Kaunga
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 12,530
- 13,466
Nakumbuka Mwaka jana, ukienda posta (Kigoma) kupokea/kuchukua pesa zilizotumwa kwa njia ya Western Union kama watumia kiparata kama kitambulisho chako; ilikuwa lazima (walilazimisha) utoe nakala (photocopy) ibaki pale!
Hii ilinikuta, nikawaambia mbona nikija na passport hamuombi nakala; wakajiumauma na mwisho wakanipa pesa zangu bila kuacha nakala ya kiparata cha mpiga kura!
Swali langu; ni kwanini walihitaji nakala za viparata? Waliagizwa? Na kama ndio vilikuwa na kazi gani? Nini kinaweza fanyika kwa kutumia nakala za viparata?
Sijui kama zoezi hilo lilikuwa ni la muda au linaendelea?
Hii ilinikuta, nikawaambia mbona nikija na passport hamuombi nakala; wakajiumauma na mwisho wakanipa pesa zangu bila kuacha nakala ya kiparata cha mpiga kura!
Swali langu; ni kwanini walihitaji nakala za viparata? Waliagizwa? Na kama ndio vilikuwa na kazi gani? Nini kinaweza fanyika kwa kutumia nakala za viparata?
Sijui kama zoezi hilo lilikuwa ni la muda au linaendelea?