Ilikuwa mafuta, ikawa miamala na sasa baada ya siku 5 itakuwa kilio cha nyongeza kiduchu ya mishahara

NewPage

JF-Expert Member
Mar 22, 2021
1,281
2,020
Tarehe 24 Julai, 2021 watumishi wa umma na hata wafanyakazi wa sekta binafsi wataenda kushuhudia hilo punguzo la asimilia 01% ya kodi kwenye mishahara yao itawaongezea kiasi gani cha kipato cha mwezi kwa ajili ya kutumia kwa miezi 12 ijayo.

Waziri Mwigulu kwa niaba ya Rais amesema Serikali inaenda kuachia mihela so hata machungu ya kodi za miamala yatatoweka.

Kauli ya Mh. Mwigulu kwa niaba ya Rais ina kautamu Fulani hivi.

Hebu tusubiri ndani ya hizi siku 5 - je ni kweli itakuwa kama ilivyokwishatamkwa au akina Mwigulu wanaenda kumharibia zaidi Rais Samia?
 
JamiiForums-2028980218.jpg
 
Naomba vote yako rafiki ubarikiwe😊👇🏻

We ni Materu yupi? Wa Materuni au?
 
Yani na uchumi wake wa daraja la kwanza anasema Serikali itaweka pesa kwenye Mzungu baadaye. Sasa kwanini wasiweke sasa hivi kabla ya kuanza kutukata kwenye miamala?? Wewe unatunyonya pesa yetu afu ndo uturudishe afu useme ndo uweka?

Na bado mnakopa

Sent from my Moto E (4) using JamiiForums mobile app
 
Yani na uchumi wake wa daraja la kwanza anasema Serikali itaweka pesa kwenye Mzungu baadaye. Sasa kwanini wasiweke sasa hivi kabla ya kuanza kutukata kwenye miamala?? Wewe unatunyonya pesa yetu afu ndo uturudishe afu useme ndo uweka?
Mwigulu hanaga aibu! Sisi WaNyiramba wenzie tunamjua vizuri sana! Sema tu tumekosa mbadla wake!
 
Tarehe 24 Julai, 2021 watumishi wa umma na hata wafanyakazi wa sekta binafsi wataenda kushuhudia hilo punguzo la asimilia 01% ya kodi kwenye mishahara yao itawaongezea kiasi gani cha kipato cha mwezi kwa ajili ya kutumia kwa miezi 12 ijayo...
Magufuli alibana pesa na matokeo yake alitukanwa na sekta nzima ya biashara.

Huyu wa sasa anaachia pesa mtaani na bado anasakamwa kwenye masuala ya kodi za miamala!.

Hayupo rais atakayeweza kumfurahisha kila mtanzania.

Cha muhimu kwa Kiongozi mkuu wa nchi ni kuwa na msimamo kwa kile anachokifanya.
 
Magufuli alibana pesa na matokeo yake alitukanwa na sekta nzima ya biashara.

Huyu wa sasa anaachia pesa mtaani na bado anasakamwa kwenye masuala ya kodi za miamala!.

Hayupo rais atakayeweza kumfurahisha kila mtanzania.

Cha muhimu kwa Kiongozi mkuu wa nchi ni kuwa na msimamo kwa kile anachokifanya.
Pesa gani kishaachia ndugu?
 
Tarehe 24 Julai, 2021 watumishi wa umma na hata wafanyakazi wa sekta binafsi wataenda kushuhudia hilo punguzo la asimilia 01% ya kodi kwenye mishahara yao itawaongezea kiasi gani cha kipato cha mwezi kwa ajili ya kutumia kwa miezi 12 ijayo.

Waziri Mwigulu kwa niaba ya Rais amesema Serikali inaenda kuachia mihela so hata machungu ya kodi za miamala yatatoweka.

Kauli ya Mh. Mwigulu kwa niaba ya Rais ina kautamu Fulani hivi.

Hebu tusubiri ndani ya hizi siku 5 - je ni kweli itakuwa kama ilivyokwishatamkwa au akina Mwigulu wanaenda kumharibia zaidi Rais Samia?
purchasing power ya watumishi ikiwa ndogo hakuna uchumi kukua, hata viwanda vitadumaa. BAADHI ya mambo yanayochangia uchumi wa ulaya na marekani na mataifa mengine kama kenya kukua ni uwezo mkubwa wa manunuzi walionao watumishi. Mshahara wa mbunge wa Kenya ni sawa na mishahara ya wabunge 5 wa tanzania. mshahara wa prof. wa Kenya ni sawa na mishahara ya maprofesa 6 wa hapa kwetu, hii ina maana kuwa mtumishi wa ulaya anaweza kununua zaidi ya mara 20 kuliko mtumishi wa Tanzania, maana yake anaweza kulipa kodi za serikali na hata kuajiri watu wengine, wanaweza kufanya utalii, wanaweza kupanda ndege, wanaweza kununu simenti, nk mara 20 kuliko sisi.

Swala la mishahara midogo kwa waliofanikiwa kupata ajira na riba kubwa za mabenki ni chanzo kikubwa cha uchumi wetu kubaki chini. Wachumi wetu wamesoma lakini hawajaelimika.
 

Similar Discussions

3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom