Ilikuwaje ukajihusisha kimapenzi na mume au mke wa mtu?

ongeza wahaya, wanyamwezi, waruguru, wabende, wakonongo, wangoni.

kuna toto la kirangi jeupeee tamu hilo nilikua nalimezea mate kuja kuuliza majirani zaidi ya 6 wamelivua chupi. nkachoka zaid baada ya kufahamu kuna watoto flani wametia magovinda yao
mkuu ungefumba macho na ww ukapiga.
 
Umetumia nguvu nyingi sana kuandika for nothing
Siku nilivyolala na mke wa mtu kiutani utani tu
Mwezi uliopita nilikuwa nasafiri kutoka Iringa kuelekea Jijini Dar Es salaam, kwa usafiri wa basi moja maarufu (jina kapuni).

Niliiingia ndani ya basi na kwenda kuketi kwenye siti yangu, baada ya dakika kadhaa akaja Mwanadada mmoja mwenye urembo wa wastani, na umbo moja maridhawa, huku nikiwa nimemkazia macho, alifika pale nilipo huku akiangalia tiketi yake mkononi, baada ya kunisalimu akaketi pembeni yangu na kutulia tuli.
Baada ya mwendo fulani safarini tukajikuta tumetumbukia kwenye stori za hapa na pale, stori zilienda kwa muda na mara kila mmoja akaanza kusinzia kwa wakati wake, nilipokuja kushtuka baadae nikamkuta bi Dada ameuchapa usingizi na wala hajitambui, baadae kidogo nami nilisinzia tena na kupotelea usingizini. kabla ya sote kushtuliwa na tangazo la Muhudumu wa Basi kwamba tunaingia hotelini kwa mapumziko ya dakika kumi pamoja na kupata chakula.

Baada ya msosi na kurudi kwenye basi mastori yalianza tena upya huku wote wawili tukiwa tumechangamka tofauti na pale awali, ndipo kwenye maongezi nilipogundua yeye ni mke wa Mtu mwenye Watoto wawili, na tena akanionyesha picha za wanafamilia wake alizokuwa nazo kwenye simu yake.

Ndipo la haula nilipogundua kuwa muda wote wa safari nilikuwa nimelala na Mke wa Mtu. Hakika tulifurahiana sana kwenye safari ile, huku stori zikinoga kadri tulipokuwa tunakaribia eneo la ubungo ambako ndio kituoni na mwisho wa safari yetu, tuliagana kwa bashasha huku tukitakiana kila la kheri kule tuendako.
 
Nakumbuka miaka kadhaa iliyopita,nilikuwa nimetengena na mpenzi wangu.Sasa ikatokea kuna Jamaa mmoja namjua ye mtu mzima kidogo,ila sababu ughaibuni watu mnakuwa marafik tu.Jamaa akanambia yeye wife wake ana rafiki,ana matatizo na mme wake na wanataka kuachana ila yupo lonely sana anahitaji company.Nikamwambia amlete,bas siku naenda kwao kumuona yule mwanamke kumbe mwaarabu,nilistuka kidogo,sababu alionyesha anajiheshimu sana,na nilitegemea angekuwa mbantu mwenzangu ndo nnaowapenda,lakin maji nishayavulia nguo sikuwa na budi kuyaoga.
Sikuongea sana siku ile sababu nilishindwa kutongoza kikawaida,ikabidi nichukue namba nikamwambia tutaongea kesho yako,nilitaka nimpeleke sehemu sio pale kwa rafik angu.baada ya kuaga sijafika mbali simu inahita,kuangalia mke wa yule rafiki angu analalamika kuwa yule mwanamke anafikili sikumpenda ndo maana nimeondoa alaka.ikabid nigeuze nikarudi kumchukua,tukapiga story sana alikuwa mzuri sana.Akataka siku ya pili aje tena,baharia nikawa nishasoma zamani,nikampa address aje home,siku ile yaani namgusa kumtoa koti,mwil wake unatetemeka ile mbaya,kumkumbatia tu kalegea kabisa!.Alikuwa na mwili mzuri yule mdada na nikagundua alikuwa ana miss sana mwanamme,na mi nilikuwa na ugwadu flani hiv,nikawa nampa dozi za uhakika.tulidumu karibu miezi 8,mpaka nikawa naletewa chakula nyumbani.
Ulifaidi sana ngozi kama hizi huwa nazihitaji sana ila niliwahi pata chotara na sikufaidi
 
Enzi hizo naanza Chuo, nikawa namkula dada mmoja, kumbe ni mke wa mtu.

Akabeba mimba ya mume wake, baada ya hapo aliniahidi hatozaa tena na mumewe hadi atakaponizalia mtoto na mimi akiwa kwa mumewe! Au ikiwezekana hata atoke kwa mume wake!

Sikupenda kuzaa na mke wa mtu kabisa! Hata show nilizokuwa napiga naye moyo ulikuwa ukiniuma sana aisee!

Alikaa miaka 5 akinisubiria ili azae nami hadi nikamuonea huruma mwanaume mwenzangu. Kuna siku hadi machozi yalitoka nilipojaribu kuvaa viatu vya mhusika!

Mwaka wa 6 akabeba mimba ya mumewe nami nikapata sababu ya kumuacha adumu na mume wake.

