Ilipobainika kuwa Mfalme ana matatizo ya afya ya ubongo shida ilikuwa jinsi ya kumfahamisha

Sky Eclat

JF-Expert Member
Oct 17, 2012
57,597
215,272
Katika kijiji cha Mtakuja walimpata Mfalme ambae alikuwa kipenzi cha watu. Watu walimpenda Mfalme na Mfalme aliwapenda raia wake. Mfalme alirithi ufalme kutoka kwa baba yake, na alikuwa bado na nguvu zake. Raia walimtegemea jemedari huyu kuwaongoza kwa muda mrefu.

Matatizo yalianza katika kauli za Mfalme. Wazee wenye busara na waganga wa kienyeji katika kijiji kile waligundua tatizo la Mfalme. Shida ikawa jinsi ya kumfahamisha kuwa Mfalme unahitaji tiba.

Afya ya akili ni afya kama ilivyo ya mwili. Wakati mwingine chemikali na chembe hai zinazosafirisha habari zinapata matatizo. Tatizo la afya ya akili linatibika ingawa linahitaji tiba ya muda mrefu na mgonjwa awe ametulia. Lakini katika miaka ile wana Mtakuja walitegemea mizizi na miti shamba katika tiba zao.

Wote waliokwazwa na kauli za Mfalme walimsamehe baada ya kugundua matatizo yake.

Asante sana marehemu bibi yangu kwa kunisimulia kisa hiki.
 
Katika kijiji cha Mtakuja walimpata Mfalme ambae alikuwa kipenzi cha watu. Watu walimpenda Mfalme na Mfalme aliwapenda raia wake. Mfalme alirithi ufalme kutoka kwa baba yake, na alikuwa bado na nguvu zake. Raia walimtegemea jemedari huyu kuwaongoza kwa muda mrefu...
Hao wazee inawezekana waligundua umuhimu wa Mfalme kwa kuona maendeleo makubwa licha ya tatizo la akili alilokuwa nalo Mfalme.
Ndio maana waliamua kumsamehe licha ya maneno yake makali yaliyo wakwanza.
 
Hao wazee waligundua umuhimu wa Mfalme kwa kuona maendeleo makubwa licha ya tatizo la akili alilokuwa nalo Mfalme.
Ndio maana waliamua kumsamehe licha ya maneno yake makali yaliyo wakwanza.
Kwani na wewe bibi yako alikuhadithia hadithi kama hii? Bibi yangu alinihadithia tabia ya Mfalme ya kuweka vinyongo na kulipiza visasi kwa waliomkwaza.
 
Kwani na wewe bibi yako alikuhadithia hadithi kama hii? Bibi yangu alinihadithia tabia ya Mfalme ya kuweka vinyongo na kulipiza visasi kwa waliomkwaza.
No.
Ila hadithi yako inajieleza yenyewe.

Now umeongeza kitu ambacho kwenye hadithi hujakoweka.

"Bibi yangu alinihadithia tabia ya Mfalme ya kuweka vinyongo na kulipiza visasi kwa waliomkwaza"

Tulia andika hadithi kamili au kama ni episode tuambie mapema.
 
Every body is mad, we only vary the degree of madness

Mkuu ukikutana na bibi yako umuulize kuhusu afya ya mifupa ya miguu na nyonga nayo ina umuhimu wowote kwa mfalme wa nchi?
 
Every body is mad, we only vary the degree of madness

Mkuu ukikutana na bibi yako umuulize kuhusu afya ya mifupa ya miguu na nyonga nayo ina umuhimu wowote kwa mfalme wa nchi?
 
Every body is mad, we only vary the degree of madness

Mkuu ukikutana na bibi yako umuulize kuhusu afya ya mifupa ya miguu na nyonga nayo ina umuhimu wowote kwa mfalme wa nchi?
 
Katika kijiji cha Mtakuja walimpata Mfalme ambae alikuwa kipenzi cha watu. Watu walimpenda Mfalme na Mfalme aliwapenda raia wake. Mfalme alirithi ufalme kutoka kwa baba yake, na alikuwa bado na nguvu zake. Raia walimtegemea jemedari huyu kuwaongoza kwa muda mrefu.

Matatizo yalianza katika kauli za Mfalme. Wazee wenye busara na waganga wa kienyeji katika kijiji kile waligundua tatizo la Mfalme. Shida ikawa jinsi ya kumfahamisha kuwa Mfalme unahitaji tiba.

Afya ya akili ni afya kama ilivyo ya mwili. Wakati mwingine chemikali na chembe hai zinazosafirisha habari zinapata matatizo. Tatizo la afya ya akili linatibika ingawa linahitaji tiba ya muda mrefu na mgonjwa awe ametulia. Lakini katika miaka ile wana Mtakuja walitegemea mizizi na miti shamba katika tiba zao.

Wote waliokwazwa na kauli za Mfalme walimsamehe baada ya kugundua matatizo yake.

Asante sana marehemu bibi yangu kwa kunisimulia kisa hiki.
Asante nawe pia kwa kushare nasi
 
Katika kijiji cha Mtakuja walimpata Mfalme ambae alikuwa kipenzi cha watu. Watu walimpenda Mfalme na Mfalme aliwapenda raia wake. Mfalme alirithi ufalme kutoka kwa baba yake, na alikuwa bado na nguvu zake. Raia walimtegemea jemedari huyu kuwaongoza kwa muda mrefu..
Afya ya akili ni afya kama ilivyo ya mwili. Wakati mwingine chemikali na chembe hai zinazosafirisha habari zinapata matatizo. Tatizo la afya ya akili linatibika ingawa linahitaji tiba ya muda mrefu na mgonjwa awe ametulia.

Lakini katika miaka ile wana Mtakuja walitegemea mizizi na miti shamba katika tiba zao.
 
Bibi alisahau kukusimulia na mengine mengi yaliyofanywa na mfalme. Wenda yalikua mazuri ila bibi hakuyaelewa, labda kwa sababu nae hakua na akili nzuri ya kuyaelewa.
Mizani ndio huamua kipimo cha kitu...kupunjwa ama kuzidishiwa ama sawia
 
Hao wazee waligundua umuhimu wa Mfalme kwa kuona maendeleo makubwa licha ya tatizo la akili alilokuwa nalo Mfalme.
Ndio maana waliamua kumsamehe licha ya maneno yake makali yaliyo wakwanza.
Wananchi waliishi maisha ya shida na dhiki kwani mfalme alijikita sana kwenye kujenga ngome na minara ya kumbukumbu ya himaya yake.
 
Achana na Akili, damu ndio kila kitu.
Damu ndio inabeba vizazi, damu ndio uhai wenyewe. Usimwage damu ya mtu.
Damu inabeba uzima na uhai wa mwili, akili, nafsi hadi roho.

Heshimu damu za watu na tunza damu yako.
 
Back
Top Bottom