MPUNGA MMOJA
JF-Expert Member
- May 30, 2015
- 304
- 401
Kuhudumia heka 10 ya #mpunga kitaalam kabisa wastani inataka uwe na mtaji wa 10m kwa msimu.
Kilimo ni fedha kilimo ni uwekezaji wa akili na muda.
Usiingie kwenye kilimo cha mpunga kama huna fedha na muda.
N:b Na kukatika mtaji ni jambo la kuweka kichwani.
Kilimo ni fedha kilimo ni uwekezaji wa akili na muda.
Usiingie kwenye kilimo cha mpunga kama huna fedha na muda.
N:b Na kukatika mtaji ni jambo la kuweka kichwani.