ilidondokea mdomoni tu,. mimba, inawezekana?

Kidzogolae

Senior Member
Apr 20, 2008
133
2
Hivi, inawezekana kuwa, mtu akapata mimba wakati mbegu zilikuwa zinaenda polepole sana? yaani ni hivi, mimi ni mwanaume, nilikuwa nafanya ngono na msichana fulani hivi. nilikuwa sihitaji nimpe mimba. wakati nataka kuijaculate, nilitoa nje ili imwagikie nje. nilihisi mbegu zangu haziendi kwa kazi, na zilikua chache sana kwasababu jana yake nilikuwa ktk mchezo huohuo kwa mziki mkubwa sana mara nyingi. hivyo nilijua kuwa nimeondoka bila kumtia mimba. cha ajabu, kwa siku zilezile, nilikuja kuambiwa na yule dada kuwa nimemtia mimba. naomba kuuliza. sitaki kama ni mimba yangu niitelekeze kwani nitakuwa nimetelekeza mtoto wangu.

hivi, mimba huweza kutungwa, hata kama mbegu haikuwa kwenye speed?yaani kadogo tu kalidondokea mlangoni wala si ndani? ni speed gani ya mbegu inahitajika kuifikia fallopian tube? hata kaspid kadogo tu? nisaidieni hapo jamani.
 
Kama ulifanya mapenzi na huyo demu akiwa kwenye siku zake za kupata ujauzito, na tena hukutumia condom. Sasa kwanini uanze kuhisi mimba si yakoooo.

Hata ukihsauriwa haibadilishi kulichotokea. Mimba ni yako lea mama na mtoto Fullystop
 
zilikuwa kwenye speed ndogo sana. siamini kama mbegu zile zitakuwa hata ziliogelea hadi kufika kule. nilikuwa nimechoka jana yake nilikuwa kwenye mzigo mwingine. kwani speed kwa kawaida huwa ni ipi jamani nyie madaktari?nisaidieni ili nisitupe kiumbe.
 
Hivi, inawezekana kuwa, mtu akapata mimba wakati mbegu zilikuwa zinaenda polepole sana? yaani ni hivi, mimi ni mwanaume, nilikuwa nafanya ngono na msichana fulani hivi. nilikuwa sihitaji nimpe mimba. wakati nataka kuijaculate, nilitoa nje ili imwagikie nje. nilihisi mbegu zangu haziendi kwa kazi, na zilikua chache sana kwasababu jana yake nilikuwa ktk mchezo huohuo kwa mziki mkubwa sana mara nyingi. hivyo nilijua kuwa nimeondoka bila kumtia mimba. cha ajabu, kwa siku zilezile, nilikuja kuambiwa na yule dada kuwa nimemtia mimba. naomba kuuliza. sitaki kama ni mimba yangu niitelekeze kwani nitakuwa nimetelekeza mtoto wangu.

hivi, mimba huweza kutungwa, hata kama mbegu haikuwa kwenye speed?yaani kadogo tu kalidondokea mlangoni wala si ndani? ni speed gani ya mbegu inahitajika kuifikia fallopian tube? hata kaspid kadogo tu? nisaidieni hapo jamani.

lea hiyo mimba, hayo maswali mengine ni magumu kwa sasa kwa hiyo subiri mtoto akizaliwa mkafanye dna test pale kwa mkemia mkuu ili kujua mbivu na mbichi. Hauna hasara kulea mimba ambayo si yako kama hasara utayoipata ukiacha kulea mimba then kumbe ni ya kwako. Kama hatakuwa mimba yako hauna maumivu kwa vile ni hata wewe sio mwaminifu yaelekea unaendekeza sana hako kamchezo siku mbili wanawake wawili tofauti, kwa hiyo kwa mwaka unakuwa na wanawake wangapi?
 
zilikuwa kwenye speed ndogo sana. siamini kama mbegu zile zitakuwa hata ziliogelea hadi kufika kule. nilikuwa nimechoka jana yake nilikuwa kwenye mzigo mwingine. kwani speed kwa kawaida huwa ni ipi jamani nyie madaktari?nisaidieni ili nisitupe kiumbe.


Mkuu, mbegu za kiume huweza kubarizi eneo hilo la tukio kwa masaa yasiyopungua 72. Na ni kitendo cha sekunde tu cha moja ya mbegu hizo kuonana na yai la kike ndio kinaanzisha uhai wa kiumbe kingine na roho (kidini) inakuwa imeumbwa.

Sasa usijidanganye na ooh nilitoa nje au oooh sijui speed ndogo, ama!

