Ili tusipate hasara, Serikali ibadilishe Uwanja wa Ndege Chato 75% uwe wa Kijeshi

Ndugai mkubwa wewe, Makongorosi chunya wewe..
we jamaa ni mpumbavu sana. yaani unasapoti Magufuli kwenda kujenga kiwanja cha ndege kwa mabilioni ya wavuja jasho huko porini? sasa zinarudije hizo hela zetu kwa uwekezaji huo wa kipuuzi? si angejenga air strip tu kama zilizopo sehemu mbalimbali nchini ingetosha? common sense tu inakataa kufanya hivyo hata kama alikuwa na mamlaka ya kujenga chochote kwa fedha za umma.
umeshawahi kumsikia mtu anamkosoa magufuli kwa ujenzi wa reli ya SGR? au kazi za tarura huko vijiji? hujiulizi kwa nini? Tumia akili basi kuandika vitu vya maana humu.
 
View attachment 1776112

Kwa heshima na taadhima napenda kuishauri serikali yetu adhimu,ibadirishe matumizi ya uwanja wa ndege chato ili tuepuke hasara itakayo tokana na uwanja huo kutotumika kikamilifu.

Uwanja huu wa kisasa umejengwa huku watanzania wakivutana na kurumbana wengine wakidai umejengwa kisiasa wengine wakisema upo kwenye irani ya chama cha mapinduzi kwa hivyo hakuna makosa, na mengine mengi

CCM answers to opposition on Chato Airport accusations

Mimi si mwana siasa sitaki kusema mengi kuhusu maoni ya wanasiasa hili tuwaachie wanasiasa sisi tuangalie ni nini kifanyike ili uwanja huu uwe wenye manufaa kwa taifa letu.

Kwanza napenda kuwatoa hofu wale wote wanao dhani kuwa uwanja huu baada ya kufariki Rais JP Magufuli basi hauna faida tena kwa kuwa hakuna ndege za kutumia tena uwanja huu, zifuatazo ni faida kadhaa za uwepo wa uwanja huu katika eneo hilo.

Uwanja wa chato upo km 131.26 za anga kwenda uwanja wa ndege Mwanza lakini pia Entebe airport Uganda sio mbali, uwanja huu utafaa zaidi kwa ndege kubwa endapo zitapata dharula ya kutua katika uwanja wa ndege mwanza au hata Entebe, hivyo uwanja ulio karibu zaidi ni Chato kuliko kurejea Dar, Kir au Dom.

Hili halina ubishi liko wazi, na pale Mwanza airport itakapo anza kutumika kikamilifu kimataifa baada ya ujenzi kukamilika an alternative airport in case of emergency ni Chato,hii itakuwa ni sifa ya nyongeza kwa uwanja wa kimataifa Mwanza.

Kwa kuwa watanzania tumezoeshwa kujengewa miundombinu inayofaa kwa wakati uliopo na si miundombinu inayofaa sasa na miaka mingine hamsini mbele, tunaona leo tu peke yake lakini hatuna uthubutu wa kuangalia faida hata ya miaka kumi tu ijayo, kila kitu kina panuka utalii utaongezeka mahitaji kwa ujumla yataongezeka kwa miundo mbinu iliyopo, kwa wale mlio na wasiwasi mnaihukumu Chato airport kwa maono ya miaka mingapi mbele? na ndipo mnapopata jibu la kwamba haina faida?

Kwa mnaojua historia ya nchi yetu mtakumbuka mji wa Mwanza uliwahi kushambuliwa mara kadhaa kwa ndege za kivita toka mataifa jirani mwaka 1972 na kipindi cha vita ya Kagera 1978-1980 kwa misingi ya kutaka kushambulia kikosi chetu imara cha anga kilichopo mwanza, ingawa mara zote majeshi yetu yalifanikiwa kuzidungua ndege za adui, hii inaonyesha kuwa ipo sababu sasa tena ya msingi kukihamisha kikosi cha anga kilichopo mwanza kwenda chato, na hapo kitakuwa kimkakati zaidi kuliko Mwanza.

