Ilikua lazima Mo Dewji aweke bilioni 20 baada ya Azam kutoa mkataba mnono Yanga

2025 anarudi bungeni na atawamiliki 100%
Amiliki tu,,Simba Africa ni club No12 kwa uoubwa uto sijui iko wap tumengia robo fail mara2 tumebeba vikombe mara 4 mfululizo hapa bongo AF 2 BACK TO BACK ngao za jamii za kutosha, mitandaon ndio club No 1 kua nawafuasi wengi , unataka nini labda huoni akinunua itapendeza zaidi

Au tuandamane GSM mpaka CAS tukadai kombe letu sisi utopolo
 
Ulichokiandika naona kama kina ukweli maana nikiangalia sakata la Manara kutakiwa kupewa mkataba wa 4m ili awe anatumia kwa Simba na Mwamedi nikaona tu jamaa ni janja Sana naona kastuka mapema angechelewa kidogo watu wangemzunguka Hilo dili
 
Habari Wana michezo poleni wanachama wenye team yenu sababu mnaponzwa na mashabiki Kwan wao wanacho taka ni furaha tu

Leo Mo katangaza kuweka Ile B20 ya hisa 49 kitu ambacho asinge fanya kama yanga wasinge Pata dili nono Tena Mara mbil ya pesa anayo Lipa Mo-Dewji kwa kumiliki hisa 49 milele uku yanga wao wakiuza haki za matangazo kwa miaka 10 tu

Kwanini nasema Mo ilikua lazima aweke izi fedha ni sababu kaogopa kununua Muda kwani Simba fukuto lilikua kimesha Anza la Wana simba Kuanza kuonesha Dalili ya kumkataa ki Aina

Pia habar za chini kwa chin zina Sema kua Mo alimtumia Babra C. E. O kuandika pesa zote wanazo chukua kwa Moo kua Simba wanakopa na Mo Leo Atazikata izo hela Ambazo inasadikika ni B7 ivyo moo Leo B13 ndiomana kaanza kwa kujihami kua kwenye simba amesha tumia Zaidi ya B21 kwenye kuendesha team

Ili yoyote atae taka kukanusha ili atuoneshe risit ya B20 kama itawekwa Leo?

Pia kumbe FCC mwanzo waligoma sababu Mo alitaka kila kitu cha simba kuanzia wachezaj wafanyakaz wawe chini ya Moo company na sio chini ya simba na kwa Hali io mtu yeyote atakae kua simba ajue kua yuko kasjiriwa na Mo ndiomana hata Haji Manara kafukuzwa simba yote sababu ya yeye kujitoa kuwa mfanyakaz wa Mo na kuwa mfanyakazi wa Simba.

Ndio maana Manara alikua anafanya matangazo ya bidhaa tofaut na za Mo ila Mo hakutaka, yeye alitaka Manara asaini mkataba wake ambao hatofanya kazi tofauti na Mo Dewji company
Soma au uliza, unapata aibu ndugu
 
Habari Wana michezo poleni wanachama wenye team yenu sababu mnaponzwa na mashabiki Kwan wao wanacho taka ni furaha tu

Leo Mo katangaza kuweka Ile B20 ya hisa 49 kitu ambacho asinge fanya kama yanga wasinge Pata dili nono Tena Mara mbil ya pesa anayo Lipa Mo-Dewji kwa kumiliki hisa 49 milele uku yanga wao wakiuza haki za matangazo kwa miaka 10 tu

Kwanini nasema Mo ilikua lazima aweke izi fedha ni sababu kaogopa kununua Muda kwani Simba fukuto lilikua kimesha Anza la Wana simba Kuanza kuonesha Dalili ya kumkataa ki Aina

Pia habar za chini kwa chin zina Sema kua Mo alimtumia Babra C. E. O kuandika pesa zote wanazo chukua kwa Moo kua Simba wanakopa na Mo Leo Atazikata izo hela Ambazo inasadikika ni B7 ivyo moo Leo B13 ndiomana kaanza kwa kujihami kua kwenye simba amesha tumia Zaidi ya B21 kwenye kuendesha team

Ili yoyote atae taka kukanusha ili atuoneshe risit ya B20 kama itawekwa Leo?

Pia kumbe FCC mwanzo waligoma sababu Mo alitaka kila kitu cha simba kuanzia wachezaj wafanyakaz wawe chini ya Moo company na sio chini ya simba na kwa Hali io mtu yeyote atakae kua simba ajue kua yuko kasjiriwa na Mo ndiomana hata Haji Manara kafukuzwa simba yote sababu ya yeye kujitoa kuwa mfanyakaz wa Mo na kuwa mfanyakazi wa Simba.

