Ilikuwaje Jeshi la Polisi nchini likamvumulia "gaidi" Mbowe bila kumkamata tokea mwaka Jana walipogundua njama zake za ugaidi?

Nakuunga mkono. Unakumbuka hata Kambona alipanga uhaini japo alikuwa serikali tena waziri. Mbowe kuwa mwanasiasa haina maana hawezi fanya makosa. kama ulivoshauri ni kweli tusubiri ushahidi mahakamani kila kitu kitakuwa wazi.
Hivi nyie ndo mlikuwa mnasema Mdude ni muuza madawa ya kulevya au siyo nyie? Acheni kubambikizia wananchi kesi zisizo na kichwa
 
Na tayari ameshaharibu!!na atakuwa na uongozi mgumu sana, kwani huku unataka kurudisha imani kwa wawekezaji/wafadhiri huku unaibua vioja tena, kama vya meko!!ukiangalia hata teuzi zake ni kama zile za sandakalawe tu bila kuzingatia uwezo wa watu!!!
Refer teuzi zake za majuzi za ma-DED, kwa kuwateua vibinti vidogo kabisa vya UV- CCM, visivyokuwa na uzoefu wowote ule
 
Anasemaje huyo mtabiri?

Na sisi tupe faida ambao hatujamsikia
Nabii wa ishara Tanzania ametoa unabii na maono ya kiroho kwamba utawala wa SSH utapata laana na chuki isiyomithilika kama utaendelea kumshikilia Mbowe.

Akaongeza kwa kusema hata kifo cha waziri wa ulinzi kiroho kina maana mbaya sana kwa taifa, kinamaanisha Mungu amekasirika na kuamua kuondoa ulinzi.

Amemuonya rais SSH kujitafakari na kulinusuru taifa kwa kumuachilia Mbowe haraka iwezekanavyo.

Msikilize hapa:


View attachment 1883764


Na huyu nabii siyo wa mchezo mchezo alishawahi kutoa utabiri wake ukatimia Nabii wa Ishara Tanzania: CCM wataomboleza, Zanzibar kuna mgogoro na kifo cha mtu mkubwa 2021
 
Nakwambia mwisho wa hii kesi ni aibu kwa watawala, nadhani hadi sasa wanafikiria waitose vipi kwani, kinachoendelea sasa ni aibu, na imemuondolea sana mama points, kwa wananchi!!kwani IGP, akauaminisha umma kuwa ushahidi umekamilika, juzi mahakamani hao hao tena wanasema ushahidi bado!!hivi kweli mwendazake alivyokuwa na chuki na mbowe kwa tuhuma hizi angemuacha kweli?!!kwani hao anaohusishwa nao wako ndani muda mrefu tu!!mala kutaka kuwaua viongozi ila hilo kosa kwa sasa halipo!

Ni suala la muda tu na ndio maana unaona hata mabeberu yapo mahakamani, yanaifuatilia kwa karibu sana, usije shangaa kabla hata ya hukumu wakaona isiwe shida DPP, tumia mamlaka yako, ili ionekane serikali ni wasafi!!!kweli tatizo la nchi hii wala sio kiongozi bali ni li CHAMA LENYEWE!!hata umuweke maraika , wakati waliomzunguka ni kama mzee wa hamieni BURUNDI, atakuwa shetani tu!

Na MWENDAZAKE MASALIA, wanafurahia tu, kwani mama alianza kupendwa sana na wapinzani, na ccm wachache, sasa huku ameshaanza kuwatia mashaka, MWENDAZAKE MASALIA, wao wanazidi kuchochea kuni tu, ili azidi kuharibikiwa na maono yao yaonekane sahihi kuwa Mama hakuwa na uwezo wa kuongoza kama wanavyodai!

Ndio maana kila kitu kikitokea utawasikia angekuwepo meko hiki kisingepanda bei!!!Ila kwa hili la Mbowe wamejichanganya sana!!unasema kesi za kubambikiza zote ziishe , hapo hapo mnaanzisha nyingine mpya?!!
Nadhani mimi mama sikumukuelewa wakati anasema anatibu majeraha..!! Hivi alisema anayatibu hayo majeraha ILI AANZISHE YA KWAKE?
 
  • Thanks
Reactions: G4N
Hapa ndo nashindwa kuwaelewa nyinyi! Jibu hapa ni kwamba Polisi walipo jua kuwa Njama hizi zipo, wakafanya upelelezi zaidi kuona ni nani ana husika (upelelezi mpaka kujiridhisha haiwezi chukua muda mchache! Pia ilibidi wazuie madhara yaliyokusudiwa yasi tekelezwe ndiyo maana hatukusikia milipuko yoyote! Na walipo kuwa na vielelezo vya kutosha baada ya muda, ndipo wakamkamata Mbowe - lakini ukumbuke wenzake walisha kamatwa! Yeye hakuunganishwa haraka kwa sababu kufadhili ugaidi siyo rahisi kuproove kirahisi- uchunguzi usiotia shaka ulipaswa kufanyika.
Kwa nini alikamatwa Mwanza? - Mbowe ni active politician and very mobile - hivyo atakapo kamatwa atakuwa anafanya shughuli muhimu ya chama chake! Kama siyo Mwanza, ingekuwa Kigoma etc. Kama siyo katiba mpya, huenda ingekuwa tume huru, au kushinikiza mikutano ya hadhara etc.
Kwa hiyo maswali mnayo uliza yananishangaza! PIA NA MIMI NASHANGAA MBOWE KUHUSISHWA NA UGAIDI - I DON'T THINK HE IS THAT STUPID!
Umejitahidi sana bila mafanikio kuokoteza viroja.
Kama Bi Ushungi na Sirro ndio wanakutegemeeni wa aina hizi, ndio maana wameshaanza kutia huruma. Washajua kuwa hawakujua kwamba wana mlima mrefu sana ambao hawakujipima kabla ya kuanza kuupanda.
 
