Ilichokifanya Yanga jana ni dhambi kubwa

Nas Mapesa

JF-Expert Member
Jul 31, 2014
5,247
5,315
Kwa kweli kila nikisema ninyamaze roho inakataa,nimeona nisikae na kitu kikaniuma,imeniuma sana,imenisikitisha sana,hakika yanga wanastahili adhabu kali sana,watu gani hawana huruma nabinadam wenzao?roho mbaya hii wameitoa wapi?wameanza lini kula vitu kwa pupa?kwa lile gharika la jana ambalo pengine halikuwahi kutokea kwa nchi yetu karne za karibuni sitashaghaa yanga wakilamba adhabu kali.
 
Nilitamani yule jamaa wa kufuta matokeo angeyafuta na yale maana tulikuwa kwenye zone yake kiutawala. Yanga wana roho mbaya sana ila zile ni salamu tu kwa wale wanaojidai wao ndio wanajua soka then wanajifunga wenyewe.
hahahaha mkuu unaua
 
Kwa kweli kila nikisema ninyamaze roho inakataa,nimeona nisikae na kitu kikaniuma,imeniuma sana,imenisikitisha sana,hakika yanga wanastahili adhabu kali sana,watu gani hawana huruma nabinadam wenzao?roho mbaya hii wameitoa wapi?wameanza lini kula vitu kwa pupa?kwa lile gharika la jana ambalo pengine halikuwahi kutokea kwa nchi yetu karne za karibuni sitashaghaa yanga wakilamba adhabu kali.
Hapakuwa na namna, acha wachapwe tu, wale JKU walitufanya kitu mbaya sana kwenye mechi ya kirafiki, ikaaminika kwamba Yanga si lolote wala chochote kwa timu za Zanzibar. Baada ya kurejesha heshima sasa Yanga wapunguze 'nakos' watawaua wasela!!!
 
Jecha kafanya yake,matokeo ya Yanga 6 Jamuhuri 0,yamefutwa maana Yanga,aka wa kimataifa walichezesha mchezaji mwenye mimelea vya Kibrazil.
 
Nawasiwasi mtani anaweza kusingizia ugonjwa siku tukiwa na mechi nao au asiingize timu uwanjani.

Lile shuti na Mahadhi lilikua balaa nasikia anadaiwa pesa kwa kuchana nyavu za watu..
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom