Ilikuwaje Askari Polisi akawa Mwandishi wa Gazeti la Uhuru?

We jamaa uko negative sana na naona namna unavyoteseka na nchi ambayo unaitaka lakini haipo.
Ni kweli nateseka sana na uharamia wanaotendewa wananchi , ndio maana sijalala mpaka ukombozi utakapopatikana
 
hahahaha, usilolijua kama usiku wa giza..
Hata huyo dada wangemzika tu kwa dini yake pia usingejua kitu, ungebaki gizani hivyo hivyo.

Unafikiri suala la usalama ni siasa za CCM na CDM....wewe kula ugali tu kwa amani na utulivu huku ukienjoy atmosphere iliyopo...
Hajui hata huko upinzani kuna wadau wameshapenyezwa kitambo sana na nchi inaenda vizuri tu.
 
Ni kweli nateseka sana na uharamia wanaotendewa wananchi , ndio maana sijalala mpaka ukombozi utakapopatikana
Utapata tabu sana aisee.

Unatesekaje nyuma ya keyboard na kuponda kila kitu kama sio ishara ya kukosa kazi za kufanya hapa duniani au kukosa matumaini na maishs ambayo ulitamani kuyaishi.

Enjoy maisha dogo,acha kupayukapayuka humu kaa kimya au shukuru vinginevyo ni uhuru wa kuongea tu ndo unakusumbua.
 
Ni sehemu ya ulinzi na usalama wa Taifa.Kifo kimefichua.Unaweza kuta hata usiowadhania nao ni wenyewe
 
Natamani kamanda Siro ajibu swali hili. Na asipo lijibu itakuwa ni fedheha sana kwa jeshi la police. Pia aambatanishe na sheria make hii ni kinyume na civil servant act na regulations zake
Pole .ila jua wapo kila media kila idara za Nchi ,Wauza kahawa,Bodaboda, Machizi,Machinga ukiwa unaongea huko chunga usalama wako .
 
Mungu fundi bana.
Hakuna aibu yoyote wala kuumbuka,wangetaka kumzika kawaida wangemzika na usingejua chochote kile.

Wangeweza kuweka sheria ambazo kwa askari wa maficho akifa asizikwe kijeshi na wangefanya na usingejua lolooote lile.

Nyie ndio mnafurahi ndugai kuachia kiti wakati kiuhalisia hakuna alichopoteza ukiangalia mafao yake atakayolipwa.
 
Kwenye vyombo vyya habari wamemwagwa wengi Sana na hata baadhi ya Hawa wasanii..ndio maana haviendi sababu sio fani yao..
 
Yupo mzee ana kiduka chake cha dawa, pia ni mchungaji ila linapokuja suala la Usalama wa nchi, huyo ni mtu mwingine kabisa. Hiyo ni kawaida, hao wanaweza wekwa popote pale na maisha yakaenda mpaka pale mfumo utapoamua kipi ni kipi.
 
Yupo mzee ana kiduka chake cha dawa, pia ni mchungaji ila linapokuja suala la Usalama wa nchi, huyo ni mtu mwingine kabisa. Hiyo ni kawaida, hao wanaweza wekwa popote pale na maisha yakaenda mpaka pale mfumo utapoamua kipi ni kipi.
Wote hawa wanalipwa mshahara kama watumishi wa umma?
 
Zipo taarifa kwamba mmoja wa Waandishi wa Habari aliyefariki kwenye ajali iliyotokea Mwanza na kuua watu zaidi ya 14 , ambaye alikuwa anafanyia kazi zake kwenye gazeti la CCM alikuwa Askari Polisi na Amezikwa kwa heshima zote za Jeshi hilo mkoani Arusha.

Swali langu ni hili, ilikuwaje Askari huyu kuwa Mwandishi wa chombo cha CCM, haya mambo yanaruhusiwa kikatiba?

