Ilikuwa ni Chadema Vs Serikali, CCM, CUF na Bakwata - Hongera CDM kwa matokeo yoyote

figganigga

JF-Expert Member
Oct 17, 2010
25,491
54,884
hakika viongozi na wanachama wa chadema mnaonyesha dhamira ya dhati ya kulikomboa taifa letu.
hii imedhihilika katika jimbo la Igunga ambapo chadema wamefanya kampeni chini ya mwezi mmoja na kuweza kufungua matawi kadhaa na kupata kula za kurizisha ukilinganisha na vyama vingine vya upinzani hata ccm iliyokaa madarakani mika karibia 40.kwa kura zilizopatikana Igunga ni ishara tosha kwamba chadema ndiyo chama mbadala.
UKOMBOZI WA TANZANIA UMEFIKA.mia
 
Kwa kweli Makamanda wetu mmejitahidi sana huko Igunga, na hata Magamba hawatabisha kwamba hawakulala hawakula na pressure zinazidi kuwapanda kwa kazi mlioifanya na manayoendelea kuifanya.

Serikali ilihamia huko ikiwakilishwa na mawaziri kutaja wachache Magufuli na Wassira hawa wakiendesha mapambano dhidi ya Chadema, CCM wakiwa na wabunge wao kadhaa na makada lukuki akiwemo Mangula, Mkapa, Mukama nk, nao walikuwa wakipambana na Chadema, Bakwata nao wakaingia ulingoni kuendesha kampeni dhidi ya chadema, lakini bila kuwasahau CUF.

Mpaka sasa idadi ya kura walizopata chadema, tena katika eneo ambalo lilikuwa ngome ya magamba, ni dhahiri kwamba chama kinakubalika. Makamanda msikate tamaa, najua vita ni nzito, kushindana na wote hawa si kazi rahisi, lakini kazi yenu inaonekana.

Ninajua tutakapokuwa na tume huru ya uchaguzi na katiba mpya ambayo haitaruhusu vikundi vya dini au viongozi wa kiserikali kuchukua upande katika uchaguzi, magamba watang'oka kiulaini kabisa.

Peopleee powerrrrrrrr!!!
 
Kwa kweli Makamanda wetu mmejitahidi sana huko Igunga, na hata Magamba hawatabisha kwamba hawakulala hawakula na pressure zinazidi kuwapanda kwa kazi mlioifanya na manayoendelea kuifanya.

Serikali ilihamia huko ikiwakilishwa na mawaziri kutaja wachache Magufuli na Wassira hawa wakiendesha mapambano dhidi ya Chadema, CCM wakiwa na wabunge wao kadhaa na makada lukuki akiwemo Mangula, Mkapa, Mukama nk, nao walikuwa wakipambana na Chadema, Bakwata nao wakaingia ulingoni kuendesha kampeni dhidi ya chadema, lakini bila kuwasahau CUF.

Mpaka sasa idadi ya kura walizopata chadema, tena katika eneo ambalo lilikuwa ngome ya magamba, ni dhahiri kwamba chama kinakubalika. Makamanda msikate tamaa, najua vita ni nzito, kushindana na wote hawa si kazi rahisi, lakini kazi yenu inaonekana.

Ninajua tutakapokuwa na tume huru ya uchaguzi na katiba mpya ambayo haitaruhusu vikundi vya dini au viongozi wa kiserikali kuchukua upande katika uchaguzi, magamba watang'oka kiulaini kabisa.

Peopleee powerrrrrrrr!!!

True that! " VIVA CDM VIVA TANGANYIKA aluta continua"
 
Ukweli ni kuwa CHADEMA IMESHINDWA HUKO igunga. Sasa wameaqnza fujo lakini wakazimwa. Fujo zimeanzishwa na wana-CHADEMA waliokwenda huko Igunga wakitokea Musoma, Mwanza na Arusha.
 
Ukweli ni kuwa CHADEMA IMESHINDWA HUKO igunga. Sasa wameaqnza fujo lakini wakazimwa. Fujo zimeanzishwa na wana-CHADEMA waliokwenda huko Igunga wakitokea Musoma, Mwanza na Arusha.
acha kupanic, kwenye hii thread hakuna anaeuliza nani kaanzisha fujo, nenda kwenye uzi husika.
 
umesahau kuweka na vyombo vyote vya dola na tume ya uchaguzi ya CCM.
 
tume mpyaa katiba mpyaaa ccm hamna ujanja tutawafanyia cha zambia 2015 si mbali tutawapiga chini tu wala msitambe kushinda igunga
 
Ukweli ni kuwa CHADEMA IMESHINDWA HUKO igunga. Sasa wameaqnza fujo lakini wakazimwa. Fujo zimeanzishwa na wana-CHADEMA waliokwenda huko Igunga wakitokea Musoma, Mwanza na Arusha.
usikurupuke kujibu kitu ambacho hujakielewa,
 
Ukweli ni kuwa CHADEMA IMESHINDWA HUKO igunga. Sasa wameaqnza fujo lakini wakazimwa. Fujo zimeanzishwa na wana-CHADEMA waliokwenda huko Igunga wakitokea Musoma, Mwanza na Arusha.

Tulishatoka huko, we kaza ndura mwendo bado!
 
Kwa kweli Makamanda wetu mmejitahidi sana huko Igunga, na hata Magamba hawatabisha kwamba hawakulala hawakula na pressure zinazidi kuwapanda kwa kazi mlioifanya na manayoendelea kuifanya.

