Mpinzire
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 7,202
- 12,900
Naam!
Kipindi cha awamu ya nne bwawa la mtera lilifungwa kabisa kwani lilikuwa halizalishi ata unit moja ya umeme na haya aliyasema mwenyewe katika hotuba yake clip hipo chini hapo.
Awamu ya ya 5 kwa muda wote bwawa lilitumika kufua umeme kama kawaida mpaka sasa tunapoambiwa kuwa bwawa lile tena maji yamepungua sana kiasi kusababisha upungufu wa uzalishaji wa umeme?
Bwawa la Mtera lina uwezo wa kuzalisha Megawati 80 mpaka kufikia February mwaka huu 2021 Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Dk Alexander Kyaruzi alisema bwawa la mtera lina maji ya kutosha yakuweza kutumika ndani ya mwaka huu wote 2021 na kutufikisha 2022 bila adha yoyote.
Mwanzoni mwa mwaka huu pia Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) likiwatangazia wanainchi wanaoishi pembezoni mwa bwawa ilo kuwa watafungulia maji kutokana na bwawa ilo kujaa sana kiasi inaweza kuathili uendeshaji wa mitambo na wakafanya hizo.
Dr. Alexander Kyaruzi aliteuliwa na Hayati Rais Magufuli mwaka 2016 kuwa mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Tanesco, Dk Kyaruzi ana PHD ya Electrical Engineering aliyoipata kwenye chuo cha The George Washington University nchini Marekani.
Dr. Alexander Kyaruzi uteuzi wake ulitenguliwa na Mh Samia Suluhu Hassan pia Mh Samia akitengua uteuzi wa Mh Mederd Kalemani ambae pia alichukua Masters of Law in Energy and Minerals, Mh Samia alimteua Bwana Omary Issa kuwa kuwa Mwenyekiti Bodi wa Wakurugenzi Tanesco na pia akamteua January Makamba kuwa Waziri Nishati.
Pia Mh Samia Suluhu Hassan alimteua Maharage Chande kuwa Mkurugenzi Tanesco akichukua nafasi ya Dkt Titto Mwinuka ambae alipata shahada ya Mechanical Engineering kwenye chuo cha Manchester nchini Uingereza.
Swali langu kuu "ilikuwaje kipindi cha Jakaya Mrisho Kikwete bwawa la Mtera lilikauka kabisa?
Bado tuendelee kutafuta majibu juu ya mgao wa umeme?
Kipindi cha awamu ya nne bwawa la mtera lilifungwa kabisa kwani lilikuwa halizalishi ata unit moja ya umeme na haya aliyasema mwenyewe katika hotuba yake clip hipo chini hapo.
Awamu ya ya 5 kwa muda wote bwawa lilitumika kufua umeme kama kawaida mpaka sasa tunapoambiwa kuwa bwawa lile tena maji yamepungua sana kiasi kusababisha upungufu wa uzalishaji wa umeme?
Bwawa la Mtera lina uwezo wa kuzalisha Megawati 80 mpaka kufikia February mwaka huu 2021 Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Dk Alexander Kyaruzi alisema bwawa la mtera lina maji ya kutosha yakuweza kutumika ndani ya mwaka huu wote 2021 na kutufikisha 2022 bila adha yoyote.
Mwanzoni mwa mwaka huu pia Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) likiwatangazia wanainchi wanaoishi pembezoni mwa bwawa ilo kuwa watafungulia maji kutokana na bwawa ilo kujaa sana kiasi inaweza kuathili uendeshaji wa mitambo na wakafanya hizo.
Dr. Alexander Kyaruzi aliteuliwa na Hayati Rais Magufuli mwaka 2016 kuwa mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Tanesco, Dk Kyaruzi ana PHD ya Electrical Engineering aliyoipata kwenye chuo cha The George Washington University nchini Marekani.
Dr. Alexander Kyaruzi uteuzi wake ulitenguliwa na Mh Samia Suluhu Hassan pia Mh Samia akitengua uteuzi wa Mh Mederd Kalemani ambae pia alichukua Masters of Law in Energy and Minerals, Mh Samia alimteua Bwana Omary Issa kuwa kuwa Mwenyekiti Bodi wa Wakurugenzi Tanesco na pia akamteua January Makamba kuwa Waziri Nishati.
Pia Mh Samia Suluhu Hassan alimteua Maharage Chande kuwa Mkurugenzi Tanesco akichukua nafasi ya Dkt Titto Mwinuka ambae alipata shahada ya Mechanical Engineering kwenye chuo cha Manchester nchini Uingereza.
Swali langu kuu "ilikuwaje kipindi cha Jakaya Mrisho Kikwete bwawa la Mtera lilikauka kabisa?
Bado tuendelee kutafuta majibu juu ya mgao wa umeme?