Hili ni suala la miundombinu na hapa mbegu zinakuwa zikisafiri kwa zikijua wewe umezituma sasa nenda kamuone daktari na atakuelezea kwa undani zaidi.

Ila mtoto anaundwa mara pale mbegu mojawapo inapofanikiwa kuingia ndani ya yai la kike within 72hours, kwa hio jiandae kuwa baba mkuu halafu inabidi umuoe huyo msichana.
 
Yeah,mbegu za kiume kudondoka tu mlangoni kuna uwezekano mkubwa wa kupata mimba.Pia hiyo njia mliyotumia ni mbovu sana kwani kama mtu yupo kwenye siku zake yai linakua very sensitive sana.Maanake katika cromosomes xy chromosome y husafiri haraka sana kuelekea kwenye yai,pia majimaji ambayo hutoka katika uume sometimes unakuwa na sperms ambzo huweza kusababisha mimba.

Pia mkuu ni bora utumie njia ya kisasa kufanya DNA test baada ya mtoto kuzaliwa.
 
zilikuwa kwenye speed ndogo sana. siamini kama mbegu zile zitakuwa hata ziliogelea hadi kufika kule. nilikuwa nimechoka jana yake nilikuwa kwenye mzigo mwingine. kwani speed kwa kawaida huwa ni ipi jamani nyie madaktari?nisaidieni ili nisitupe kiumbe.

Mimi ngoja niseme tu hivi kati yako na huyo binti: Hongera Zenu Kwa Ku-Conceive !!!!!!!!


....na baada ya miezi 9 subirieni majibu ya mkemia mkuu mkisha pima dna.
 
Hivi, inawezekana kuwa, mtu akapata mimba wakati mbegu zilikuwa zinaenda polepole sana? yaani ni hivi, mimi ni mwanaume, nilikuwa nafanya ngono na msichana fulani hivi. nilikuwa sihitaji nimpe mimba. wakati nataka kuijaculate, nilitoa nje ili imwagikie nje. nilihisi mbegu zangu haziendi kwa kazi, na zilikua chache sana kwasababu jana yake nilikuwa ktk mchezo huohuo...

jinsi unavyofanya tendo la ndoa mara nyingi ndio unavyoongeza ubora wa mbegu (AKA "spermatozoa")!

hivi, mimba huweza kutungwa, hata kama mbegu haikuwa kwenye speed?yaani kadogo tu kalidondokea mlangoni wala si ndani? ni speed gani ya mbegu inahitajika kuifikia fallopian tube? hata kaspid kadogo tu? nisaidieni hapo jamani.

Mbegu ("Spermatozoa") zinaweza kuendelea kubakia 'hai' kwenye uke wa mwanamke hata kufikia masaa 72 baada ya tendo la ndoa !

Next time tumia Condom, kinyume na hapo ni hatari kwa Uzazi wa Mpango na UKIMWI!
 
zilikuwa kwenye speed ndogo sana. siamini kama mbegu zile zitakuwa hata ziliogelea hadi kufika kule. nilikuwa nimechoka jana yake nilikuwa kwenye mzigo mwingine. kwani speed kwa kawaida huwa ni ipi jamani nyie madaktari?nisaidieni ili nisitupe kiumbe.

Ustake ncheke mie! Ulipima hiyo spidi? Hii wala haihitaji kuwa daktari kujua jibu, ni kwamba hizo "mbegu" kama unavyoziita kwa mujibu wa vitabu vya bayolojia huwa zina uwezo wa kutembea zenyewe, hazitegemei "kurushwa" na mtambo wako kama risasi inavyotoka kwenye mtutu wa bunduki! Zenyewe ni chembe hai zenye sifa zote za chembe hai ikiwemo movement, kwa hiyo zatembea hizo mwanangu! Hata "ukiziegesha" mlangoni tu zinaogelea zenyewe kuelekea kunakohusika!
 
ebwana kabla sijasahau,,ukapime na UKIMWI ili ujue afya yako maana inaonekana hufanyi ngono salama,,,
 
Jamani, duh, majibu yenu mara nyingi naona hayaendani. basi, naombeni muwaelimishe na wengine walioko humu ndani. asante.
 