Hadi sasa tunawasiliana tu ila tuko mbali mbali saana.
 
kuna mke wa MTU mmoja hivii...anachofanya anaanza kukushawishi kwa kauli na hata ishara..

sasa ukiingia mkenge na ukakubali,kitakachotokea anapanga na Mume wake naye anakufumania live

huyo Mume yeye anapendaga kukula kisamvu tu na mke anashuhudia..

yaani mtaani vijana wengi wanaliwa TIGO kimya kimya kwa kumpapatikia huyo mke wa mtuu
Wengine kwasababu ya hali ngumu ya kiuchumi,anaweza kukufanya njia yakupatia mtaji na mumewe.Mwanamke akikuona unanafuu ya maisha anajifanya kakuelewa kwakukutega,mwisho wasiku mupo hotel(guest) kabla hujakula mzigo kunaibuka fumanizi,Mumewe anakuja na majamaa,Unaambiwa ili soo liishe utafutu PESA (ma million). Huku hata kumla mke hujamla,lakini vile umekutwa nae Guest.
Vijana kuweni makini,Ila amri ya Sita(usizini) imelenga zaidi kutokulala na mke wa MTU,yaani bora ujitombee visichana huko kuliko mke wa MTU.Kwangu Mimi tafasiri ya kuzini(zinaa) nikulala na aliye ktk ndoa.I we mwanamke amelala na mume wa MTU au mwana mume amelala na mke wa MTU ,au mke wa MTU mwingine amelala na mume wa MTU mwingine. Lakini vinginevyo naona kama ni uwasherati tu,ambao simzuri kwa afya lakini si dhambi.
 
Karma is a bitch.
Nilitaka nivunge ila acha niseme, kuna UEFA ya mwaka juz walikuwa wanacheza juve na madrid, sasa nilikuwa kijijin kwetu.
Kuna mke wa jamaa mmoja niliwahig kumvua chup kitambo 2010 huko wakat tunamaliza form 4, sasa ilikuwaga kwenye mahind shamban, nikakomaga kuingiza mashine mbunye ikabana nikajikuta nakojoa pale pale mlangonii ,

Sasa siku hyo ya UEFA dem akanambia njoo nikaze jamaa ang anaenda mpirani, bas kwel jamaa tulienda nae kibanda umiza kuchek mech, ile kipind cha kwanza kinaishia nikatoka nikaenda kwa mke wa jamaa nikampiga kimoja nikarud kuendelea na mechii

Sasa huku nyuma jamaa madrid yakee ikashindaa alivofikaa hom akakomaa anatakaa mechii, mke akampaa jamaa kakuta fulu utelezi na ma genye yang nilotupiamo, akaleta noma sema wife aka mzima hakustukia ishuu
 
Alikuwa tungi, akanikuta napika akauliza vipi? Nikajibu fresh tu ila kamba imekauka kwa kukosa maji. Akasema basi nitakuletea beseni la maji uloweke kamba yako. Akaleta nikala akaosha akammpelekea mwenye nayo.
 
Ulifaidi sana ngozi kama hizi huwa nazihitaji sana ila niliwahi pata chotara na sikufaidi
Alikuwa mtamu,alafu msafi sana.mpaka.leo siamin kama nilikiwa na mwanamke wa namna ile na sidhani kama zali kama lile nitapata tena.
 
Ukitembea na mke wa mtu, ujue wewe muda wote unaweza kufa.au chochote kibaya kinaweza kukuta. Unaweza chomeka mkang'ang'aniana hapo na jamaa anataka milioni 3. Mimi mke wangu nimemuweka dawa yaani jamaa mwingine akichomeka mashine tu. Haifanyi kazi milele ndiyo unakuwa hanithi hivyo. Siku ukinitafuta niirudishe ifanye kazi inabidi nikupige mashine siku nzima yaani masaa 12. Unatoa hela ya KY, Chumba cha guest na hela ya chakula, maji na ukubali kurekodiwa kipindi unapigwa show. Tofauti na hapo tusijuane

Hatutishiki
 
Kuelezea wote itakua ni ngumu mana List ni ndefu
Waarabu - 5
Wahindi - 3
Wakienyeji aka Ebony - 11

= 19
hawa ndio ninaowakumbuka kwa haraka tu, Ila naamini wapo na wengine.
 
Kuelezea wote itakua ni ngumu mana List ni ndefu
Waarabu - 5
Wahindi - 3
Wakienyeji aka Ebony - 11

= 19
hawa ndio ninaowakumbuka kwa haraka tu, Ila naamini wapo na wengine.
Hawaja kuotea wotee hao wenye wake zaoo mkuu?
 
Madam wang advance aliniomba show nikawa nampiga home kwake, mume wake anafundisha hapohapo skul, next week naenda kuchkua result slip amesha_book migegedo mingine kadhaa.
 
Ukitembea na mke wa mtu, ujue wewe muda wote unaweza kufa.au chochote kibaya kinaweza kukuta. Unaweza chomeka mkang'ang'aniana hapo na jamaa anataka milioni 3. Mimi mke wangu nimemuweka dawa yaani jamaa mwingine akichomeka mashine tu. Haifanyi kazi milele ndiyo unakuwa hanithi hivyo. Siku ukinitafuta niirudishe ifanye kazi inabidi nikupige mashine siku nzima yaani masaa 12. Unatoa hela ya KY, Chumba cha guest na hela ya chakula, maji na ukubali kurekodiwa kipindi unapigwa show. Tofauti na hapo tusijuane
Hahaha acha biti
 
Back
Top Bottom