Ilikuwaje Mawaziri na Vigogo wengi wakawa Wasukuma awamu ya 5?

Hivi ni kwa bahati mbaya tu au ilipangwa awamu ya tano kuanzia mawaziri,makatibu na sekta nyeti zote za nchi kukamatwa na wasukuma?

Mm binafsi sina shida na wasukuma ni ndugu zangu tena wakwe kabisa japo najua mwendazake alikua keshawapandikiza roho ya kuanza kujikuta wao tu ndo wastahili

Ilifika mahali ukimtania msukuma unanyooshewa kidole kwamba unampeeb rais

Niachane na hayo mimi swali langu tu ilikuaje wakati wa awamu ya tano mawaziri makatibu manaibu waziri jeshini usalama na kila mahali wakajazwa watu wa kabila la wasukuma tu?Jee ilikua ni bahati mbaya au mipango mkakati wa baadae?maana hata bungeni walichomekwa hata mmoja akatoa waraka wa kuundwa jeshi la wasukuma

Mimi nawaza tu rais angekua katika mkoa flan hv wale jamaa wa kanda ile ya kule penye maendeleo sana na ateue hata waziri mmoja tu wa kutoka kanda hiyo si angetukanwa,kukemewa na kulaaniwa nchi nzima kwamba ni mkabila?ila kwa wengine ni sawa?hii sio haki ni mkuki kwa nguruwe...watz wote ni sawa ukabila ni mbaya sana

Haya turudi kwenye swali la msingi swali langu tu ilikuaje wakati wa awamu ya tano mawaziri makatibu manaibu waziri jeshini usalama na kila mahali wakajazwa watu wa kabila la wasukuma tu?Jee ilikua ni bahati mbaya au mipango mkakati wa maksudi?
Kuwa makini sana na taarifa zisizo kuwa za kweli, maana ni hatari sana kuliko ujinga!
 
Hivi ni kwa bahati mbaya tu au ilipangwa awamu ya tano kuanzia mawaziri,makatibu na sekta nyeti zote za nchi kukamatwa na wasukuma?

Mm binafsi sina shida na wasukuma ni ndugu zangu tena wakwe kabisa japo najua mwendazake alikua keshawapandikiza roho ya kuanza kujikuta wao tu ndo wastahili

Ilifika mahali ukimtania msukuma unanyooshewa kidole kwamba unampeeb rais

Niachane na hayo mimi swali langu tu ilikuaje wakati wa awamu ya tano mawaziri makatibu manaibu waziri jeshini usalama na kila mahali wakajazwa watu wa kabila la wasukuma tu?Jee ilikua ni bahati mbaya au mipango mkakati wa baadae?maana hata bungeni walichomekwa hata mmoja akatoa waraka wa kuundwa jeshi la wasukuma

Mimi nawaza tu rais angekua katika mkoa flan hv wale jamaa wa kanda ile ya kule penye maendeleo sana na ateue hata waziri mmoja tu wa kutoka kanda hiyo si angetukanwa,kukemewa na kulaaniwa nchi nzima kwamba ni mkabila?ila kwa wengine ni sawa?hii sio haki ni mkuki kwa nguruwe...watz wote ni sawa ukabila ni mbaya sana

Haya turudi kwenye swali la msingi swali langu tu ilikuaje wakati wa awamu ya tano mawaziri makatibu manaibu waziri jeshini usalama na kila mahali wakajazwa watu wa kabila la wasukuma tu?Jee ilikua ni bahati mbaya au mipango mkakati wa maksudi?
Awamu ya tano ilikuwa ya ukabila, awamu ya sita ni ya udini
 
Hivi ni kwa bahati mbaya tu au ilipangwa awamu ya tano kuanzia mawaziri,makatibu na sekta nyeti zote za nchi kukamatwa na wasukuma?

