zimmerman
JF-Expert Member
- Feb 17, 2011
- 1,628
- 3,155
Umesahau waraka wa kikristo uliosambazwa kwa waumini wa kikristo hadi katika ngazi ya jumuia kuhimiza kuichagua chadema?
Wasimamizi wa mikutano hiyo walikuwa mapadre
Nafikiri unafahamu siyo wakristo wote ni wakatoliki. Na kwa taarifa yako Pengo hana ushawishi wowote kwa waprotestanti. Na kwa waprotestanti Malasusa hana ushawishi kwa walokole. Na kwa walokole Kakobe hana ushawishi kwa mama lawakatare....the list goes on. Kimsini wakristo hawana block vote kama unavyodhani. Wakristo wana udhaifu mwingi lakini udini kuchanganya na siasa sio miongoni mwao.