Prof Koboko
JF-Expert Member
- Aug 15, 2020
- 350
- 2,549
Hivi ilikuaje Power Kaaya aliyemaliza kutoa ushahidi leo mahakamani yeye na mwenzake walikamatwa haraka, wakashtakiwa haraka na kisha kuhukumiwa haraka kwa kesi ya Ugaidi bila kuunganishwa na Wenzake hawa kina Mbowe na Walinzi wake?
Kwani kwa ushahidi huu aliotoa mbona hakuna utofauti wa kesi yake na hii inayoendelea hivi sasa? Kwanini baada ya Mbowe kupelekwa gerezani wao wakaachiwa?
Hii nchi ina mambo mengi sana ukitaka kuyawaza sana uyapasuka kichwa. Hata kuna siku nitakaa na wanangu nitawaambia haya haya.
Haya tunaona mashahidi mpaka sasa upande wa jamuhuri ni kada wa CCM na Mapolisi,haya mambo iko siku tutasali sana kumuomba Mungu.
Kwani kwa ushahidi huu aliotoa mbona hakuna utofauti wa kesi yake na hii inayoendelea hivi sasa? Kwanini baada ya Mbowe kupelekwa gerezani wao wakaachiwa?
Hii nchi ina mambo mengi sana ukitaka kuyawaza sana uyapasuka kichwa. Hata kuna siku nitakaa na wanangu nitawaambia haya haya.
Haya tunaona mashahidi mpaka sasa upande wa jamuhuri ni kada wa CCM na Mapolisi,haya mambo iko siku tutasali sana kumuomba Mungu.