Mm binafsi sina shida na wasukuma ni ndugu zangu tena wakwe kabisa japo najua mwendazake alikua keshawapandikiza roho ya kuanza kujikuta wao tu ndo wastahili

Ilifika mahali ukimtania msukuma unanyooshewa kidole kwamba unampeeb rais

Niachane na hayo mimi swali langu tu ilikuaje wakati wa awamu ya tano mawaziri makatibu manaibu waziri jeshini usalama na kila mahali wakajazwa watu wa kabila la wasukuma tu?Jee ilikua ni bahati mbaya au mipango mkakati wa baadae?maana hata bungeni walichomekwa hata mmoja akatoa waraka wa kuundwa jeshi la wasukuma

Mimi nawaza tu rais angekua katika mkoa flan hv wale jamaa wa kanda ile ya kule penye maendeleo sana na ateue hata waziri mmoja tu wa kutoka kanda hiyo si angetukanwa,kukemewa na kulaaniwa nchi nzima kwamba ni mkabila?ila kwa wengine ni sawa?hii sio haki ni mkuki kwa nguruwe...watz wote ni sawa ukabila ni mbaya sana

Haya turudi kwenye swali la msingi swali langu tu ilikuaje wakati wa awamu ya tano mawaziri makatibu manaibu waziri jeshini usalama na kila mahali wakajazwa watu wa kabila la wasukuma tu?Jee ilikua ni bahati mbaya au mipango mkakati wa maksudi?
Kwani kwa sasa wamebadili kabila

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Hivi ni kwa bahati mbaya tu au ilipangwa awamu ya tano kuanzia mawaziri,makatibu na sekta nyeti zote za nchi kukamatwa na wasukuma?

Mm binafsi sina shida na wasukuma ni ndugu zangu tena wakwe kabisa japo najua mwendazake alikua keshawapandikiza roho ya kuanza kujikuta wao tu ndo wastahili

Ilifika mahali ukimtania msukuma unanyooshewa kidole kwamba unampeeb rais

Niachane na hayo mimi swali langu tu ilikuaje wakati wa awamu ya tano mawaziri makatibu manaibu waziri jeshini usalama na kila mahali wakajazwa watu wa kabila la wasukuma tu?Jee ilikua ni bahati mbaya au mipango mkakati wa baadae?maana hata bungeni walichomekwa hata mmoja akatoa waraka wa kuundwa jeshi la wasukuma

Mimi nawaza tu rais angekua katika mkoa flan hv wale jamaa wa kanda ile ya kule penye maendeleo sana na ateue hata waziri mmoja tu wa kutoka kanda hiyo si angetukanwa,kukemewa na kulaaniwa nchi nzima kwamba ni mkabila?ila kwa wengine ni sawa?hii sio haki ni mkuki kwa nguruwe...watz wote ni sawa ukabila ni mbaya sana

Haya turudi kwenye swali la msingi swali langu tu ilikuaje wakati wa awamu ya tano mawaziri makatibu manaibu waziri jeshini usalama na kila mahali wakajazwa watu wa kabila la wasukuma tu?Jee ilikua ni bahati mbaya au mipango mkakati wa maksudi?
Weka data basi. Asilimia ngapi ya viongozi walikuwa wasukuma?
 
Hivi ni kwa bahati mbaya tu au ilipangwa awamu ya tano kuanzia mawaziri,makatibu na sekta nyeti zote za nchi kukamatwa na wasukuma?

Mm binafsi sina shida na wasukuma ni ndugu zangu tena wakwe kabisa japo najua mwendazake alikua keshawapandikiza roho ya kuanza kujikuta wao tu ndo wastahili

Ilifika mahali ukimtania msukuma unanyooshewa kidole kwamba unampeeb rais

Niachane na hayo mimi swali langu tu ilikuaje wakati wa awamu ya tano mawaziri makatibu manaibu waziri jeshini usalama na kila mahali wakajazwa watu wa kabila la wasukuma tu?Jee ilikua ni bahati mbaya au mipango mkakati wa baadae?maana hata bungeni walichomekwa hata mmoja akatoa waraka wa kuundwa jeshi la wasukuma

