Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,166
- 45,871
informer sio tu anaweza kuwekwa taasisi au sehemu yeyote ile hata boda boda ni informers,hajaajiliwa serikalini lakini kuna benefits anapataKama alikuwa mtu wa kazi maalum, kulikuwa na sababu gani ya kufichua kazi yake baada ya kufa? Ufala mwingine.
Hivi informer anaweza wekwa taasisi/sehemu yoyote ile?