View attachment 2079854
Johari alikua polisi kitengo cha Intellejensia ile ilikua camouflage poleni sana wafipa
 
polisi kuna wana habari wa aina mbili
1.wanaoandika na ku record habari za polisi tu,hizi hutumiwa na polisi wentewe mfano,matukio ya mauaji hu recordiwa video jinsi maiti zilivo kutwa na pia kuna matukio mfano ya sherehe na hafla za polisi hurecordiwa na hawa
2.ma informer ambao huleta taarifa za kiintelijensia kwa ukaribu wao walionao na wana habari,umewahi kujiuliza kiongozi wa chadema akikamatwa kwa uchochezi ni nani kapeleka ushahidi polisi ? ni hawa polisi wana habari
NB
usalama wa Taifa (TISS) ni wachache mno mtaani,wengi mnaowaonaga mnadhani ni usalama basi huwa ni polisi,unamkuta mtu bishoo flani unadhani ni bitozi tu anazurula kumbe anatafuta intelijensia
Hapa kuna mambo mawili umepotosha.

Kwanza kesi nyingi za uchochezi hazinaga ushahidi wa maana ndiyo naana nyingi hushindwa mahakamani na badala yake watu hushikiliwa tu.

Pili usalama wa taifa sio wachache kama unavyodhani. Ni wengi isipokuwa wao nature ya kazi yao ndiyo inafanya waonekane ni wachache. Kuna DSO huwa namtembelea ofisini kwake pale kuna sura mpya kibao na anasema hao ni vijana wake walioajiriwa na wasioajiriwa
 
There are many possibilities here, lakini sioni kama conclusion yako kwamba yule police officer alikuwa mwandishi wa habari wa Uhuru ina logical basis. Sio lazima kila aliyefariki kwenye hiyo ajali ni mwandishi wa habari wa Uhuru.

Inawezekana huyo police officer alikuwa Mwanza kwa mambo mengine (binafsi au ya kikazi), lakini akapewa tu ride, pengine kutokana na kufahamiana kwake na ama driver au mtu mwingine aliyekuwa kwenye huo msafara wa watumishi wa Uhuru!
Ni muandishi wa Uhuru.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
There are many possibilities here, lakini sioni kama conclusion yako kwamba yule police officer alikuwa mwandishi wa habari wa Uhuru ina logical basis. Sio lazima kila aliyefariki kwenye hiyo ajali ni mwandishi wa habari wa Uhuru.

Inawezekana huyo police officer alikuwa Mwanza kwa mambo mengine (binafsi au ya kikazi), lakini akapewa tu ride, pengine kutokana na kufahamiana kwake na ama driver au mtu mwingine aliyekuwa kwenye huo msafara wa watumishi wa Uhuru!
Johari ni mwandishi wa Uhuru media siku nyingi hapo mwanza ndugu, just ask to be certain. We know her.
View attachment 2080626
 
Hapa kuna mambo mawili umepotosha.

Kwanza kesi nyingi za uchochezi hazinaga ushahidi wa maana ndiyo naana nyingi hushindwa mahakamani na badala yake watu hushikiliwa tu.

Pili usalama wa taifa sio wachache kama unavyodhani. Ni wengi isipokuwa wao nature ya kazi yao ndiyo inafanya waonekane ni wachache. Kuna DSO huwa namtembelea ofisini kwake pale kuna sura mpya kibao na anasema hao ni vijana wake walioajiriwa na wasioajiriwa
mkuu,nimepotosha wakati nafanya kazi huko !!!, niliyoandika nimeyaona
sijamaanisha ni wachache kiasi hawatoshi,unakijua kitengo cha CID ?
fuatilia then utakuja kuniambia,mimi nimekulia kambi za majeshi yote,i know nilichoandika
nikwambie hata msikitini kuna watu huingia na tape recorder na hu record mawaidha kwa siri hasa ya viongozi wenye misimamo mikali,ndivo ma sheikh hukamatwa hivo
 
Back
Top Bottom