Ilikuwaje Mawaziri na Vigogo wengi wakawa Wasukuma awamu ya 5?

Hahaaa hatari sana kuna kitaasisi fulani cha serikali nakijua kiko Dar kinajishughulisha na mambo flani ya usafirishaji , yaani kimejaa wasukuma mpaka wale ambao hawajui kiswahili yaani ni balaa , inafika kipindi hata management wanaendesha vikao kwa kikwao, tulifika pabaya sana na mama naye anaendelea nao tu , halafu bado anajiona yeye ndio anaongoza kumbe mzimu wa mwendazake ndio uko nyuma yake
 
Tunalamika sana kwa kuwa hatufahamu kuwa siasa za Uchaguzi ni hesabu tuu.

Wakati wa Kikwete kila Mkoa ulikuwa na Waziri na mawaziri Wasukuma walikuwa 8. Lakini walitoka Mikoa 8, Mwanza,Simiyu, Shinyanga, Geita, Tabora, Rukwa, Katavi na Songwe.

Hii ni voting machine ya CCM, na hata mama hana cha kufanya tofauti.

Na ndio maana hata Mbowe anahangaika sana na hii kanda na wana zaana sana. Kanda hii wanakadiriwa kufikia 32 million.
Kuongelea wasukuma watu wanapoteza muda, lile NI kabila kubwa Afrika Mashariki .wamejaa nchi nzima mbali na Kanda ya ziwa Morogoro wapo na wanakaribia 1/3 ya population, Lindi wamejaa,Mbeya, Katavi, Kasulu,sasa hivi wamevuka wako Msumbiji.Sifa yao kubwa uzazi wa mpango kwao ni watoto kumi kwa mwanamke mmoja.Sifa nyingi ni kwamba sasa wamegundua faida ya elimu.Miaka 20 ijayo mtashangaa.So waacheni wale mema ya nchi kwa faida ya idadi yao.Kuchanja wamekataa
 
awamu ya nne wafuatao walikuwa mawaziri kutoka usukumani kwa nyakati tofauti ndani ya awam ya 4:

Dialo,Masele,Ngereja,
Tizeba,Magufuli, Ng'wandu, Chenge,Kalemani,Kitwanga, masha

Wapo 10.
Huwezi kuzuia mafuriko kwa mikono utasombwanaambiwa zaaneni muongezeke mnafuata wazungu
 
Doto Biteko, kiasili ni mtusi
Ndalichako, kiasili ni mhutu
Mpango ni muha
Marehemu mwenyewe, kiasili ni mtusi

Lakini mmekuwa mkiwajumuisha wote kuwa ni wasukuma. Ni kweli kuwa marehemu alikuwa mbaguzi. Zaidi ya 80% ya teuzi zake ilikuwa kutoka kanda ya Ziwa.
Sasa ilikuwaje Tanzania tukawa na Raisi mtusi?
 
Wasukuma ni kama maji huna cha kuwafanya usipowaoga utawanywa.

Hebu tuambie ni msukuma gani aliyeondolewa kwenye nafasi yake mpaka sasa.
Kazi ya kuwareplace imeanza kwisha habari yenu
 
Hahaaa hatari sana kuna kitaasisi fulani cha serikali nakijua kiko Dar kinajishughulisha na mambo flani ya usafirishaji , yaani kimejaa wasukuma mpaka wale ambao hawajui kiswahili yaani ni balaa , inafika kipindi hata management wanaendesha vikao kwa kikwao, tulifika pabaya sana na mama naye anaendelea nao tu , halafu bado anajiona yeye ndio anaongoza kumbe mzimu wa mwendazake ndio uko nyuma yake
Kabisa hawa jamaa ni wakabila balaa
 
Hivi ni kwa bahati mbaya tu au ilipangwa awamu ya tano kuanzia mawaziri,makatibu na sekta nyeti zote za nchi kukamatwa na wasukuma?

Mimi binafsi sina shida na wasukuma ni ndugu zangu tena wakwe kabisa japo najua mwendazake alikua keshawapandikiza roho ya kuanza kujikuta wao tu ndo wastahili.

Ilifika mahali ukimtania msukuma unanyooshewa kidole kwamba unampeeb rais.

Niachane na hayo mimi swali langu tu ilikuaje wakati wa awamu ya tano mawaziri makatibu manaibu waziri jeshini usalama na kila mahali wakajazwa watu wa kabila la wasukuma tu?Jee ilikua ni bahati mbaya au mipango mkakati wa baadae?maana hata bungeni walichomekwa hata mmoja akatoa waraka wa kuundwa jeshi la wasukuma.

