King Savi
Member
- Sep 5, 2014
- 71
- 262
Asante mkuu, ila nakwambia bora hao waluguru, wafipa Ni wavivu na wengi wao ndio vibarua, yaani ukitaka kufanya kazi inayohitaji kibarua si rahisi kupata mtu tofauti na hawa sasa ufanyaji wao kazi usipomsimamia ujue kazi imeharibika, yaani Ni shida tuu hakuna afadhaliPoole sana
Sasa omba usikutane na hawa wa morogoro ( waluguru) baadhi lakini utaona rangi zote.
Lakini huu mkoa Ni blessed sana yaani Kuna fursa ila inahitaji usimamizi wa karibu sana