Nyamhanga aliteremsha Bendera ya Tanzania na kupandisha ngozi ya chui na kutangaza rasmi kuwa hiyo si tena Tanzania , kuanzia siku hiyo majeshi yalikusanywa nchi nzima kama vile kulikuwa na vita ya Kagera. Mapambano yaliendelea kwa siku zipatazo 7 hivi kabla ya Nyamhanga kupitia chini ya nyuma ya mtungi na kupotelea bondeni. Kama ilivyokuwa kwa Hitira kuna habari za kutatanisha kuhusu huyu bwana baada ya vita kwisha. Kuna wengine wanasema yalitupwa mabomu mengi sana huko alikokimbilia na wengine wanasema alitorokea nje ya nchi.Kuna Simulizi nyingi tu ambazo siwezi kuziandika hapa hasa kwa sababu zinahusiana na ushirikina wake, nami sina imani na ushirikina.
hiyo ilikuwa mwaka gani wakuu?
Nyamaghanya alikuwa jembe kweli na ni shujaa wa kweli wa mkoa wa mara nakumbuka mwaka 1982 alitangaza jamhuri ya watu wa chui nami nikiwa miongoni mwa wakazi wa nchi yake makao makuu yakatangazwa kuwa ni GIBASO na mishahara ya watumishi wake ni ng'ombe alikuwa na jeshi hodari sana likiitwa Esaiga ya gesambiso na vijana wa kati ambao walikuwa hodari wa kupiga mishale ndipo mchongameno akaamua kumwaga jeshi lake toka zenji kuja kumsaka shujaa wa wanamara wakashindwa kumkamata ikabidi watumie mbinu ya kupitia kwa mke wake mdogo ndipo akauwawa au akajiua mwenyewe kwenye mashimo ya gwisalaa hakukamatwa wala hakuzikwa mwili wake ulifichwa ili kukwepesha mauaji zaidi toka jeshi lake
Mkuu unaweza kutupatia hii kwa undani zaidi?Ilikuwa ni baada ya vita vya Uganda. Jamaa alikuwa kama ana wazimu vile.
Mkuu unaweza kutupatia hii kwa undani zaidi?
Hapana. Huyu alikuwa hana nia ya kupindua serikali ya Tanzania. Yeye alichofanya ni kujimegea eneo lake na kutangaza Jamhuri ya watu wa chui. Na Jamhuri yake ilikuwa inaishia eneo moja tu Tarime.HAHAHA ...
Kumbe Mtakatifu Nyerere watu walimu-attempt zaidi ya mara moja!
Lakini naye kazidi..aliwatia watanzania katika mashaka na umasikini usiokuwa wa lazima
, how dare you are kumkashifu Mwalimu?HAHAHA ...
Kumbe Mtakatifu Nyerere watu walimu-attempt zaidi ya mara moja!
Lakini naye kazidi..aliwatia watanzania katika mashaka na umasikini usiokuwa wa lazima