Rufiji dam
JF-Expert Member
- Feb 20, 2020
- 3,803
- 8,794
Tokea kuruhusiwa kwa daraja la juu pale Ubungo kwa magari kupita juu hasa yatokayo Mwanza; Mbeya, Iringa na Bukoba na nchi za nje kulionyesha kama kutaleta unafuu kiasi fulani lakini hali sio kabisa kumekuwepo a foleni sana nyakati za jioni pindi ukimaliza daraja la juu ambalo endapo litafunguliwa napendekeza liitwe daraja la Magufuli kwenda sambamba na hostel zetu pendwa za Magufuli.
Kero hasa ipo kituo cha Korogwe hii inatokana uenda kuna uzembe wa Trafiki ama kuzidiwa na magari hasa kipindi hiki ama vyote kwa pamoja.
Ni muda sasa umefika Trafiki wetu wa Korogwe na Kimara mwisho wabadilike haiwezekani ukimaliza kimara Mwisho kuitafuta Mbezi ya kimara hakuna foleni.
Kero hasa ipo kituo cha Korogwe hii inatokana uenda kuna uzembe wa Trafiki ama kuzidiwa na magari hasa kipindi hiki ama vyote kwa pamoja.
Ni muda sasa umefika Trafiki wetu wa Korogwe na Kimara mwisho wabadilike haiwezekani ukimaliza kimara Mwisho kuitafuta Mbezi ya kimara hakuna foleni.