Serikali ilihamia huko ikiwakilishwa na mawaziri kutaja wachache Magufuli na Wassira hawa wakiendesha mapambano dhidi ya Chadema, CCM wakiwa na wabunge wao kadhaa na makada lukuki akiwemo Mangula, Mkapa, Mukama nk, nao walikuwa wakipambana na Chadema, Bakwata nao wakaingia ulingoni kuendesha kampeni dhidi ya chadema, lakini bila kuwasahau CUF.

Mpaka sasa idadi ya kura walizopata chadema, tena katika eneo ambalo lilikuwa ngome ya magamba, ni dhahiri kwamba chama kinakubalika. Makamanda msikate tamaa, najua vita ni nzito, kushindana na wote hawa si kazi rahisi, lakini kazi yenu inaonekana.

Ninajua tutakapokuwa na tume huru ya uchaguzi na katiba mpya ambayo haitaruhusu vikundi vya dini au viongozi wa kiserikali kuchukua upande katika uchaguzi, magamba watang'oka kiulaini kabisa.

Peopleee powerrrrrrrr!!!

maneno yakujifariji hayo, kushindwa ni kushindwa tu. Butwaa walilolipata CDM hawaamini wote kimyaaaa ukiwamo na ww. CCM ina jeshi kubwa ilimpeleka Mkapa tu imewasambaratisha. Hapo ndipo utajua hawa jamaa wana hazina ya viongozi na wenye kujua nn chakufanya. Pole sana kanywe supu ulale tu
 
bila ushabiki kiwango cha kura za chadema huko igunga na kwenye chaguzi za madiwani zilizofanyika jana ni dalili njema kwao.

Cha msingi wanatakiwa kuongoza nguvu zaidi kuimarisha chama chao.

Pia ni muhimu sana kuhakikisha wanachama na wapenzi wao wanajiandikisha kwenye daftari la wapiga kura mara tu tume ya uchaguzi itakapotoa nafasi hiyo. Na hii ni muhimu zaidi hata kuliko kafanya kampeni wakati wa uchaguzi tu. Kwani kama chama kitakuwa na uhakika kuwa wanachama na wapenzi wake wamejiandikisha kazi kwenye kampeni itakuwa kuwakumbusha kwenda kupiga kura na kuwashawishi wale ambao wanaelekea kuunga mkono vyama vingi.
 

maneno yakujifariji hayo, kushindwa ni kushindwa tu. Butwaa walilolipata cdm hawaamini wote kimyaaaa ukiwamo na ww. Ccm ina jeshi kubwa ilimpeleka mkapa tu imewasambaratisha. Hapo ndipo utajua hawa jamaa wana hazina ya viongozi na wenye kujua nn chakufanya. Pole sana kanywe supu ulale tu

ccm wanajua hilo
 
bila ushabiki kiwango cha kura za chadema huko igunga na kwenye chaguzi za madiwani zilizofanyika jana ni dalili njema kwao.

Cha msingi wanatakiwa kuongoza nguvu zaidi kuimarisha chama chao.

Pia ni muhimu sana kuhakikisha wanachama na wapenzi wao wanajiandikisha kwenye daftari la wapiga kura mara tu tume ya uchaguzi itakapotoa nafasi hiyo. Na hii ni muhimu zaidi hata kuliko kafanya kampeni wakati wa uchaguzi tu. Kwani kama chama kitakuwa na uhakika kuwa wanachama na wapenzi wake wamejiandikisha kazi kwenye kampeni itakuwa kuwakumbusha kwenda kupiga kura na kuwashawishi wale ambao wanaelekea kuunga mkono vyama vingi.

Una mawazo mazuri ila sasa unao waambia hayo hawasikii hivi sasa wote wanaumwa ! KUSHINDWA KUBAYA SANA
 
hakika viongozi na wanachama wa chadema mnaonyesha dhamira ya dhati ya kulikomboa taifa letu.
hii imedhihilika katika jimbo la Igunga ambapo chadema wamefanya kampeni chini ya mwezi mmoja na kuweza kufungua matawi kadhaa na kupata kula za kurizisha ukilinganisha na vyama vingine vya upinzani hata ccm iliyokaa madarakani mika karibia 40.kwa kura zilizopatikana Igunga ni ishara tosha kwamba chadema ndiyo chama mbadala.
UKOMBOZI WA TANZANIA UMEFIKA.mia

Safi sana CDM, kazi kubwa mmefanya. hizo ni dalili tosha kwamba 2015 nyota ni ya kwenu.
 

maneno yakujifariji hayo, kushindwa ni kushindwa tu. Butwaa walilolipata CDM hawaamini wote kimyaaaa ukiwamo na ww. CCM ina jeshi kubwa ilimpeleka Mkapa tu imewasambaratisha. Hapo ndipo utajua hawa jamaa wana hazina ya viongozi na wenye kujua nn chakufanya. Pole sana kanywe supu ulale tu

Unajua hata uwepo wa ccm madarakani kwa sasa ni kwa kuwa kuna wachache sana ambao hawafikiri kama wewe, infact wana akili kidoooooooooooooooogo kuliko wewe GeniusBrain. Kwa jinsi muda unavyokwenda wote watabakia kuwa kama wewe.
 
Back
Top Bottom