- Nimejaribu kutafakari Nguvu inayotumika kuujadili, kuulinda huu muungano ni kubwa sana kiasi kwamba hiyo nguvu tukiiamishia sehemu nyingine ya uzalishaji tutasonga mbele
- Kiasili waznz ni watu wa kupiga domo tu, hawa ni watu walalamikaji na wasiopenda kujituma, kila wanachokitaka serikali ya muungano ikiwapa wanaanzisha jingine.ikumbukwe kuwa hawa watu(waznz) walimtesa sana nyerere, na pengine ndio waliomzeesha mapema, tunakumbuka alilazimika mpaka kuwafukuza kwenye chama akina maalim seif na kuwapeleka jela lakini bado ni walalamikaji, wakina abuu jumbe mpaka na leo wanapiga domo tu.
- Waznz ni watu wasiopenda kufanya kazi bali wote wanataka wawe viongozi,wapewe misaada na waarabu au ije serikali ambayo itakuwa inawagawi fedha.
- Wananchi wa Tanganyika wanatumia Muda mwingi sana kufikiria malalamiko hewa ya hawa waznz, kwa ujumla wanatupumzikia na wanataka na sisi tuwe wavivu kama wao.