Mackanackyyy
JF-Expert Member
- Mar 26, 2019
- 2,338
- 5,262
Ilianza Kama mzaha na vikaratasi vya Daudi Albert Bashite, the Prince...kuchafua watu kiujumla jumla kuwa wanauza madawa ya kulevya...
Tukajua Mzaha, Sasa ni Kawaida watu kutekwa, kuteswa, kupigwa risasi ama kukatwa mapanga mchana kweupe, kunyongwa shambani huko Kisarawe ama Rufiji...ama kupotezwa kwa Siku kadhaa halaf unakuja kuokotwa Siku ya 5 ukiwa Ofisini kwako Ukiwa uchi wa mnyama, Umekufa na kuoza..
But yote Ilianza na Vikaratasi vya Daudi Albert Bashite kama hiki hapa:
Tukajua Mzaha, Sasa ni Kawaida watu kutekwa, kuteswa, kupigwa risasi ama kukatwa mapanga mchana kweupe, kunyongwa shambani huko Kisarawe ama Rufiji...ama kupotezwa kwa Siku kadhaa halaf unakuja kuokotwa Siku ya 5 ukiwa Ofisini kwako Ukiwa uchi wa mnyama, Umekufa na kuoza..
But yote Ilianza na Vikaratasi vya Daudi Albert Bashite kama hiki hapa: