figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,890
hakika viongozi na wanachama wa chadema mnaonyesha dhamira ya dhati ya kulikomboa taifa letu.
hii imedhihilika katika jimbo la Igunga ambapo chadema wamefanya kampeni chini ya mwezi mmoja na kuweza kufungua matawi kadhaa na kupata kula za kurizisha ukilinganisha na vyama vingine vya upinzani hata ccm iliyokaa madarakani mika karibia 40.kwa kura zilizopatikana Igunga ni ishara tosha kwamba chadema ndiyo chama mbadala.
UKOMBOZI WA TANZANIA UMEFIKA.mia
hii imedhihilika katika jimbo la Igunga ambapo chadema wamefanya kampeni chini ya mwezi mmoja na kuweza kufungua matawi kadhaa na kupata kula za kurizisha ukilinganisha na vyama vingine vya upinzani hata ccm iliyokaa madarakani mika karibia 40.kwa kura zilizopatikana Igunga ni ishara tosha kwamba chadema ndiyo chama mbadala.
UKOMBOZI WA TANZANIA UMEFIKA.mia