Mimi nawaza tu rais angekua katika mkoa flan hv wale jamaa wa kanda ile ya kule penye maendeleo sana na ateue hata waziri mmoja tu wa kutoka kanda hiyo si angetukanwa,kukemewa na kulaaniwa nchi nzima kwamba ni mkabila?ila kwa wengine ni sawa?hii sio haki ni mkuki kwa nguruwe...watz wote ni sawa ukabila ni mbaya sana

Haya turudi kwenye swali la msingi swali langu tu ilikuaje wakati wa awamu ya tano mawaziri makatibu manaibu waziri jeshini usalama na kila mahali wakajazwa watu wa kabila la wasukuma tu?Jee ilikua ni bahati mbaya au mipango mkakati wa maksudi?

Yawezekana hao ndiyo walikuwa wamejichimbia zaidi.
 
Tunalamika sana kwa kuwa hatufahamu kuwa siasa za Uchaguzi ni hesabu tuu.

Wakati wa Kikwete kila Mkoa ulikuwa na Waziri na mawaziri Wasukuma walikuwa 8. Lakini walitoka Mikoa 8, Mwanza,Simiyu, Shinyanga, Geita, Tabora, Rukwa, Katavi na Songwe.

Hii ni voting machine ya CCM, na hata mama hana cha kufanya tofauti.

Na ndio maana hata Mbowe anahangaika sana na hii kanda na wana zaana sana. Kanda hii wanakadiriwa kufikia 32 million.
Songwe ni Mkoa wa Wasukuma? hahhahahahaha
 
Hivi ni kwa bahati mbaya tu au ilipangwa awamu ya tano kuanzia mawaziri,makatibu na sekta nyeti zote za nchi kukamatwa na wasukuma?

Mm binafsi sina shida na wasukuma ni ndugu zangu tena wakwe kabisa japo najua mwendazake alikua keshawapandikiza roho ya kuanza kujikuta wao tu ndo wastahili

Ilifika mahali ukimtania msukuma unanyooshewa kidole kwamba unampeeb rais

Niachane na hayo mimi swali langu tu ilikuaje wakati wa awamu ya tano mawaziri makatibu manaibu waziri jeshini usalama na kila mahali wakajazwa watu wa kabila la wasukuma tu?Jee ilikua ni bahati mbaya au mipango mkakati wa baadae?maana hata bungeni walichomekwa hata mmoja akatoa waraka wa kuundwa jeshi la wasukuma

Mimi nawaza tu rais angekua katika mkoa flan hv wale jamaa wa kanda ile ya kule penye maendeleo sana na ateue hata waziri mmoja tu wa kutoka kanda hiyo si angetukanwa,kukemewa na kulaaniwa nchi nzima kwamba ni mkabila?ila kwa wengine ni sawa?hii sio haki ni mkuki kwa nguruwe...watz wote ni sawa ukabila ni mbaya sana

Haya turudi kwenye swali la msingi swali langu tu ilikuaje wakati wa awamu ya tano mawaziri makatibu manaibu waziri jeshini usalama na kila mahali wakajazwa watu wa kabila la wasukuma tu?Jee ilikua ni bahati mbaya au mipango mkakati wa maksudi?
Ni vigumu sana kumfanya kila mtu akukubali. Mara museme hayati alikuwa siyo mtanzania na alikuwa analindwa wanyarandwa. Asa hivi tena unaongelea wasukuma. Yawezekana ulikuwa na vyeti feki alitumbuliwa ndio maana unahasira na hayati.
 
Kabla ya hukumu mheshiwa jaji popote ulipo nitakuomba kwa moyo mkunjufu uzingatie hoja hii ya msingi, Kwanza itambidi mlalamikaji atueleze Kanda ya ziwa Kuna makabila mangapi mfano Kagera wahaya, wanyambo, wayoza nk Mwanza Wakelewe,wajita,sukuma,wazinza,wakara nk Mara wakurya,waikizu,wasizaki,wazanaki nk Simiyu Wanyantuzu,wanang'wagala,wanang'ung'u, wananasa nk Shinyanga wasumbwa nk.
Baada ya kutupatia kwa ukamilifu wake atuambie sasa Kati ya hao wasukuma ni wangapi?
Ni hayo tu mheshimiwa
 
Hivi ni kwa bahati mbaya tu au ilipangwa awamu ya tano kuanzia mawaziri,makatibu na sekta nyeti zote za nchi kukamatwa na wasukuma?