Ndio maana Manara alikua anafanya matangazo ya bidhaa tofaut na za Mo ila Mo hakutaka, yeye alitaka Manara asaini mkataba wake ambao hatofanya kazi tofauti na Mo Dewji company
Wahi ukashtaki CAS Mo anyang'anywe hizo hisa
 
Habari Wana michezo poleni wanachama wenye team yenu sababu mnaponzwa na mashabiki Kwan wao wanacho taka ni furaha tu

Leo Mo katangaza kuweka Ile B20 ya hisa 49 kitu ambacho asinge fanya kama yanga wasinge Pata dili nono Tena Mara mbil ya pesa anayo Lipa Mo-Dewji kwa kumiliki hisa 49 milele uku yanga wao wakiuza haki za matangazo kwa miaka 10 tu

Kwanini nasema Mo ilikua lazima aweke izi fedha ni sababu kaogopa kununua Muda kwani Simba fukuto lilikua kimesha Anza la Wana simba Kuanza kuonesha Dalili ya kumkataa ki Aina

Pia habar za chini kwa chin zina Sema kua Mo alimtumia Babra C. E. O kuandika pesa zote wanazo chukua kwa Moo kua Simba wanakopa na Mo Leo Atazikata izo hela Ambazo inasadikika ni B7 ivyo moo Leo B13 ndiomana kaanza kwa kujihami kua kwenye simba amesha tumia Zaidi ya B21 kwenye kuendesha team

Ili yoyote atae taka kukanusha ili atuoneshe risit ya B20 kama itawekwa Leo?

Pia kumbe FCC mwanzo waligoma sababu Mo alitaka kila kitu cha simba kuanzia wachezaj wafanyakaz wawe chini ya Moo company na sio chini ya simba na kwa Hali io mtu yeyote atakae kua simba ajue kua yuko kasjiriwa na Mo ndiomana hata Haji Manara kafukuzwa simba yote sababu ya yeye kujitoa kuwa mfanyakaz wa Mo na kuwa mfanyakazi wa Simba.

Ndio maana Manara alikua anafanya matangazo ya bidhaa tofaut na za Mo ila Mo hakutaka, yeye alitaka Manara asaini mkataba wake ambao hatofanya kazi tofauti na Mo Dewji company
Juzi umeandika kimbea haya endeleeni kufurahia bil 38 zenu ZA mafungu hahahaaa sisi zimeingia bil ZA pamoja na mkitaka kujua tukubaliane kufanya matumizi ya billion 3 tu kwa msimu huu kutoka kwenye pesa ZA mkataba ya azam na Mo ndio utajua kwamba mnajitekenya na kucheka wenyewe.
 
Hata akijitokeza mshanajr timu ikaanza kupata matokeo....hatutaona Shida kumwachia.
Sio Kila siku mnan'gang'ania timu ya wananchi halafu mnakimbiza mikia
 
Habari Wana michezo poleni wanachama wenye team yenu sababu mnaponzwa na mashabiki Kwan wao wanacho taka ni furaha tu

Leo Mo katangaza kuweka Ile B20 ya hisa 49 kitu ambacho asinge fanya kama yanga wasinge Pata dili nono Tena Mara mbil ya pesa anayo Lipa Mo-Dewji kwa kumiliki hisa 49 milele uku yanga wao wakiuza haki za matangazo kwa miaka 10 tu

Kwanini nasema Mo ilikua lazima aweke izi fedha ni sababu kaogopa kununua Muda kwani Simba fukuto lilikua kimesha Anza la Wana simba Kuanza kuonesha Dalili ya kumkataa ki Aina

Pia habar za chini kwa chin zina Sema kua Mo alimtumia Babra C. E. O kuandika pesa zote wanazo chukua kwa Moo kua Simba wanakopa na Mo Leo Atazikata izo hela Ambazo inasadikika ni B7 ivyo moo Leo B13 ndiomana kaanza kwa kujihami kua kwenye simba amesha tumia Zaidi ya B21 kwenye kuendesha team

Ili yoyote atae taka kukanusha ili atuoneshe risit ya B20 kama itawekwa Leo?

Pia kumbe FCC mwanzo waligoma sababu Mo alitaka kila kitu cha simba kuanzia wachezaj wafanyakaz wawe chini ya Moo company na sio chini ya simba na kwa Hali io mtu yeyote atakae kua simba ajue kua yuko kasjiriwa na Mo ndiomana hata Haji Manara kafukuzwa simba yote sababu ya yeye kujitoa kuwa mfanyakaz wa Mo na kuwa mfanyakazi wa Simba.

Ndio maana Manara alikua anafanya matangazo ya bidhaa tofaut na za Mo ila Mo hakutaka, yeye alitaka Manara asaini mkataba wake ambao hatofanya kazi tofauti na Mo Dewji company
Hicho ndicho kikomo cha akili zako na upeo wa kufikiria kwako.
 
Back
Top Bottom