Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Soma kwa bidii na upige GPA ya maana, kua smart kuanzia kitaaluma, kijamii etc.
Usisahau kujipendekeza maana GPA ya 3.8+ mnaweza kua zaidi ya mmoja lakini anayetakiwa ni mmoja kubaki chuoni(incase ni tutorial assistant), Kua lecturer lazima uwe na masters degree-PhD,
na undergraduate uwe na GPA sio chini ya 3.8 na masters uwe na kuanzia GPA ya 4.0
Naomba kujua cha kufanya ili uwe lecturer
Yeye anataka awe Lecturer ndo malengo yake mkuu na mafanikio yake katika maisha..........Mwisho wa siku mfukoni je
Nadhani atakua form 6 aliemaliza,Naomba kujua kiwango chako cha elimu
Hapo kwenye red nakataa. Kuna lecturer ni wasenge sana hadi madem wa student wanakaba tena watu wazima kinyama.Soma kwa bidii na upige GPA ya maana, kua smart kuanzia kitaaluma, kijamii etc.
Usisahau kujipendekeza maana GPA ya 3.8+ mnaweza kua zaidi ya mmoja lakini anayetakiwa ni mmoja kubaki chuoni(incase ni tutorial assistant), Kua lecturer lazima uwe na masters degree-PhD,
na undergraduate uwe na GPA sio chini ya 3.8 na masters uwe na kuanzia GPA ya 4.0
Ni mtazamo, maneno yangu sio sheriaHapo kwenye red nakataa. Kuna lecturer ni wasenge sana hadi madem wa student wanakaba tena watu wazima kinyama.
Sio busara hii, malaya wa kiume ni shida sna.
Yes ila kuyaboresha naona ni jambo jema.Ni mtazamo, maneno yangu sio sheria
Nilichokusudia kusema uwe smart kitaaluma na kijamii ni kwamba kijamii uwe na mahusiano mazuri na wenzako na walimu na sio mahusiano ya ngono.Yes ila kuyaboresha naona ni jambo jema.
mbona mkuu lectuer weng ni vitombi? hapo inakaaje?Nilichokusudia kusema uwe smart kitaaluma na kijamii ni kwamba kijamii uwe na mahusiano mazuri na wenzako na walimu na sio mahusiano ya ngono.
Chuoni mitego ya wanawake ni mingi na kibaya zaidi mwanaume unapokua huwezi kuji-control basi utakua malaya wa kimataifa.mbona mkuu lectuer weng ni vitombi? hapo inakaaje?
Hongera kwa kuwa na nia ya kuwa 'Lecturer'.Mathematics
Hahahah safa mkuu iala mipaka ikiwepo basi hamna noma. Tatizo malecturer wanatafuna totoz zetu aisee na kibaya zaid wanatumana kwenye somo wanalofundisha. Wengi wanadisco sababu ya haya mambo.Chuoni mitego ya wanawake ni mingi na kibaya zaidi mwanaume unapokua huwezi kuji-control basi utakua malaya wa kimataifa.
Chuoni kuna watoto wakali mkuu usifanye masihara hata kama wewe ni mwanafunzi unaweza kupotea kabisa kama huna commitment
Basi akazane sana kusomaNadhani atakua form 6 aliemaliza,