hii njia nimeitumia mara tatu na naona inalipa sana.
1)Kama kweli umekosa kubali kosa, omba msamaha (lazima atakataa na kudai pesa), mwambie akuandikie notification na utalipa hata kama iwe laki moja (huwa wanataja figure kubwa kukutisha
2.)Usianze kubargain, mwache ajikanyage kanyage, akikuambia anakupunguzia makosa mwambie kwa unyenyekevu NASHUKURU LAKINI HAPA SINA HATA SENTI TANO, NIANDIKIE TU NOTIFICATION NITALIPA, akikuuliza utalipa lini mwambie SIKU YEYOTE NDANI YA SIKU SABA LAKINI SIO LEO, KWA SABABU SINA HELA SASA HIVI
hapo askari anajua unaelewa mambo, anakasirika lakini anakuachia fasta!
1)Kama kweli umekosa kubali kosa, omba msamaha (lazima atakataa na kudai pesa), mwambie akuandikie notification na utalipa hata kama iwe laki moja (huwa wanataja figure kubwa kukutisha
2.)Usianze kubargain, mwache ajikanyage kanyage, akikuambia anakupunguzia makosa mwambie kwa unyenyekevu NASHUKURU LAKINI HAPA SINA HATA SENTI TANO, NIANDIKIE TU NOTIFICATION NITALIPA, akikuuliza utalipa lini mwambie SIKU YEYOTE NDANI YA SIKU SABA LAKINI SIO LEO, KWA SABABU SINA HELA SASA HIVI
hapo askari anajua unaelewa mambo, anakasirika lakini anakuachia fasta!