Tukumbuke lake zone ndio ukanda ulio zungukwa na nchi nyingi kuliko ukanda mwingine wowote ule na mkumbuke jirani au rafiki yako wa leo ndio adui yako wa kesho.

Kwa sasa uwanja wa ndege wa mwanza unatumika kwa madhumuni yote mawili lakini kwa asilimia ndogo za kijeshi na unatambulika kuwa uwanja wa kiraia, kwa Chato iwe tofauti utumike kwa asilimia nyingi kijeshi na chache kiraia, hata kama utajulikana kama uwanja wa kijeshi chato poa tu. Msipoteze muda mpeni mabeyo hicho kiwanja kina mfaa.

Karibuni wenye mawazo ya kuona mbali mchangie katika hili ili kutoa mwanga wa matumizi chanya ya uwanja wa Chato.
Mbona hujasema na hizo hotel za mwendazake zifanyiwe nini? Maanazinageuka magofu muda so mlefu.
 
we jamaa ni mpumbavu sana. yaani unasapoti Magufuli kwenda kujenga kiwanja cha ndege kwa mabilioni ya wavuja jasho huko porini? sasa zinarudije hizo hela zetu kwa uwekezaji huo wa kipuuzi? si angejenga air strip tu kama zilizopo sehemu mbalimbali nchini ingetosha? common sense tu inakataa kufanya hivyo hata kama alikuwa na mamlaka ya kujenga chochote kwa fedha za umma.
umeshawahi kumsikia mtu anamkosoa magufuli kwa ujenzi wa reli ya SGR? au kazi za tarura huko vijiji? hujiulizi kwa nini? Tumia akili basi kuandika vitu vya maana humu.
We jamaa mpumbavu Sana, Kwa sababu hujaelewa nilichoandika hapo, na ndiyo sababu ya wewe kuwa mpumbavu

Nimekuuliza, ni wapi alipovunja katiba? Ni wapi alipokacha makubaliano ya nchi?

Narudia tena, Kwa sababu Taifa letu, kazi ya kipi kifanyike tuliamua jukumu Hilo atende mtu mmoja Kwa nafasi ya Uraisi, JPM Hana kosa,

Mataifa ya watu waliojielewa, kitu kinachotangulia ni mpango wa kitaifa, na sio maono ya Mtu yaani Raisi!!

Kwa kuwa Sisi hatuna mpango mkakati wa kitaifa, ni rahisi Sana hata Kwa Raisi aliyepo, kuamua tangu saa hii, ajenge kiwanja cha mpira hewani na hakuna wa kumzuia!!

Ukitaka tuondokane na mambo yasiyo ya maaana, shinikiza tangu sasa, tuwe na mpango kazi kama Taifa, mpango huo, uelekeze mambo ya kufanya, na Rais awe mtimiza hayo, na sikama ilivyo leo Kwamba kila Raisi akiingia anakuwa na maono yake,
 
View attachment 1776112

Kwa heshima na taadhima napenda kuishauri serikali yetu adhimu,ibadirishe matumizi ya uwanja wa ndege chato ili tuepuke hasara itakayo tokana na uwanja huo kutotumika kikamilifu.

Uwanja huu wa kisasa umejengwa huku watanzania wakivutana na kurumbana wengine wakidai umejengwa kisiasa wengine wakisema upo kwenye irani ya chama cha mapinduzi kwa hivyo hakuna makosa, na mengine mengi

CCM answers to opposition on Chato Airport accusations

Mimi si mwana siasa sitaki kusema mengi kuhusu maoni ya wanasiasa hili tuwaachie wanasiasa sisi tuangalie ni nini kifanyike ili uwanja huu uwe wenye manufaa kwa taifa letu.

Kwanza napenda kuwatoa hofu wale wote wanao dhani kuwa uwanja huu baada ya kufariki Rais JP Magufuli basi hauna faida tena kwa kuwa hakuna ndege za kutumia tena uwanja huu, zifuatazo ni faida kadhaa za uwepo wa uwanja huu katika eneo hilo.

Uwanja wa chato upo km 131.26 za anga kwenda uwanja wa ndege Mwanza lakini pia Entebe airport Uganda sio mbali, uwanja huu utafaa zaidi kwa ndege kubwa endapo zitapata dharula ya kutua katika uwanja wa ndege mwanza au hata Entebe, hivyo uwanja ulio karibu zaidi ni Chato kuliko kurejea Dar, Kir au Dom.

