Libertatem Pugnator
JF-Expert Member
- Aug 24, 2017
- 1,006
- 1,377
National Interests above everything
Kuwa na askari kama Musiba ni aibu kubwa sana !
Kuwa na askari kama Musiba ni aibu kubwa sana !
Hatuendi na katiba Tanzania ni nchi ya chama kimoja, polisi huwapigia saluti viongozi wa CCM.Zipo taarifa kwamba mmoja wa Waandishi wa Habari aliyefariki kwenye ajali iliyotokea Mwanza na kuua watu zaidi ya 14 , ambaye alikuwa anafanyia kazi zake kwenye gazeti la CCM alikuwa Askari Polisi na Amezikwa kwa heshima zote za Jeshi hilo mkoani Arusha .
Swali langu ni hili , ilikuwaje Askari huyu kuwa Mwandishi wa chombo cha CCM , haya mambo yanaruhusiwa kikatiba ?
View attachment 2079854Simiyu: Watu 14 wafariki dunia kwenye ajali katika msafara wa Mkuu wa Mkoa Mwanza
Watu 14 wamefariki dunia baada ya gari ya waandishi wa habari iliyokuwa kwenye msafara wa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza (RC), Robert Gabriel kugongana na gari ya abiria Hiace katika eneo la Nyamikoma wilaya ya Busega Mkoani Simiyu. Mkuu wa Wilaya ya Busega (DC), Gabriel Zakaria amethibitisha kutokea...www.jamiiforums.com
Hawa wapo hata kwenye media houses nyingine mkuuMkuu, taarifa zote kuhusu huyo marehemu mwandishi wa habari, mbona zimetolewa na kuwekwa wazi na viongozi wake baada ya kifo?
Kawaida "askari" wa majeshi yote ni watumushi wa serikali(umma) na huweza kushikizwa kwenye idara yoyote ya serikali bila shida.
Swali la msingi hapa ni: kwa nini iwe kwenye departmemt ya Sisiem, wakati sheria zinapiga marufuku askari yeyote kufanya kazi za chama, ama kujiunga na chama chochote?
Futa huu utumbo wako matako weweHivi unajua kama yule assistant referee aliyeko cameroon Frank Komba ni polisi tena Instpekta..
Point yako inaweza kuwa sawa, lakini kumbuka kuwa "ngome" kuna wafanyakazi wengi sana maraia walioshikizwa na Wizara ya ulinzi kufanyia kazi pale kutokana na mahitaji ya jeshi.unafikiri atakubali tu ndio, imeshakuwa exposed lazima atafute pakutokea..
Yule kidoti?Hata mtangazaji anayependa sana kusafiri ughaibuni ambaye pia ni mfanya mazoezi sana naye ni wale wa kaunda sauti
Intelejensia za nchiZipo taarifa kwamba mmoja wa Waandishi wa Habari aliyefariki kwenye ajali iliyotokea Mwanza na kuua watu zaidi ya 14 , ambaye alikuwa anafanyia kazi zake kwenye gazeti la CCM alikuwa Askari Polisi na Amezikwa kwa heshima zote za Jeshi hilo mkoani Arusha .
Swali langu ni hili , ilikuwaje Askari huyu kuwa Mwandishi wa chombo cha CCM , haya mambo yanaruhusiwa kikatiba ?
View attachment 2079854Simiyu: Watu 14 wafariki dunia kwenye ajali katika msafara wa Mkuu wa Mkoa Mwanza
Watu 14 wamefariki dunia baada ya gari ya waandishi wa habari iliyokuwa kwenye msafara wa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza (RC), Robert Gabriel kugongana na gari ya abiria Hiace katika eneo la Nyamikoma wilaya ya Busega Mkoani Simiyu. Mkuu wa Wilaya ya Busega (DC), Gabriel Zakaria amethibitisha kutokea...www.jamiiforums.com
Hadi huko bar Kuna wanawake ma barmaid lakini ni polisi wako sehem nyingi sana kwenye ulevi ndo sehem wanakusanya taarifa nyingi.
Wengine wamejiunga kwenye makundi ya kijambazi kabisa na wanapiga matukio kadhaa ikibidi huku majambazi wakiamini ni mwenzao, mwsho mnakamatwa wote alaf yeye inasemekana katoroka
Suala ni kufanya kazi kwenye Chama cha siasa.
Wanafanya nini?Hawa wapo hata kwenye media houses nyingine mkuu
💩💩Ingekua duni usingekua unachangia mijadala jf kwa Amani, nchi Haina vita sababu ya inteligensia makini
Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app
Anakuwa ameazimwa kwa kazi maalumWatu kazini,hivi ikiwa hivyo anakua na double salary au?
Is Pope a Catholic?Wanafanya nini?
So halipwiAnakuwa ameazimwa kwa kazi maalum
Unachobisha ni kipi ndugu yangu.Frank Komba ni inspector wa polisi.Futa huu utumbo wako matako wewe