Hivi, inawezekana kuwa, mtu akapata mimba wakati mbegu zilikuwa zinaenda polepole sana? yaani ni hivi, mimi ni mwanaume, nilikuwa nafanya ngono na msichana fulani hivi. nilikuwa sihitaji nimpe mimba. wakati nataka kuijaculate, nilitoa nje ili imwagikie nje. nilihisi mbegu zangu haziendi kwa kazi, na zilikua chache sana kwasababu jana yake nilikuwa ktk mchezo huohuo kwa mziki mkubwa sana mara nyingi. hivyo nilijua kuwa nimeondoka bila kumtia mimba. cha ajabu, kwa siku zilezile, nilikuja kuambiwa na yule dada kuwa nimemtia mimba. naomba kuuliza. sitaki kama ni mimba yangu niitelekeze kwani nitakuwa nimetelekeza mtoto wangu.

hivi, mimba huweza kutungwa, hata kama mbegu haikuwa kwenye speed?yaani kadogo tu kalidondokea mlangoni wala si ndani? ni speed gani ya mbegu inahitajika kuifikia fallopian tube? hata kaspid kadogo tu? nisaidieni hapo jamani.

Tatizo hapo naliona kinyume sana inaelekea huyu Bw hamtaki yule binti. Nitoe mfano ambao jibu lake atatakiwa ajibu yeye mwenyewe, chukulia huyo binti angekuwa ni Binti Mfalme na kwa bahati huyu binti kampenda sana jamaa, wanakuja kufanya ngono kama alivyoelezea na baada ya muda yule Binti anafika nyumbani kwa jamaa na baada ya kijitafrija anamweleza sababu hasa ya kwenda pale kwamba anaujauzito wake. Jibu unalo kwani si rahisi katika hali ya kawaida ukaweza kukwepa kutundika mimba just kwa kuchomoa na ke-spray nje lazima kuna minutes ndogo zilivutwa na yule binti. Hapo huhitaji DNA.
 
zilikuwa kwenye speed ndogo sana. siamini kama mbegu zile zitakuwa hata ziliogelea hadi kufika kule. nilikuwa nimechoka jana yake nilikuwa kwenye mzigo mwingine. kwani speed kwa kawaida huwa ni ipi jamani nyie madaktari?nisaidieni ili nisitupe kiumbe.
Kwa nini ufanye ngono hujaoa? Inaonyesha wewe si mwaminifu na pia kuhusu suala la mbegu kusafiri halitokani na kani uliyotumia.

Labda kwa kukuelewesha juu ya mbegu ni kuwa huwa zinasafiri kwa kutegemea maji maji ndani ya uke. Kwa hiyo hata ungetumia compressor kusukuma haziwezi kusababisha kutunga mimba kama hali ya kuruhusu kubeba mimba haipo ndani ya uke.
Swala la mbegu za kiume kusafiri hazitegemei nguvu za kusukuma bali zinategemea uhai wake na mazingira zinayokuwa zimeachwa. Kwa hiyo hata kama ungeziacha kwenye mashavu lakini kuna maji ambamo zinaweza kuogelea zinaweza kulifikia yai na kusababisha uja uzito.

Cha Muhimu Acha Ngono!!
 
Infact hizo mbegu zina uhai hata wa siku 3-5. na mambo ya kudondokea mlangoni hiyo ni consolation hata uzifutie kwenya taulo na binti ajipanguzie nayo hiyo taulo, kama yai liko tayari zitajikokota tu hadi zifikie yai, mambo ya speedi hayo nayo yamenichekesha sana!!

tulia kaka ungoje mwanao!!! natumia mpira next time, usijitie vikuli vya moyo bure!!! kila jambo lina consequences!so u have to live with the consequences!
 
Sperms zilikuwa kwenye speed ndogo ngapi?? 20 au 40 kwa saa??? acha utani wewe!! imo hiyo. Unakuwa worried na mimba? Ngoma vipi au umeamua kujitoa muhanga mkuu?? Teh! teh! teh!
 
Jamani, duh, majibu yenu mara nyingi naona hayaendani. basi, naombeni muwaelimishe na wengine walioko humu ndani. asante.

...braza, saa nyingine inabidi ukubali tu mkuu, swali umeuliza na majibu yake ndiyo hayooo... au ulitegemea vinginevyo?! Naona umeona upande wa pili wa wanaJF usio kuwa wa huruma.... pls be willing to accept criticism..

Tatizo hapo naliona kinyume sana inaelekea huyu Bw hamtaki yule binti. Nitoe mfano ambao jibu lake atatakiwa ajibu yeye mwenyewe, chukulia huyo binti angekuwa ni Binti Mfalme na kwa bahati huyu binti kampenda sana jamaa, wanakuja kufanya ngono kama alivyoelezea na baada ya muda yule Binti anafika nyumbani kwa jamaa na baada ya kijitafrija anamweleza sababu hasa ya kwenda pale kwamba anaujauzito wake. Jibu unalo kwani si rahisi katika hali ya kawaida ukaweza kukwepa kutundika mimba just kwa kuchomoa na ke-spray nje lazima kuna minutes ndogo zilivutwa na yule binti. Hapo huhitaji DNA.

