Msema hovyo
Senior Member
- Jul 3, 2011
- 195
- 86
Hizi ndizo sifa zimfaazo mfuasi na mwanachama wa CCM
1. Kuwa mtumwa wa mawazo (akili ya kushikiwa)
2. Uwe unalamba miguu ya mafisadi
3. Ujifanye kama huoni matatizo ya watanzania (umeme, foleni, huduma mbovu za afya, elimu bora kwa matajiri pekee, inflations, maji dumu sh 1000, mafuta bei juu, gasi bei juu, nauli bei juu huku kipato kikiendelea kushuka, na thamani ya hela ikiendelea kushuka)
4. Uwe mnafiki, ujifunze na uzoee kuwasifia wakubwa wako hata wanapokosea (eti akikukanyaga, mwambia mzee mguu wako upo juu ya kiatu changu)
5. Uwe zezeta, usiyeona wala kujali hali halisi ya nchi
6. uwe mwongo (nitajenga fly over, nitaanzisha dart, nitanunua meli kubwa kama MV bukoba, nitaifanya kigoma kuwa dubai, nitaifanya tanga kuwa mji wa viwanda, tatizo la umeme litakuwa historia nk nk.)
7. Uwe na tamaa ya utajiri na kujilimbikizia mali
8. Uwe tayari kuua watu maskini kwa ajili ya kujipatia mali na kujineemesha wewe binafsi.
na mengine mengi.
1. Kuwa mtumwa wa mawazo (akili ya kushikiwa)
2. Uwe unalamba miguu ya mafisadi
3. Ujifanye kama huoni matatizo ya watanzania (umeme, foleni, huduma mbovu za afya, elimu bora kwa matajiri pekee, inflations, maji dumu sh 1000, mafuta bei juu, gasi bei juu, nauli bei juu huku kipato kikiendelea kushuka, na thamani ya hela ikiendelea kushuka)
4. Uwe mnafiki, ujifunze na uzoee kuwasifia wakubwa wako hata wanapokosea (eti akikukanyaga, mwambia mzee mguu wako upo juu ya kiatu changu)
5. Uwe zezeta, usiyeona wala kujali hali halisi ya nchi
6. uwe mwongo (nitajenga fly over, nitaanzisha dart, nitanunua meli kubwa kama MV bukoba, nitaifanya kigoma kuwa dubai, nitaifanya tanga kuwa mji wa viwanda, tatizo la umeme litakuwa historia nk nk.)
7. Uwe na tamaa ya utajiri na kujilimbikizia mali
8. Uwe tayari kuua watu maskini kwa ajili ya kujipatia mali na kujineemesha wewe binafsi.
na mengine mengi.