Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,857
- 7,614
Kutokana na umuhimu na ushawishi wao kwenye jamii zetu nimejikuta nahitaji msaada kwa wanajamvi, mnieleweshe kwa upole na upendo. Hawa jamaa zetu hupata elimu yao kwenye vyuo vipi hasa?
Kwamfano, madhehebu yote ya kikristo hivi sasa wanavyuo vyao vya kuwafundisha viongozi wao wa dini namna ya kuongoza waumini wao, na wamefika mbali hadi kwenye ngazi ya udaktari wa falsafa. Sasa ndugu zetu wapendwa Waislam wao nao wako hivyo au viongozi wao wanaibuka tu kama uyoga?
Kwamfano, madhehebu yote ya kikristo hivi sasa wanavyuo vyao vya kuwafundisha viongozi wao wa dini namna ya kuongoza waumini wao, na wamefika mbali hadi kwenye ngazi ya udaktari wa falsafa. Sasa ndugu zetu wapendwa Waislam wao nao wako hivyo au viongozi wao wanaibuka tu kama uyoga?