Hili halina ubishi liko wazi, na pale Mwanza airport itakapo anza kutumika kikamilifu kimataifa baada ya ujenzi kukamilika an alternative airport in case of emergency ni Chato,hii itakuwa ni sifa ya nyongeza kwa uwanja wa kimataifa Mwanza.

Kwa kuwa watanzania tumezoeshwa kujengewa miundombinu inayofaa kwa wakati uliopo na si miundombinu inayofaa sasa na miaka mingine hamsini mbele, tunaona leo tu peke yake lakini hatuna uthubutu wa kuangalia faida hata ya miaka kumi tu ijayo, kila kitu kina panuka utalii utaongezeka mahitaji kwa ujumla yataongezeka kwa miundo mbinu iliyopo, kwa wale mlio na wasiwasi mnaihukumu Chato airport kwa maono ya miaka mingapi mbele? na ndipo mnapopata jibu la kwamba haina faida?

Kwa mnaojua historia ya nchi yetu mtakumbuka mji wa Mwanza uliwahi kushambuliwa mara kadhaa kwa ndege za kivita toka mataifa jirani mwaka 1972 na kipindi cha vita ya Kagera 1978-1980 kwa misingi ya kutaka kushambulia kikosi chetu imara cha anga kilichopo mwanza, ingawa mara zote majeshi yetu yalifanikiwa kuzidungua ndege za adui, hii inaonyesha kuwa ipo sababu sasa tena ya msingi kukihamisha kikosi cha anga kilichopo mwanza kwenda chato, na hapo kitakuwa kimkakati zaidi kuliko Mwanza.

Tukumbuke lake zone ndio ukanda ulio zungukwa na nchi nyingi kuliko ukanda mwingine wowote ule na mkumbuke jirani au rafiki yako wa leo ndio adui yako wa kesho.

Kwa sasa uwanja wa ndege wa mwanza unatumika kwa madhumuni yote mawili lakini kwa asilimia ndogo za kijeshi na unatambulika kuwa uwanja wa kiraia, kwa Chato iwe tofauti utumike kwa asilimia nyingi kijeshi na chache kiraia, hata kama utajulikana kama uwanja wa kijeshi chato poa tu. Msipoteze muda mpeni mabeyo hicho kiwanja kina mfaa.

Karibuni wenye mawazo ya kuona mbali mchangie katika hili ili kutoa mwanga wa matumizi chanya ya uwanja wa Chato.
Yaani uko kama mimi huu uwanja wapewe jeshi tuu,wafanyie mazoezi huko.
 
We jamaa mpumbavu Sana, Kwa sababu hujaelewa nilichoandika hapo, na ndiyo sababu ya wewe kuwa mpumbavu

Nimekuuliza, ni wapi alipovunja katiba? Ni wapi alipokacha makubaliano ya nchi?

Narudia tena, Kwa sababu Taifa letu, kazi ya kipi kifanyike tuliamua jukumu Hilo atende mtu mmoja Kwa nafasi ya Uraisi, JPM Hana kosa,

Mataifa ya watu waliojielewa, kitu kinachotangulia ni mpango wa kitaifa, na sio maono ya Mtu yaani Raisi!!

Kwa kuwa Sisi hatuna mpango mkakati wa kitaifa, ni rahisi Sana hata Kwa Raisi aliyepo, kuamua tangu saa hii, ajenge kiwanja cha mpira hewani na hakuna wa kumzuia!!

Ukitaka tuondokane na mambo yasiyo ya maaana, shinikiza tangu sasa, tuwe na mpango kazi kama Taifa, mpango huo, uelekeze mambo ya kufanya, na Rais awe mtimiza hayo, na sikama ilivyo leo Kwamba kila Raisi akiingia anakuwa na maono yake,
nasisitiza kuwa wewe ni idiot. common sense tu inakataa alichofanya magufuli kwenda kutumia mabilioni ya waTz kujenga airport huko kijiji kwao. sioni unachotetea hapa.
hujiulizi kwa nini hatuongelea SGR? hebu nenda kalalwe huko!
 
nasisitiza kuwa wewe ni idiot. common sense tu inakataa alichofanya magufuli kwenda kutumia mabilioni ya waTz kujenga airport huko kijiji kwao. sioni unachotetea hapa.
hujiulizi kwa nini hatuongelea SGR? hebu nenda kalalwe huko!
Unakichwa ngumu Sana wewe!!

