Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,870
- 155,831
- Thread starter
- #21
Kuhoji haina maana ni kuwa atheist.Kaka naona soon utachaguliwa kuwa katibu wa Atheism Tanzania
Kuhoji haina maana ni kuwa atheist.Kaka naona soon utachaguliwa kuwa katibu wa Atheism Tanzania
Aisee, watu kweli wamepigwaWatu wa dini hapa mepigwa na kitu chenye uzito mkubwa.
Tukisema iliwezekana kiroho kwanini sasa isingenengwa tu ya futi moja ili kuonyesha uwezo mkubwa zaidi wa Mungu na kumpunguzia kazi Noah?
Ule ni msemo tu, kiuhalisia yona alitumwa na mfalme kwenda ninawi, kuonana na mfalme shulmaneser aliekua anaugua na alikuwa ameshakabidhi madaraka kwa mwanae Shamsi Adnan,, lengo la delegation ilikua ni kwenda ku normalise uhusiano wao ili asyria asiivamie na kuiteka nchi ya yudah,Kwanini leo samaki hawamezi watu kwa siku tatu na kwenda kuwatapika?
FixKwa uweza wa Mungu
fix number 2Kisayansi...haiwezekani....
Ila kwa MUNGU Hata vilivyobebwa ni vidogo...ingeweza kubeba inavyotaka MUNGU..sio mtu...nenda kasome story ya LWANDA MAGERE..jinsi alivyoweka lita 3000 kwenye kibuyu cha kubeba mkononi....shida yetu technologia yetu ipo low sana
ChangaWasalaam.
Dhumuni la uzi huu ni kutaka kujua iliwezekanaje safina ambayo ina urefu wa futi 500 waweze kuingia wanyama wote hao? Tena na chakula chao?
Naamini jukwaani hapa kuna wajuzi wengi tutasaidiana kujadiliana.
View attachment 2084003
NomaKwa uweo wa mungu Goliath alipigwa na dogo ila ki uhalisia dogo angekunya
Kwa hiyo we una amini kabisa ulimwengu mzima ni nuhu ru ambaye alikuwa akimiliki safina?Mbona hilo dogo tu, jiulize mtu aliekufa kwa siku tatu alifufukaje? Wakati damu, moyo n.k vilisimama!
Ya kaisari unamwachia kaisari, ya Mungu yanafanyika kwa uweza wa Mungu
Mbona dimensions zake zipo kwenye biblia jamani....alafu ujue alitengeneza kwa miaka 40Watakuja kukwambia kuwa mahesabu ya zamani na ya sasa ni tofauti,kwamba milioni moja ya zamani in sawa na elfu 10 ya sasa hivi
Kila siku watu wa dini wanapigwa na kitu kizito kichwani.Aisee, watu kweli wamepigwa
Kisayansi...haiwezekani....
Ila kwa MUNGU Hata vilivyobebwa ni vidogo...ingeweza kubeba inavyotaka MUNGU..sio mtu...nenda kasome story ya LWANDA MAGERE..jinsi alivyoweka lita 3000 kwenye kibuyu cha kubeba mkononi....shida yetu technologia yetu ipo low sana
Straw man's argument is when you create fake argument and beat it.Wasalaam.
Dhumuni la uzi huu ni kutaka kujua iliwezekanaje safina ambayo ina urefu wa futi 500 waweze kuingia wanyama wote hao? Tena na chakula chao?
Naamini jukwaani hapa kuna wajuzi wengi tutasaidiana kujadiliana.
View attachment 2084003
Ni wapi uliambiwa Samaki wamepewa kazi ya kumeza nka kutapika watu kwa siku tatu kila wakati?Kwanini leo samaki hawamezi watu kwa siku tatu na kwenda kuwatapika?
we jamaaKwa uweo wa mungu Goliath alipigwa na dogo ila ki uhalisia dogo angekunya
Kawateka kirahisi kweli! Hakuna mahali Safina ilipaswa kubeba "species" zote za duniani. Mfano Mbwa pekee wana "species" nyingi sana ambazo ni variation ya Mbwa. Kwa hiyo Nuhu alipaswa kuruhusu Mbwa wawili tu na sio kila "species". Kwa hiyo suala la kubeba wanyama milioni 7+ ni swali la kupotosha.Watakuja kukwambia kuwa mahesabu ya zamani na ya sasa ni tofauti,kwamba milioni moja ya zamani in sawa na elfu 10 ya sasa hivi
Ah, kama maswali feki kama haya ndio kitu kizito basi hakuna kitu kizito duniani.Kila siku watu wa dini wanapigwa na kitu kizito kichwani.
Unaweza kuwa na laana kweli. Kuhoji mtoa sadaka kwa hiyari yake na hujamsaidia kutafuta inaweza kuwa dalili ya laana pia!Ukimuuliza Mrutheri hivi kwanini mnafanya harambee ya ujenzi wa kanisa huku mna kapu la sadaka ya ujenzi atakuona umelaaniwa