Ilikuwa mafuta, ikawa miamala na sasa baada ya siku 5 itakuwa kilio cha nyongeza kiduchu ya mishahara

Yani na uchumi wake wa daraja la kwanza anasema Serikali itaweka pesa kwenye Mzungu baadaye. Sasa kwanini wasiweke sasa hivi kabla ya kuanza kutukata kwenye miamala?? Wewe unatunyonya pesa yetu afu ndo uturudishe afu useme ndo uweka?

Na bado mnakopa

Sent from my Moto E (4) using JamiiForums mobile app
Huku kwetu Iramba weekend hii kafanyiwa sherehe - kachinjiwa maksai mwekundu!
 
Tarehe 24 Julai, 2021 watumishi wa umma na hata wafanyakazi wa sekta binafsi wataenda kushuhudia hilo punguzo la asimilia 01% ya kodi kwenye mishahara yao itawaongezea kiasi gani cha kipato cha mwezi kwa ajili ya kutumia kwa miezi 12 ijayo.

Waziri Mwigulu kwa niaba ya Rais amesema Serikali inaenda kuachia mihela so hata machungu ya kodi za miamala yatatoweka.

Kauli ya Mh. Mwigulu kwa niaba ya Rais ina kautamu Fulani hivi.

Hebu tusubiri ndani ya hizi siku 5 - je ni kweli itakuwa kama ilivyokwishatamkwa au akina Mwigulu wanaenda kumharibia zaidi Rais Samia?
Unasema kauli ya Mwigulu ina kautamu Fulani? Hapo unajifariji tu! Tayari inajulikana nyongeza ya mshahara ni shilingi 2,600/- sasa hapo ndiyo unataka kutuambia nini bwana NewPage?
 
Unasema kauli ya Mwigulu ina kautamu Fulani? Hapo unajifariji tu! Tayari inajulikana nyongeza ya mshahara ni shilingi 2,600/- sasa hapo ndiyo unataka kutuambia nini bwana NewPage?
Uzushi tu, nyongeza haiwezi kuwa buku 2 kamwe!
 
Hamuwezi kuvuna msipopanda, serikali kama inataka kukusanya kodi iwe tayari kufharamia miundo mbinu. Hivi kila Wilaya ikijenga frame 100 kando ya barabara na kupangisha wamachinga kwa laki moja kwa mwezi ni kiasi gani kitajkusanywa!
 
Hamuwezi kuvuna msipopanda, serikali kama inataka kukusanya kodi iwe tayari kufharamia miundo mbinu. Hivi kila Wilaya ikijenga frame 100 kando ya barabara na kupangisha wamachinga kwa laki moja kwa mwezi ni kiasi gani kitajkusanywa!
Unachekesha sana sijapata kuona mawazo ya ki-kuku-kuku kama hili-kuku
 
Unasema kauli ya Mwigulu ina kautamu Fulani? Hapo unajifariji tu! Tayari inajulikana nyongeza ya mshahara ni shilingi 2,600/- sasa hapo ndiyo unataka kutuambia nini bwana NewPage?
Kitachomtesa na kumhangaisha Mama yetu ni kama atang'anana na miradi yote ya mtangulizi wake kama ilivyo pamoja na Ile ya kwakwe ya vipaumbele vyake. Huwezi kutekeleza vipaumbele vya awamu mbili ukafanikiwa. Waliopandisha bei ya mafuta na miamala ni wale wanataka mama abebe miradi ya JPM na yake kwa wakati mmoja bila kujali hali za wananchi. Yaani unamtaka mwananchi wa kawaida kabisa wa kule Wanging'ombe atozwe hela kubwa ya kutoa hela aliyotumiwa na mjukuu wake anayefanya umachinga mjini ili ukajenge makao makuu Dodoma.

Sio kweli kwamba hela hiyo inakwenda kujenga zahanati pale kijijini kwake bali hela hiyo inakwenda kujenga majengo ya serikali, ikuli, barabara na mambo mengine kule Dodoma ambayo tayari yalikuwepo kule Dar es salaam.

Kama mama anataka kurekebisha uchumi hana budi kuachana na habari za Dodoma kwanza na miradi mingine yenye harufu ya ukanda zaidi.
 
Kitachomtesa na kumhangaisha Mama yetu ni kama atang'anana na miradi yote ya mtangulizi wake kama ilivyo pamoja na Ile ya kwakwe ya vipaumbele vyake. Huwezi kutekeleza vipaumbele vya awamu mbili ukafanikiwa. Waliopandisha bei ya mafuta na miamala ni wale wanataka mama abebe miradi ya JPM na yake kwa wakati mmoja bila kujali hali za wananchi. Yaani unamtaka mwananchi wa kawaida kabisa wa kule Wanging'ombe atozwe hela kubwa ya kutoa hela aliyotumiwa na mjukuu wake anayefanya umachinga mjini ili ukajenge makao makuu Dodoma.

Sio kweli kwamba hela hiyo inakwenda kujenga zahanati pale kijijini kwake bali hela hiyo inakwenda kujenga majengo ya serikali, ikuli, barabara na mambo mengine kule Dodoma ambayo tayari yalikuwepo kule Dar es salaam.

Kama mama anataka kurekebisha uchumi hana budi kuachana na habari za Dodoma kwanza na miradi mingine yenye harufu ya ukanda zaidi.
Hi ni poenti kubwa na nzuli sana!
 
Kulia Lia,kukosoa,kulaumu ni sehemu ya maisha ya WaTzn kwa hiyo usipate shida sana ,hawanaga suluhisho kwa hiyo ni WA kupuuzwa
 
Jamii ipi? Unawajua wenye laana? Kuna laana umewahi Iona inaigusa serikali? Huna akili na hujui kitu,nakupuuza rasmi
Kama ujui kaaa kimya.We uoni kama serikali imelogwa vile kwa mambo yanavyoenda mbele nyuma,miaka 60 ya UHURU bado tunategemea misaada.
 
Kama ujui kaaa kimya.We uoni kama serikali imelogwa vile kwa mambo yanavyoenda mbele nyuma,miaka 60 ya UHURU bado tunategemea misaada.
Ndio maana unatakiwa kulipa kodi Ili kuepukana na misaada.

Sasa Nchi imejaa watu wapuuzi kama nyie hamtaki kulipa kodi ila mnalaumu,tunawapuuza na kodi ziko pale pale
 
Back
Top Bottom