Narudia mara ya mwisho, Leo kumetolewa Benz la 450m, jiulize ni Kwa nini??

Jibu ni Kwa sabb hakuna utaratibu kama nchi unaomsimami Rais, kwetu Tz, Raisi ni kila kitu, hazuiwi, lolote atakalo hufanya, tena Ni kisheria, Kwa sababu hakuna sheria inayompa mipaka, sasa utamlaumije??

Ukielimika utaelewa haya mambo, Kwa sasa Endelea Kula kitabu
 
Hivi mataga Rais SSH akianzisha mchakato wa kujenga international airport na miradi mingine ya kimkakati Kijijini kwao mtaambia nini watu??
 
Yote yenu, mwenye maono yake keshaondoka.

Taifa linalobebwa na mtu mmoja Kwa ngazi ya Uraisi kufikiri yeye na kutenda yeye na katiba imempa Uhuru huo, halafu sasa, baada ya kutenda hivyo, ndio watu waanze kuuliza Kwa nini uliamua kujenga uwanja ama kununua Ndege ili Hali tulitaka utuletee bahari Dodoma, wewe utakuwa Dicteta.

Narudia tena, Wote wanaomuita Raisi wetu awe JPM ama mwingine ajaye kuwa ni Dicteta ni wapumbavu na hawana uelewa wowote

Labda niwaulize nyinyi wajinga mnaomlaumu Hayati JPM, Ni wapi yalipo/ulipo mpango wa kitaifa?

Kama nafasi ya Uraisi imeachwa itende Kwa niaba ya wote, mnategemea nini.

Narudia tena, mpaka huu muda, si Raisi wa Kwanza mpaka sasa, hakuna Rais aliyetenda mengi makubwa na Kwa muda mfupi Kwa nchi yake kama Hayati JPM Kwa mjibu wa katiba Yetu, hayupo!

Watapata tabu sana kufikia kiwango chake wote wanaomfuata.
Andiko hili limekufunua nguo.kuwa shuleni ulisomeaa ujinga! JPM unamlinganishaje na Nyerere kwa mfano ...hivi sijui Nani aliwaroga aisee!
Rais kazi yake ninkuweka mifumo ya Ustawi was nchi ktk nyaja zote ..tena ya kudumu ..Ni Nyerere tu na Mkapa walifanikiwa kti hili...Ukimlinganisha Jiwe na Mwinyi au JK labda !
 
Hata mtetee vipi maamuzi ya kujenga kiupendeleo Chato yalikuwa ya kijinga na kishamba ...Kuna watu Chato hawana maji salaama ya kunywa,wengine hawana. zahanati, madawati nk ...ule uwanja wa ndege unawasaidia Nini!
 
Hata kuwapa wananchi wautumie Ili usiote nyasi na pili kuepusha gharama za kuwalipa watu kufanya usafi waachiwe wakulima na wavuvi waanikie mazao yao Ili uwe msafi mda wote.
 
We jamaa mpumbavu Sana, Kwa sababu hujaelewa nilichoandika hapo, na ndiyo sababu ya wewe kuwa mpumbavu

Nimekuuliza, ni wapi alipovunja katiba? Ni wapi alipokacha makubaliano ya nchi?

Narudia tena, Kwa sababu Taifa letu, kazi ya kipi kifanyike tuliamua jukumu Hilo atende mtu mmoja Kwa nafasi ya Uraisi, JPM Hana kosa,

Mataifa ya watu waliojielewa, kitu kinachotangulia ni mpango wa kitaifa, na sio maono ya Mtu yaani Raisi!!

Kwa kuwa Sisi hatuna mpango mkakati wa kitaifa, ni rahisi Sana hata Kwa Raisi aliyepo, kuamua tangu saa hii, ajenge kiwanja cha mpira hewani na hakuna wa kumzuia!!