Mimi nawaza tu rais angekua katika mkoa flan hv wale jamaa wa kanda ile ya kule penye maendeleo sana na ateue hata waziri mmoja tu wa kutoka kanda hiyo si angetukanwa,kukemewa na kulaaniwa nchi nzima kwamba ni mkabila?ila kwa wengine ni sawa?hii sio haki ni mkuki kwa nguruwe...watz wote ni sawa ukabila ni mbaya sana.

Haya turudi kwenye swali la msingi swali langu tu ilikuaje wakati wa awamu ya tano mawaziri makatibu manaibu waziri jeshini usalama na kila mahali wakajazwa watu wa kabila la wasukuma tu?Jee ilikua ni bahati mbaya au mipango mkakati wa maksudi?pia angalia kanda ya ziwa kwa ujumla haya angalia marc ,madc na maded wilaya teuzi zilijaa wasukuma watupu.

Haya mashirika ya umma teuzi zilitoka ikulu walijazwa wasukuma watupu huko jeshini ndo usiseme huko polisi ndo usiseme Halmashauri ndo usiseme yaani ukabila mtupu hata washauri wake walikua wasukuma watupu.
Wewe ni mkabila na mtu hatari sana kwa usalama wa nchi yetu. Unaleta hoja ya ukabila hapa tena bila hata ushahidi. Kama wewe ni mkabila hivyo lete urodha ya Mawaziri, Makatibu Wakuu na viongozi wote uliowataja na uweke uthibitisho wa kabila la kila mmoja. Karne ya 21 bado unaleta hoza za ukabila?
 
Doto Biteko, kiasili ni mtusi
Ndalichako, kiasili ni mhutu
Mpango ni muha
Marehemu mwenyewe, kiasili ni mtusi

Lakini mmekuwa mkiwajumuisha wote kuwa ni wasukuma. Ni kweli kuwa marehemu alikuwa mbaguzi. Zaidi ya 80% ya teuzi zake ilikuwa kutoka kanda ya Ziwa.
Ova
 
Hivi ni kwa bahati mbaya tu au ilipangwa awamu ya tano kuanzia mawaziri,makatibu na sekta nyeti zote za nchi kukamatwa na wasukuma?

Mimi binafsi sina shida na wasukuma ni ndugu zangu tena wakwe kabisa japo najua mwendazake alikua keshawapandikiza roho ya kuanza kujikuta wao tu ndo wastahili.

Ilifika mahali ukimtania msukuma unanyooshewa kidole kwamba unampeeb rais.

Niachane na hayo mimi swali langu tu ilikuaje wakati wa awamu ya tano mawaziri makatibu manaibu waziri jeshini usalama na kila mahali wakajazwa watu wa kabila la wasukuma tu?Jee ilikua ni bahati mbaya au mipango mkakati wa baadae?maana hata bungeni walichomekwa hata mmoja akatoa waraka wa kuundwa jeshi la wasukuma.

Mimi nawaza tu rais angekua katika mkoa flan hv wale jamaa wa kanda ile ya kule penye maendeleo sana na ateue hata waziri mmoja tu wa kutoka kanda hiyo si angetukanwa,kukemewa na kulaaniwa nchi nzima kwamba ni mkabila?ila kwa wengine ni sawa?hii sio haki ni mkuki kwa nguruwe...watz wote ni sawa ukabila ni mbaya sana.

Haya turudi kwenye swali la msingi swali langu tu ilikuaje wakati wa awamu ya tano mawaziri makatibu manaibu waziri jeshini usalama na kila mahali wakajazwa watu wa kabila la wasukuma tu?Jee ilikua ni bahati mbaya au mipango mkakati wa maksudi?pia angalia kanda ya ziwa kwa ujumla haya angalia marc ,madc na maded wilaya teuzi zilijaa wasukuma watupu.

Haya mashirika ya umma teuzi zilitoka ikulu walijazwa wasukuma watupu huko jeshini ndo usiseme huko polisi ndo usiseme Halmashauri ndo usiseme yaani ukabila mtupu hata washauri wake walikua wasukuma watupu.
Unapoandika nakusema wengi bila ushahidi nakuona kama bwege vile! Taja wasukuma ktk baraza la mawaziri walikuwa wangapi ukilinganisha na serikali kabla ya Magufuli. Msomi hasemi wengi, anataja idadi na majina.
Tuliposema wachaga walijaa TRA na CRDB tulikuwa na ushahidi.
 
21 Reactions
Reply
Back
Top Bottom