawa ndoa ya wake wengi"...aliyafanya haya yote akifikiria kapata kumbe kapatikana........
sasa ujana umepita na mumewe anaona mikunyanzi imeanza kwa mkewe -haioni ya kwake, lol - na uwezo wa kumudu majukumu yale yenyewe ya kitandani umeanza kupungua kwa hiyo akapitia mkataba wa harusi na kugundua kipengele walichokubaliana kuwa huenda ndoa hiyo itakuwa ya wake wengi...............baada ya kumshtua mkewe kuwa anafikiria kumpunguzia majukumu.........ugomvi wake umedumu sasa kwa miezi saba na hakuna suluhishi..................jamaa anasema nyumbani kwake ni uwanja wa vita....................na matusi tena ya nguoni hata siwezi kuyabandika hapa............
Jamani kumbukeni ujana una mwisho mnapofanya maamuzi kumbukeni kuna siku hamtakuwa lulu tena bali jiwe chakavu na hapo yasije kuwakuta haya yaliyomkuta aliyekuwa kivuto cha wanaumme wengi enzi zake.......
sasa ujana umepita na mumewe anaona mikunyanzi imeanza kwa mkewe -haioni ya kwake, lol - na uwezo wa kumudu majukumu yale yenyewe ya kitandani umeanza kupungua kwa hiyo akapitia mkataba wa harusi na kugundua kipengele walichokubaliana kuwa huenda ndoa hiyo itakuwa ya wake wengi...............baada ya kumshtua mkewe kuwa anafikiria kumpunguzia majukumu.........ugomvi wake umedumu sasa kwa miezi saba na hakuna suluhishi..................jamaa anasema nyumbani kwake ni uwanja wa vita....................na matusi tena ya nguoni hata siwezi kuyabandika hapa............
Jamani kumbukeni ujana una mwisho mnapofanya maamuzi kumbukeni kuna siku hamtakuwa lulu tena bali jiwe chakavu na hapo yasije kuwakuta haya yaliyomkuta aliyekuwa kivuto cha wanaumme wengi enzi zake.......