Kweli iko shughuli. Ilitakiwa wakurugenzi wa wilaya wawe na minimum required qualification let say master degree. Kisha kazi ziwe zinztangazwa na kushindaniwa kwenye usaili.
Hii biashara ya kuteuana ndio inaongeza matakwa ya katiba mpya. Nchi nyingine hata maafisa wakuu wa wilaya kama afya, kilimo, mofugo wanatuma maombi baada ya nafasi kutangazwa. Tusiende mbali hata hapo Namibia wana huu utaratibu.
Watanzania amkeni, bila katiba tumeliwa.
Hii biashara ya kuteuana ndio inaongeza matakwa ya katiba mpya. Nchi nyingine hata maafisa wakuu wa wilaya kama afya, kilimo, mofugo wanatuma maombi baada ya nafasi kutangazwa. Tusiende mbali hata hapo Namibia wana huu utaratibu.
Watanzania amkeni, bila katiba tumeliwa.