Ilianza Zimbabwe sasa Tanzania inafuatia

Donald trump ameshasema hatotoa msaada kwa waafrika.tujitegemee
Na kama unavyojua.mali ya mwafrika ni madini n.k.
Tumeanza kujitegemea.

Kama tangu mwaka 1997 hadi leo "tunapigwa" tu kwa sababu ujinga na upumbavu wa wanafiki wa CCM ambao ndiyo waliosaini mikataba hii, basi nayo ni maendeleo.....

Maendeleo ni kuendelea mbele na si kurudi nyuma, mlisaini mikataba inayolindwa na sheria za kimataifa....hakuna kurudi endeleeni kugonga mbele (maendeleo), na mkijifanya mnaleta za kuleta, hakyanani vile Mtanyolewa bila kutia maji !!!
 
Nimeshangaa Mleta maada anaona Kiwango cha chini kwa mtu anyefikiri (mpumbavu) ni Sawa na Muuza Karanga Girl show some respect!

Kuwa Chadema haimaanishi unakua na akili ndogo Kiasi hiki.


Hivi kwanini mnataka tuwe sawa kwenye kufikiri?. Na kwanini kila mwenye mawazo tofauti ni Chadema?

Sitaongelea mtembeza karanga barabarani naamini ukifiri tena unaweza kubadili mchango wako
 
Akili za Watanzania waliowengi ni kama bendera huwa wanafata upepo tu, hakuna tofauti ya wasomi wala wauza karanga mitaani. Kwa hurka hii mbaya sioni kama kuna siku tutanasuka kwenye hili tope zito la umbumbu. Nchi ikishakosa utofauti wa uelewa ni ishara tosha kuwa kuna shida.

Sijaelewa bado kama tatizo ni siasa au elimu, ujinga au uvivu, serikali au mazingira. Kwanini idadi ya watu kuwa wapumbavu inaongezeka siku hadi siku?

Ila hala hala kiangazi kinakuja na tope linaanza kukauka hivyo nasema tukiendelea hivi hatapona mtu.Wenye macho na waone na wenye masikio wasikie kama taifa tuko kwenye hali mbaya

Some problems are so complex that you have to be highly intelligent and well-informed just to be undecided about them.

Ni vyema ukaweka mazingira ya point yako na mifano ili hoja yako ieleweke. Halafu uweke pia maana ya concepts ulizotumia kama 'upumbavu'.

Halafu kama wewe ni mwelevu, mbona bado huelewi sababu ya tatizo unaloliongelea even theoretically?
 
Ni vyema ukaweka mazingira ya point yako na mifano ili hoja yako ieleweke. Halafu uweke pia maana ya concepts ulizotumia kama 'upumbavu'.

Halafu kama wewe ni mwelevu, mbona bado huelewi sababu ya tatizo unaloliongelea even theoretically?


Tuliza kichwa soma vizuri tena na tena utaelewa tu, ukishindwa kabisa muda utakuelewesha.
 
Kama tangu mwaka 1997 hadi leo "tunapigwa" tu kwa sababu ujinga na upumbavu wa wanafiki wa CCM ambao ndiyo waliosaini mikataba hii, basi nayo ni maendeleo.....

Maendeleo ni kuendelea mbele na si kurudi nyuma, mlisaini mikataba inayolindwa na sheria za kimataifa....hakuna kurudi endeleeni kugonga mbele (maendeleo), na mkijifanya mnaleta za kuleta, hakyanani vile Mtanyolewa bila kutia maji !!!
TUMEAMUA TUPO PAMOJA NA RAIS.NA TUNAAMINI TUTASHINDA.
 
Akili za Watanzania waliowengi ni kama bendera huwa wanafata upepo tu, hakuna tofauti ya wasomi wala wauza karanga mitaani. Kwa hurka hii mbaya sioni kama kuna siku tutanasuka kwenye hili tope zito la umbumbu. Nchi ikishakosa utofauti wa uelewa ni ishara tosha kuwa kuna shida.

Sijaelewa bado kama tatizo ni siasa au elimu, ujinga au uvivu, serikali au mazingira. Kwanini idadi ya watu kuwa wapumbavu inaongezeka siku hadi siku?

