The Big Thing
JF-Expert Member
- May 16, 2017
- 238
- 130
kwa hiyo unahalalisha watanzania kuibiwa na waungu?Tutawekewa vikwazo hawataamini hawa waunda kanuni na kuzikataa kwa wabunge wao ccm
kwa hiyo unahalalisha watanzania kuibiwa na waungu?Tutawekewa vikwazo hawataamini hawa waunda kanuni na kuzikataa kwa wabunge wao ccm
Mmemshindwa wema yupo hapahapa lisu roma mtwaweza wamarekaniHawa waamerika ktk maslahi yao hawana urafiki wala ubinadamu na wana mbinu nyingi za kulipiza kisasi na si ajabu wakaanzisha hata vikundi vya kigaidi ili kuiyumbisha serikali,,,,,,,,Ya Allah tuepushie hiyo zahma kwa kifupi magufuli yuko sawa na anachopigania ni haki ....Conclusively,Allah ndo mpangaji wa yote naamini Tanzania tutawashinda wamarekani ktk hili
Kuna wananchi wamenyanyaswa ktk nchi yao hii kisa kinajulikana lakini wameuawa nashangaa mbunge ameongea na hakuna aliemsikiliza.Hivi ni nini kinachotushinda?
Wawekezaji wanathamani zaidi ya wazawa.
Kwa tanzania ni heri mwananchi anyang'anywe mali yake e.g ardhi ili mwekezaji apewe huku hamna faida ya maana ambayo nchi inapata.
WEWE NDIO MWENYE ARGUMENT YA KITOTO KWA KUWA ANAWAONA WATANZANIA MILIONI 50 Hawana Akili - Wewe Uliye Jaaliwa Akili Zimeisaidia Nini Nchi Yako Katika Nyanja za Utafiti wa Kisayansi na Kimaendeleo????? Arrogance ni Kitu Kibaya Sana Katika MaishaArgument ya kitoto hii . .
Tazama unavyodhihirisha UTOTO wako hapa . . ,WEWE NDIO MWENYE ARGUMENT YA KITOTO KWA KUWA ANAWAONA WATANZANIA MILIONI 50 Hawana Akili - Wewe Uliye Jaaliwa Akili Zimeisaidia Nini Nchi Yako Katika Nyanja za Utafiti wa Kisayansi na Kimaendeleo????? Arrogance ni Kitu Kibaya Sana Katika Maisha
Huu uzi si mgumu kuuelewa maana aliyeuleta hajui kabisa historia ya matatizo ya Zimbabwe kama wewe unayemsupport.
Hivyo ni bora kuwaachi ninyi wawili msijua nini mnachikisema mjipatie sifa kivyenu..
jibril beder kitu ambacho hukijui hutaweza kukijua mpk ujulishwe na mwenyekujua.....kuwa mzalendo jivunie utanzania wako
Isiishie kuchunguzwa na kurekebishwa tu,hata watanzania waliotufikisha hapa wawajibishwe ili kuwe na muendelezo wa kuheshimu vilivyo vya watanzania. Wanajulikana waliotufikisha hapa kama tuna nia ya dhati kushughulika na hiliBinafsi kwa hili la kuchunguza mikataba mibovu na kuirekebisha hata ikibidi kutumia nguvu naiunga mkono serikali.
Huu ni utekelezaji wa vilio vya wananchi miaka nenda miaka rudi kwamba mali zetu zinaibwa mchana kweupe, cha ajabu mnakuja wengine kuiponda serikali aiseee mmmmh!
Nenda kafanye research nzuri ili uandike ukweli kuliko kutisha watu.Mkuu mbona hukuandika chochote ambacho unakijua wewe tofauti na nilichokieleza kuhusu huu uzi??
Nitajie hao wasiofumba macho 24hrs TZ hiishinyangakwetu Nachukia sana ujinga kama huo uliopost.....kuna watu 24hours hawafumbi macho mda wote wanahangaika kuhakikisha usalama wetu inakuaje unatAka jua liwe mwezi kisa waogopa moto
Nitajie hao wasiofumba macho 24hrs TZ hii
Yaani chama kilichokufa chadem mnajitekenya na kucheka wenyewe. Hili suala hamtashinda, kama ilivyokuwa kipjndi cha uchaguzi, you'll never win.Akili za Watanzania waliowengi ni kama bendera huwa wanafata upepo tu, hakuna tofauti ya wasomi wala wauza karanga mitaani. Kwa hurka hii mbaya sioni kama kuna siku tutanasuka kwenye hili tope zito la umbumbu. Nchi ikishakosa utofauti wa uelewa ni ishara tosha kuwa kuna shida.
Sijaelewa bado kama tatizo ni siasa au elimu, ujinga au uvivu, serikali au mazingira. Kwanini idadi ya watu kuwa wapumbavu inaongezeka siku hadi siku?
Ila hala hala kiangazi kinakuja na tope linaanza kukauka hivyo nasema tukiendelea hivi hatapona mtu.Wenye macho na waone na wenye masikio wasikie kama taifa tuko kwenye hali mbaya
Some problems are so complex that you have to be highly intelligent and well-informed just to be undecided about them.
Wameishiwa pumzi wamehamia KUPINGA NA UCHOCHEZI" Upinzani wa nchi hii, ukiongozwa na chadema wameleta mshituko mkubwa kwa wananchi baada ya kuanza kupinga maendeleo ya wananchi!!
Tangu kuanza kwa awamu ya Tano, imeonekana kasi ya Rais Magufuli imewaacha mbali mno wapinzani kiasi kwamba hata waliyoahidi kuyatatua leo wanayapinga!!!
;Chadema ya leo wanapinga ;Elimu bure
;Ujenzi flyover
;Ununuzi wa ndege
;Ujenzi wa reli
Bei ya zao lá korosho kupanda
;Serikali kuhamia Dodoma
;Wakwepa kodi kufukuzw
;Wauza madawa ya kulevya kukamatwa. Hali hii imewaacha njia panda wananchi wasijue wapinzani wa nchi hii hasa wanasimamia nini.
Labda leo tuwaulize, nyie wapinzani uchwara wa nchi hii kwenu neno maendeleo huwa mnaelewaje??