Ukitaka tuondokane na mambo yasiyo ya maaana, shinikiza tangu sasa, tuwe na mpango kazi kama Taifa, mpango huo, uelekeze mambo ya kufanya, na Rais awe mtimiza hayo, na sikama ilivyo leo Kwamba kila Raisi akiingia anakuwa na maono yake,
Kwa hiyo Kama hakuna Mpango wa Kitaiifa ndio ufanye maamuzi ya kijinga....kujenga uwanja wa ndege mkubwa kijijini na kulazimisha pori liwe na wanyama ...Kama alikuwa anapenda wanyamaa si angetengeneza zoo yake!
Ndio taatizo la kukabidhi madaraka makubwa kwa mshamba na Limbukeni...Ila wanapotokea Utopolo wanaoshobokea haya ...Kama wewe ndio kinacchoshangaza zaidi!
 
Hivi hawa makamanda wamerogwa, mbona wanaongea maajabu? Chuki ya Magufuli na ubibafsi wenu unawatokea objectivity mnasahau yaliyopo.

Viwanja vyote vya ndege duniani viko vijijini, hutavikuta maghorofani. Kule CHADEMA kwa kina Mbowe kuna international airports 4 karibukaribu - kuna KIA kilometa 45 kutoka Arusha Airport na kilometa 17 kutoka Moshi Airport. Ukienda kilometa 200 tu kuna International airports mbili Nairobi wajatu nearest airports Chato ni Bukoba kilometa 120, Mwanza kilometa 287, Entebbe 500, Lubumbashi 400.

Na airports zote dunia nzina ni za kijeshi; zikihitajika zinakuwa chinu ya kamandi ya jeshi. Hiyo ni sababu ingine kubwa kuwa jeshi lina access na hiyo sehemu nyeti na kubwa ya nchi yetu mpakani na nchi zisizotabirika,

Kuhusu wanyama kuhamishwa hili nalo si la ajabu, Zoo zote duniani zina wanyama wa kuletwa. Hifadhi maarufu ya Serengeti ina mbwamwitu kutoka Mkomazi, na Mkomazi wana faru kutoka Ngorongoro, Czechoslavakia na Kruger huku Saanane National Park wana manyani kutoka Kigoma na mbuni kutoka Seronera.
 
Aisee kwa hiyo unalinganisha kwa kina Mbowe ...Kuna Kia,Arusha na Nairobi!
Utopolo ...ni sawa na kusema ...mbona Fulani alikunya kitandani nami nakunya!
Hivi hawa makamanda wamerogwa, mbona wanaongea maajabu? Chuki ya Magufuli na ubibafsi wenu unawatokea objectivity mnasahau yaliyopo.

Viwanja vyote vya ndege duniani viko vijijini, hutavikuta maghorofani. Kule CHADEMA kwa kina Mbowe kuna international airports 4 karibukaribu - kuna KIA kilometa 45 kutoka Arusha Airport na kilometa 17 kutoka Moshi Airport. Ukienda kilometa 200 tu kuna International airports mbili Nairobi wajatu nearest airports Chato ni Bukoba kilometa 120, Mwanza kilometa 287, Entebbe 500, Lubumbashi 400.

Na airports zote dunia nzina ni za kijeshi; zikihitajika zinakuwa chinu ya kamandi ya jeshi. Hiyo ni sababu ingine kubwa kuwa jeshi lina access na hiyo sehemu nyeti na kubwa ya nchi yetu mpakani na nchi zisizotabirika,

Kuhusu wanyama kuhamishwa hili nalo si la ajabu, Zoo zote duniani zina wanyama wa kuletwa. Hifadhi maarufu ya Serengeti ina mbwamwitu kutoka Mkomazi, na Mkomazi wana faru kutoka Ngorongoro, Czechoslavakia na Kruger huku Saanane National Park wana manyani kutoka Kigoma na mbuni kutoka Seronera.
 
Ugeuzwe uwe uwanja wa mbio, tunaweza kuwa wenyeji wa mashindano ya olimpiki
 
Back
Top Bottom