Iliyokuwa foleni mataa /round abaout Ubungo kwa sasa imehamia kipande cha Rombo hadi Korogwe

Baada ya barabara ya juu Ubungo flyover kuanza kutumika na kumaliza kabisa kabisa ule usumbufu wa foleni barabara ya morogoro sasa imekuwa kero kuanzia kiande cha rombo hadi kimara korogwe...
Afadhali umewaza kidogo ila hiyo lami ya kushoto mpaka resort tatzo litakuwa halijaisha mana kuna foleni nyingine pale kimara mwisho ambayo moja ya sababu ni barabara inayoingia kwenda kimara mabondeni sijui ndo bonyokwa lakini pia kuna stend finyu iliyotengenezwa ambayo inasababisha daladala kushusha na kupakia barabara. Kiukweli hii nchi haina wataalam wamekaa kula kodi zetu tu.

Mi huwa nasema kila siku kama ningekuwa Rais ningepunguza wafanyakazi kwenye idara nyingi sana serikali kisha nikawaajiri wataalam toka nje (wazungu) japo kwa miaka mitano tukawalipa mishahara Yao mikubwa naamini tusingekuwa na upuuzi kama huu tunaotengenezewa kila kukicha. Yaan wanachofanya viongozi wetu na wataalam wetu ni kuhamisha tatizo toka sehem moja kwenda sehem nyingine.
 
... tatizo linachangiwa pakubwa na wingi wa zebra crossings kutoka na kuingia vituo vya mwendokasi; kila baada ya mita chache zebra! Zebra za kituo cha Korogwe zinasababisha foleni hadi Rombo (jioni) na foleni hadi Stop Over (asubuhi) ni tatizo kubwa! Maeneo ya kati ya Ubungo na Magomeni ni foleni ndefu pande zote za barabara kutokana na wingi wa zebra za kutoka na kuingia vituo vya mwendo kasi (mwanzo na mwisho wa kituo!).

Kutoka na kuingia vituoni ilitakiwa iwe ama kupitia tunnels au madaraja kama ilivyo pale Kimara ili kuruhusu magari ya kawaida kutosimama kila baada ya mwendo mfupi. Hali iliyopo sasa hivi kuendesha gari Morogoro Rd. ni adha kubwa sana.

Hakuna uzembe mkubwa uliofanyika kama kuweka lanes za b mwendokasi katikati halafu vituo vipo karibukaribu kila baada ya mita 200/300.lanes za mwendokasi zilitakiwa zikae kushoto kabisa na vituo vyao pamoja na daladala vilikuwa view vya kuingia kabisa huko ndani na kama ilivyokuwa kile kituo cha daladala cha magomeni mapipa zamani.
 
Afadhali umewaza kidogo ila hiyo lami ya kushoto mpaka resort tatzo litakuwa halijaisha mana kuna foleni nyingine pale kimara mwisho ambayo moja ya sababu ni barabara inayoingia kwenda kimara mabondeni sijui ndo bonyokwa lakini pia kuna stend finyu iliyotengenezwa ambayo inasababisha daladala kushusha na kupakia barabara. Kiukweli hii nchi haina wataalam wamekaa kula kodi zetu tu...
Yaa ni kweli kam pale kimara kituoni bora daladala zingekuwa zinanyooka na servese road zikatokee kule round abaut mwisho kule hii nayo ingepunguza hii adha
 
Hakuna uzembe mkubwa uliofanyika kama kuweka lanes za b mwendokasi katikati halafu vituo vipo karibukaribu kila baada ya mita 200/300.lanes za mwendokasi zilitakiwa zikae kushoto kabisa na vituo vyao pamoja na daladala vilikuwa view vya kuingia kabisa huko ndani na kama ilivyokuwa kile kituo cha daladala cha magomeni mapipa zamani.
Matokeo yake ni foleni kila mahali. Unajaribu kutibu tatizo hili matokeo yake unasababisha tatizo lingine kubwa zaidi. Halafu ni kama hawajajifunza au hawataki kuelewa; ujenzi unaoendelea kuanzia Kimara - Kibaha wanaendelea na kosa lile.
 
daraja la juu ambalo endapo litafunguliwa napendekeza liitwe daraja la Magufuli kwenda sambamba na hostel zetu pendwa za Magufuli.
Vile mwendakuzimu alivyofurahia kutokea huko kuzimu uliposema kuwa daraja la juu liitwe jina lake.
AYrClH-.jpg
 
Back
Top Bottom