...Bubu, huwezi jua... unaweza kuta huyo binti ni binti wa mfalme lakini kijana akawa mtoto wa mfalme wa wafalme!!

Wanaume wa aina hii wananiboa to say the least
.... pole sana Kamtu, ni miongoni mwa wanajamii wetu, hatuwezi kuwatelekeza.... tujitahidi kuwaelimisha tu...

Kwa nini ufanye ngono hujaoa? Inaonyesha wewe si mwaminifu na pia kuhusu suala la mbegu kusafiri halitokani na kani uliyotumia.

Labda kwa kukuelewesha juu ya mbegu ni kuwa huwa zinasafiri kwa kutegemea maji maji ndani ya uke. Kwa hiyo hata ungetumia compressor kusukuma haziwezi kusababisha kutunga mimba kama hali ya kuruhusu kubeba mimba haipo ndani ya uke.
Swala la mbegu za kiume kusafiri hazitegemei nguvu za kusukuma bali zinategemea uhai wake na mazingira zinayokuwa zimeachwa. Kwa hiyo hata kama ungeziacha kwenye mashavu lakini kuna maji ambamo zinaweza kuogelea zinaweza kulifikia yai na kusababisha uja uzito.

Cha Muhimu Acha Ngono!!
Lugali, hivi wapi naweza kupata hiyo compressor?!!!!!!! :) :D

Infact hizo mbegu zina uhai hata wa siku 3-5. na mambo ya kudondokea mlangoni hiyo ni consolation hata uzifutie kwenya taulo na binti ajipanguzie nayo hiyo taulo, kama yai liko tayari zitajikokota tu hadi zifikie yai, mambo ya speedi hayo nayo yamenichekesha sana!!

tulia kaka ungoje mwanao!!! natumia mpira next time, usijitie vikuli vya moyo bure!!! kila jambo lina consequences!so u have to live with the consequences!
....Shishi, hivi stori hizi za mambo ya taulo huwa kweli?!!..... naona nazidi kukutana nazo... any recent tale pls?!.... anyway, with regard to this case - your signature says it all!!!! lol
 
...braza, saa nyingine inabidi ukubali tu mkuu, swali umeuliza na majibu yake ndiyo hayooo... au ulitegemea vinginevyo?! Naona umeona upande wa pili wa wanaJF usio kuwa wa huruma.... pls be willing to accept criticism..



....Shishi, hivi stori hizi za mambo ya taulo huwa kweli?!!..... naona nazidi kukutana nazo... any recent tale pls?!.... anyway, with regard to this case - your signature says it all!!!! lol

steve D, ni kweli kabisa mambo ya taulo, nina rafiki yangu mmoja yalimfika, walikuwa wameoana lakini hawakuwa na mpango wa mtoto, so ikatokea hivo, jamaa kananiii kwenye taulo naye binti katumia ileile taulo kujifutia, mimba bap!

yaani bora hizo mbegu zifikie kwenye uke, unyevu ulioko zitasurvive na kuogelea, remember they are microsopic and they need a very thin film of moisture to survive.
 
Labda umekuwa Boris Becker? Lol

Boris becker

Hivi vinjemba usivichezeege mwanawane

04-sperm-430.jpg


havina adabu!
 
steve D, ni kweli kabisa mambo ya taulo, nina rafiki yangu mmoja yalimfika, walikuwa wameoana lakini hawakuwa na mpango wa mtoto, so ikatokea hivo, jamaa kananiii kwenye taulo naye binti katumia ileile taulo kujifutia, mimba bap!

yaani bora hizo mbegu zifikie kwenye uke, unyevu ulioko zitasurvive na kuogelea, remember they are microsopic and they need a very thin film of moisture to survive.

eti na watoto wanaopatikana kwa njia hizi most of the wanakuwa ni strong, fighters, survivors na characters za hivyo (kwa mimba zinazotunga baada ya masaa 48 baada ya mbegu ya kiume kuingia ukeni). BTW maximum survival duration ya mbegu ya kuime ni masaa 72 wakati mbegu yai linatakiwa liwe fertilised masaa 24 baada ya kupevuka.
 
Back
Top Bottom