Nakwambia mwisho wa hii kesi ni aibu kwa watawala, nadhani hadi sasa wanafikiria waitose vipi kwani, kinachoendelea sasa ni aibu, na imemuondolea sana mama points, kwa wananchi!!kwani IGP, akauaminisha umma kuwa ushahidi umekamilika, juzi mahakamani hao hao tena wanasema ushahidi bado!!hivi kweli mwendazake alivyokuwa na chuki na mbowe kwa tuhuma hizi angemuacha kweli?!!kwani hao anaohusishwa nao wako ndani muda mrefu tu!!mala kutaka kuwaua viongozi ila hilo kosa kwa sasa halipo!

Ni suala la muda tu na ndio maana unaona hata mabeberu yapo mahakamani, yanaifuatilia kwa karibu sana, usije shangaa kabla hata ya hukumu wakaona isiwe shida DPP, tumia mamlaka yako, ili ionekane serikali ni wasafi!!!kweli tatizo la nchi hii wala sio kiongozi bali ni li CHAMA LENYEWE!!hata umuweke maraika , wakati waliomzunguka ni kama mzee wa hamieni BURUNDI, atakuwa shetani tu!

Na MWENDAZAKE MASALIA, wanafurahia tu, kwani mama alianza kupendwa sana na wapinzani, na ccm wachache, sasa huku ameshaanza kuwatia mashaka, MWENDAZAKE MASALIA, wao wanazidi kuchochea kuni tu, ili azidi kuharibikiwa na maono yao yaonekane sahihi kuwa Mama hakuwa na uwezo wa kuongoza kama wanavyodai!

Ndio maana kila kitu kikitokea utawasikia angekuwepo meko hiki kisingepanda bei!!!Ila kwa hili la Mbowe wamejichanganya sana!!unasema kesi za kubambikiza zote ziishe , hapo hapo mnaanzisha nyingine mpya?!!
tupo kujadili namna yakuipiga chenga mahakama

tuna withdraw hatunahaja yakuendelea na kesi ,simpo
 
Kwa taarifa tunayopewa na Jeshi la Polisi nchini, kuhusu tuhuma za ugaidi zinazomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, ni kuwa alipanga njama za kulipua vituo vya mafuta, Katika hoteli yake ya Aishi, iliyopo huko mkoani Kilimanjaro, Kati ya mwezi May na August mwaka Jana.

Swali la kwanza ninalowauliza hao Polisi wetu ni kwanini huku mkijua kuwa "gaidi" Mbowe, alipanga njama za kulipua vituo vya mafuta nchini, tokea mwaka Jana, mkamuachia akawa anaendelea na shughuli zake, hadi majuzi wakati anaandaa kongamano la Katiba mpya ndiyo mkamkamata?

Kama jukumu lenu na 1 nchini ni kuhakikisha usalama wa raia na mali zao, je kwa kumwachia "gaidi" Mbowe atanue anavyotaka, hivi hamjui hatari kubwa mno mliosababisha wa usalama wa raia n a mali zao wa nchi hii?

Swali la pili kwa hao Polisi wetu, iwapo ni kweli kuwa "gaidi" Mbowe alipanga njama za kulipua vituo vya mafuta, ni kwanini hamjakitaja angalau kituo kimoja, Kati ya hivyo vilivyopangwa kulipuliwa?

Swali la tatu ninalowauliza hao Polisi wetu, mmetueleza kuwa "gaidi" Mbowe alikuwa akifadhili vitendo hivyo vya kigaidi, lakini hamkutujulisha ni kwa kiwango gani cha pesa alichofadhili Katika kipindi hicho?

Kama kweli Jeshi la Polisi linao huo ushahidi, kama alivyojitapa IGP Sirro, tunaliomba Jeshi hilo lijitokeze hadharani na kunijibia maswali yangu hayo.

Ni dhahiri kama Jeshi la Polisi lisipojitokeza hadharani na kunijibia maswali yangu, basi wananchi tulio wengi tutaamini kuwa kesi hii ni ya kisiasa na ya kubambika.
Hapa waungeunge Na ushahidi WA mwigulu aliyewahi SEMA anao ushahidi duniani Na mbinguni,naona wanavyojipaka kinyesi.
 
Back
Top Bottom