Mm binafsi sina shida na wasukuma ni ndugu zangu tena wakwe kabisa japo najua mwendazake alikua keshawapandikiza roho ya kuanza kujikuta wao tu ndo wastahili

Ilifika mahali ukimtania msukuma unanyooshewa kidole kwamba unampeeb rais

Niachane na hayo mimi swali langu tu ilikuaje wakati wa awamu ya tano mawaziri makatibu manaibu waziri jeshini usalama na kila mahali wakajazwa watu wa kabila la wasukuma tu?Jee ilikua ni bahati mbaya au mipango mkakati wa baadae?maana hata bungeni walichomekwa hata mmoja akatoa waraka wa kuundwa jeshi la wasukuma

Mimi nawaza tu rais angekua katika mkoa flan hv wale jamaa wa kanda ile ya kule penye maendeleo sana na ateue hata waziri mmoja tu wa kutoka kanda hiyo si angetukanwa,kukemewa na kulaaniwa nchi nzima kwamba ni mkabila?ila kwa wengine ni sawa?hii sio haki ni mkuki kwa nguruwe...watz wote ni sawa ukabila ni mbaya sana

Haya turudi kwenye swali la msingi swali langu tu ilikuaje wakati wa awamu ya tano mawaziri makatibu manaibu waziri jeshini usalama na kila mahali wakajazwa watu wa kabila la wasukuma tu?Jee ilikua ni bahati mbaya au mipango mkakati wa maksudi?
Mbaguzi embu tupatie orodha kwanza inayo justfy hilo halafu tukupe statistics

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Kabla ya hukumu mheshiwa jaji popote ulipo nitakuomba kwa moyo mkunjufu uzingatie hoja hii ya msingi, Kwanza itambidi mlalamikaji atueleze Kanda ya ziwa Kuna makabila mangapi mfano Kagera wahaya, wanyambo, wayoza nk Mwanza Wakelewe,wajita,sukuma,wazinza,wakara nk Mara wakurya,waikizu,wasizaki,wazanaki nk Simiyu Wanyantuzu,wanang'wagala,wanang'ung'u, wananasa nk Shinyanga wasumbwa nk.
Baada ya kutupatia kwa ukamilifu wake atuambie sasa Kati ya hao wasukuma ni wangapi?
Ni hayo tu mheshimiwa
Wewe mkuu uwe makini hakuna kabila la wanyantuzu huo uelewa wako tu hao ni jamii za kisukuma kama wanakiya! Na kwa taarifa yako hao wanyantuzu ndo wasukuma original!
 
Doto Biteko, kiasili ni mtusi
Ndalichako, kiasili ni mhutu
Mpango ni muha
Marehemu mwenyewe, kiasili ni mtusi

Lakini mmekuwa mkiwajumuisha wote kuwa ni wasukuma. Ni kweli kuwa marehemu alikuwa mbaguzi. Zaidi ya 80% ya teuzi zake ilikuwa kutoka kanda ya Ziwa.
Eee
 
Awamu ya mwendazake haya yalinawiri;
Ukabila
ukanda
Upendeleo
Uonevu kwa wasio wasukuma serikalini.
Ilibakia kutangaza kisukuma kuwa lugha ya taifa, kwendraaaa zake!
 
Awamu ya mwendazake haya yalinawiri;
Ukabila
ukanda
Upendeleo
Uonevu kwa wasio wasukuma serikalini.
Ilibakia kutangaza kisukuma kuwa lugha ya taifa, kwendraaaa zake!
Wasukuma ni kama maji huna cha kuwafanya usipowaoga utawanywa.

Hebu tuambie ni msukuma gani aliyeondolewa kwenye nafasi yake mpaka sasa.
 
21 Reactions
Reply
Back
Top Bottom