Ila hala hala kiangazi kinakuja na tope linaanza kukauka hivyo nasema tukiendelea hivi hatapona mtu.Wenye macho na waone na wenye masikio wasikie kama taifa tuko kwenye hali mbaya

Some problems are so complex that you have to be highly intelligent and well-informed just to be undecided about them.
Mr Whiteman we are sorry please hit us again.... atleast usituwekee vikwazo kama Zimbabwe... jichukuliage tu kila kitu.. kwanza hata sisi wenyewe tulivikuta ardhini kwa bahati mbaya.. Kweli kwa akili hizi Magu anakazi
 
Ukiwa kibaraka wa wazungu utahangaika sana. Baba Magufuli kanyaga twende. Tuko pamoja daima
Mwenzio Mugabe alisema hivyo, sasa hivi watu wake wanalia na uchumi uliokuwa wapili Afrika leo ni zero. Jifunze toka Malysia, Thailand na Singapore. Maendeleo yao ya viwanda, hawakujenga wenyewe, kwanza waliinvest kwenye alimu bora, wakakaribisha wawekezaji na wakawapa masharti rafiki. Baada ya miaka kumi ya uhuru, hizo nchi zilikuwa mara 10 mbele ya Tanzania sababu tuliharibu maendeleo yetu kwa kuanzisha siasa ya ujamaa bila maandalizi.
Huwezi kuwa na investor anayevolunteer, inabidi apate faida na hali nzuri ya uwekezaji na attitude. Utoke na hizi shule zetu za kata, walimu wawili shule nzima masomo 9 halafu useme tumejitosheleza? Mtajiju mi simo.
 
Hao wawekezaji tumewakaribisha wenyewe na kuwawekea red carpet. Tusisogeze lawama kwa wengine sisi ndio tumekosea tukiongozwa na waliofanya maamuzi kwa maslahi yao binafsi.

Wawekezaji ni maadui wa maendeleo wa nchi hii, wanatuibia, waondolewe kila kitu tutafanya wenyewe.
 
Mwenzio Mugabe alisema hivyo, sasa hivi watu wake wanalia na uchumi uliokuwa wapili Afrika leo ni zero. Jifunze toka Malysia, Thailand na Singapore. Maendeleo yao ya viwanda, hawakujenga wenyewe, kwanza waliinvest kwenye alimu bora, wakakaribisha wawekezaji na wakawapa masharti rafiki. Baada ya miaka kumi ya uhuru, hizo nchi zilikuwa mara 10 mbele ya Tanzania sababu tuliharibu maendeleo yetu kwa kuanzisha siasa ya ujamaa bila maandalizi.
Huwezi kuwa na investor anayevolunteer, inabidi apate faida na hali nzuri ya uwekezaji na attitude. Utoke na hizi shule zetu za kata, walimu wawili shule nzima masomo 9 halafu useme tumejitosheleza? Mtajiju mi simo.
Nationalization II
Lazima ipo siku itawekwa kwenye vitabu vya uchumi hii saga. Safi sana JPM,
 
Hahaha, eti tunaamini umaskini wetu unatokana na wazungu. Ilhali tunafanya makosa ya waziwazi wenyewe. Dunia ya leo unasema kuwa Waziri, Mbunge, Mkuu wa Mkoa au Wilaya inahitajika kujua kusoma na kuandika tu. Kisha tukishindwa kutatua changamoto kubwa za kimaendeleo, tunawalaumu wazungu. Haiwezekani. Ukweli unabaki kuwa akili zetu hazijawa tayari kujiletea maendeleo.
Fikra pevu
 
Wawekezaji ni maadui wa maendeleo wa nchi hii, wanatuibia, waondolewe kila kitu tutafanya wenyewe.
Tulitaifisha Viwanda na Mashamba ya wawekezaji enzi ya Mwalimu. As a result Yale Mashamba ni mbuga za kuchunga mifugo, Viwanda kama Tanganyika Packers cha Kawe ni pa kujenga mji wa kisasa kiwanda kilitushinda, Sunguratex, Musomatex, Voil list goes on. General tyre, Maziwa Ubungo na Arusha. Si sawa kuondoa Investors ni kujitia Umaskini!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom