Ilianza kwa kujiita serikali ya Magufuli, baada ya kuboronga imekuwa serikali ya CCM

Zero Hours

JF-Expert Member
Apr 1, 2011
12,944
18,652
Baada ya uchaguzi mkuu 2015, tulikuwa na "serikali ya Magufuli". Hii ndyo ilikuwa kauli ya wanasiasa wengi upande wa CCM hasa wale waliokuwa wakijipendekeza kupata vyeo. Na aliyekuwa akiongoza kutoa hii kauli alikuwa ni Mkuu wa mkoa wa Dr ( jina lake sahihi sina uhakika nalo).

Hata magufuli mwenyewe aliita " Serikali yangu".

Hivi sasa hii kauli imegeuka na kuwa serikali ya CCM na si Ya Magufuli au Yangu.

Hii ni baada ya upepo au nguvu za soda kukata au maandalizi ya Uchaguzi 2020.

2020 itakuwa serikali ya Wanyonge, baada ya uchaguzi itakuwa tena serikali ya Magufuli na si ya CCM .



Sent using Jamii Forums mobile app
 
ni serikali ya magufuli , serikali ya Tanzania na serikali ya ccm, vyovyote itakavyoitwa ni sawa
 
Baada ya uchaguzi mkuu 2015, tulikuwa na "serikali ya Magufuli". Hii ndyo ilikuwa kauli ya wanasiasa wengi upande wa CCM hasa wale waliokuwa wakijipendekeza kupata vyeo. Na aliyekuwa akiongoza kutoa hii kauli alikuwa ni Mkuu wa mkoa wa Dr ( jina lake sahihi sina uhakika nalo).

Hata magufuli mwenyewe aliita " Serikali yangu".

Hivi sasa hii kauli imegeuka na kuwa serikali ya CCM na si Ya Magufuli au Yangu.

Hii ni baada ya upepo au nguvu za soda kukata au maandalizi ya Uchaguzi 2020.

Naimani baada ya uchaguzi itakuwa tena serikali ya Magufuli na si ya CCM tena.



Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana. kama mnakumbuka Mh Raisi alipokutana na viongozi wakuu wastaafu kero aliyotoa Mh Mkapa ilihusu kujitanabaisha "Serikali yangu, Serikali ya JPM badala ya Serikali ya CCM" ushauri wa Mkapa utakuwa umefanyiwa kazi

 
Back
Top Bottom